Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mahakama

  • Mahakama Afrika Kusini yakosolewa kwa kumuachia Mzungu katili

    Mahakama Afrika Kusini yakosolewa kwa kumuachia Mzungu katili

    Nov 22, 2022 08:03

    Uamuzi wa Mahakama ya Kikatiba ya Afrika Kusini kumuachia huru raia mbaguzi wa Poland aliyekuwa akitumia kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumuua Chris Hani, mmoja wa viongozi waliokuwa wanapinga utawala wa zamani wa ubaguzi wa rangi nchini Afrika Kusini (apartheid).

  • Afungwa jela miezi 13 kwa kuandika sentensi moja ya kuunga mkono Muqawama wa Palestina

    Afungwa jela miezi 13 kwa kuandika sentensi moja ya kuunga mkono Muqawama wa Palestina

    Oct 20, 2022 07:31

    Mahakama ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel imemhukumu Mpalestina mmoja anayeishi katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu kifungo cha miezi 13 jela kwa kuandika mtandaoni sentensi moja ya kuunga mkono muqawama wa Palestina.

  • Mahakama Nigeria yamuondolea mashitaka kiongozi wa harakati ya Biafra

    Mahakama Nigeria yamuondolea mashitaka kiongozi wa harakati ya Biafra

    Oct 14, 2022 07:53

    Mahakama ya Rufaa ya Nigeria imemfutia mashitaka yote Nnamdi Kanu, kiongozi wa Watu wa Asili wa Biafra (IPOB), wanaotaka kujitenga eneo la kusini mashariki mwa nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Mahakama Angola yatupilia mbali kesi ya kupinga uchaguzi wa rais

    Mahakama Angola yatupilia mbali kesi ya kupinga uchaguzi wa rais

    Sep 09, 2022 12:26

    Mahakama ya Katiba ya Angola imetupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais wa Agosti 24, yaliyompa ushindi mgombea wa chama tawala cha MPLA, Rais Joao Lourenco.

  • Mahakama ya Juu Kenya yatupilia mbali kesi ya Odinga, yabariki ushindi wa Ruto

    Mahakama ya Juu Kenya yatupilia mbali kesi ya Odinga, yabariki ushindi wa Ruto

    Sep 05, 2022 11:22

    Mahakama ya Juu nchini Kenya imetupilia mbali kesi iliyowasilishwa na mgombea wa urais wa Azimio la Umoja-One Kenya, Raila Odinga ya kupinga matokeo ya uchaguzi mkuu wa Agosti 9, 2022.

  • Majaji wa Afrika wawasili Kenya kufuatilia kesi ya uchaguzi wa rais

    Majaji wa Afrika wawasili Kenya kufuatilia kesi ya uchaguzi wa rais

    Aug 29, 2022 11:11

    Wanachama wa Jumuiya ya Majaji na Mahakimu wa Afrika wamewasili jijini Nairobi, kufuatilia shauri la kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais yaliyotangazwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) hivi karibuni.

  • Odinga aenda mahakamani kupinga matokeo ya urais Kenya

    Odinga aenda mahakamani kupinga matokeo ya urais Kenya

    Aug 22, 2022 11:18

    Mgombea urais wa Kenya kwa tiketi ya chama cha Muungano wa Azimio la Umoja wa One Kenya, Raila Odinga amewasilisha mahakamani shauri la kupinga matokeo ya uchaguzi wa rais yaliyotangazwa na Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC hivi karibuni.

  • Mahakama Tunisia yatengua uamuzi wa rais kuwatimua majaji

    Mahakama Tunisia yatengua uamuzi wa rais kuwatimua majaji

    Aug 11, 2022 07:37

    Mahakama moja nchini Tunisia imebatilisha uamuzi wa Rais Kais Saied wa nchi hiyo wa kuwafuta kazi makumi ya majaji.

  • Mahakama Iran yaitoza US faini ya bilioni 4.3 kwa mauaji ya wanasayansi wa nyuklia

    Mahakama Iran yaitoza US faini ya bilioni 4.3 kwa mauaji ya wanasayansi wa nyuklia

    Jun 24, 2022 01:18

    Mahakama moja nchini Iran imeipata na hatia serikali ya Marekani na makumi ya taasisi na maafisa wa nchi hiyo kwa kuunga mkono na kushirikiana na utawala wa Kizayuni wa Israel kufanya mauaji dhidi ya wanasayansi wa nyuklia wa Jamhuri ya Kiislamu.

  • Rais wa zamani wa Burkina Faso ahukumiwa maisha jela kwa mauaji ya Sankara

    Rais wa zamani wa Burkina Faso ahukumiwa maisha jela kwa mauaji ya Sankara

    Apr 07, 2022 01:55

    Rais wa zamani wa Burkina Faso amehukumiwa kifungo cha maisha jela katika kesi ya mauaji ya Thomas Sankara, kiongozi wa mapinduzi wa nchi hiyo na shujaa wa bara la Afrika yaliyotekelezwa mwaka 1987.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS