-
Uchaguzi Madagascar; Ravalomanana apinga ushindi wa Rajoelina mahakamani
Dec 28, 2018 12:32Siku moja baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Madagascar kutangaza matokeo ya muda yaliyoonesha kuwa rais wa zamani wa nchi hiyo Andry Rajoelina ndiye aliyepata kura nyingi zaidi katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais iliyofanyika Disemba 19, mpinzani wake mkuu Marc Ravalomanana ameenda mahakamani kupinga matokeo hayo.
-
Misri nayo yataka marekebisho ya katiba ya kuondoa kikomo cha muhula wa rais
Dec 07, 2018 20:55Mahakama moja nchini Misri imetangaza Disemba 23 kama siku ya kusikiliza ombi la kutaka kufanyiwa marekebisho katiba ya nchi, yatakayomruhusu Rais Abdulfattah al-Sisi wa nchi hiyo agombee zaidi ya mihula miwili iliyoruhusiwa na katiba.
-
Mahakama Zambia yamuidhinisha Rais Lungu kugombea muhula wa tatu
Dec 07, 2018 11:05Mahakama ya Katiba Zambia imetangaza kuwa Rais Edgar Lungu wa nchi hiyo anaweza kugombea muhula wa tatu katika uchaguzi mkuu ujao unaotazamiwa kufanyika mwaka 2021.
-
Kiongozi wa upinzani Rwanda: Mashinikizo hayataninyamazisha
Dec 05, 2018 12:59Mwanasiasa wa upinzani na mkosoaji mashuhuri wa Rais Paul Kagame wa Rwanda Diane Shima Rwigara amesema katu hatasalimu amri mbele ya mashinikizo na vitisho dhidi yake.
-
Trump apata pigo, CNN yashinda kesi dhidi yake
Nov 16, 2018 21:43Mahakama moja nchini Marekani imeiagiza Ikulu ya White House kumrejeshea mwandishi wa habari wa televisheni ya CNN kibali ilichompokonya na kumzuia kuingia katika ikulu hiyo, baada ya kulumbana vikali na Rais Donald Trump.
-
Wanafunzi Waislamu Nigeria waruhusiwa kuvaa Hijabu shuleni Lagos
Nov 15, 2018 11:56Baraza Kuu la Masuala ya Kiislamu Nigeria NSCIA limepongeza agizo la Mahakama ya Juu nchini humo la kuitaka serikali ya jimbo la Lagos kuwaruhusu wanafunzi Waislamu kuvaa Hijabu katika shule za umma katika mji mkuu huo wa kibiashara.
-
Wafuasi 28 wa upinzani Zimbabwe washtakiwa kwa kuzusha vurugu baada ya uchaguzi
Aug 05, 2018 03:45Wafuasi wasiopungua 28 wa mrengo wa upinzani nchini Zimbabwe wamepelekwa mahakamani wakikabiliwa na mashtaka ya kuzusha vurugu na machafuko baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi mkuu.
-
Tunisia yaanza kusikiliza kesi ya mauaji ya dikteta wa zamani wa nchi hiyo
Jul 14, 2018 03:32Serikali ya Tunisia imeanza kusikiliza kesi dhidi ya dikteta wa zamani wa nchi hiyo, Zine El Abidine Ben Ali, kwa kuhusika na mauaji ya waandamanaji katika vuguvugu lililomuondoa madarakani mwaka 2011.
-
Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan miaka 10 jela kwa ufisadi
Jul 06, 2018 09:55Mahakama ya Kupambana na Ufisadi ya Pakistan imempata na hatia ya ufisadi wa kifedha aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo pamoja na binti yake na kuwahukumu kifungo cha miaka 10 jela.
-
Utawala wa Bahrain wawahukumu kifo wanazuoni watatu wa Kiislamu
Jun 17, 2018 10:13Mahakama ya utawala wa Aal-Khalifa nchini Bahrain imetoa hukumu ya adhabu ya kifo dhidi ya wanazuoni watatu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia wa nchi hiyo kwa tuhuma bandia dhidi yao, ikiwa ni muendelezo wa hukumu zisizo za kiuadilifu zinazotolewa na watawala madikteta wa nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.