Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mahakama

  • Mahakama yatupilia mbali kesi ya upinzani kuhusu kura ya maoni Burundi

    Mahakama yatupilia mbali kesi ya upinzani kuhusu kura ya maoni Burundi

    May 31, 2018 10:28

    Mahakama ya Katiba ya Burundi imetupilia mbali kesi iliyowasilisha na muungano wa upinzani nchini humo kupinga matokeo ya kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba ya nchi, yaliyoipa ushindi kambi ya serikali.

  • Mahakama ya Katiba Madagascar yaagiza kuundwa serikali ya muungano

    Mahakama ya Katiba Madagascar yaagiza kuundwa serikali ya muungano

    May 26, 2018 03:29

    Mahakama ya Katiba nchini Madagascar imemuagiza Rais Hery Rajaonarimampianina wa nchi hiyo kuvunja serikali ya sasa na kuunda serikali ya muungano, kwa lengo la kutamatisha mgogoro wa kisiasa unaoshuhudiwa katika kisiwa hicho kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa.

  • Upinzani Burundi waenda mahakamani kupinga matokeo ya kura ya maoni

    Upinzani Burundi waenda mahakamani kupinga matokeo ya kura ya maoni

    May 25, 2018 03:04

    Muungano wa upinzani nchini Burundi unaoongozwa na Agathon Rwasa jana Alkhamisi ulienda mahakamani kupinga matokeo ya kura ya maoni ya kuifanyia marekebisho katiba ya nchi, yaliyoipa ushindi kambi ya serikali.

  • Amnesty: Ni upuuzi kuwavua uraia Wabahrain 115 katika 'kesi ya umati'

    Amnesty: Ni upuuzi kuwavua uraia Wabahrain 115 katika 'kesi ya umati'

    May 17, 2018 09:42

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali hatua ya hivi karibuni ya Bahrain ya kuwafunga jela na kuwapokonya uraia makumi ya wanaharakati wa kisiasa ambao wanaonekana kuwa wakosoaji wakubwa wa utawala wa Aal-Khalifa.

  • Bahrain yawapokonya uraia wapinzani 115, yawafunga jela maisha 53 miongoni mwao

    Bahrain yawapokonya uraia wapinzani 115, yawafunga jela maisha 53 miongoni mwao

    May 15, 2018 09:27

    Katika kile kinachoonekana ni muendelezo wa ukandamizaji na mbinyo dhidi ya wapinzani na wakosoaji wa serikali, utawala wa Aal-Khalifa umewavua uraia wananchi 115 wa Bahrain, huku ukiwahukumu kifungo cha maisha jela 53 miongoni mwao.

  • Kuna uwezekano wa Trump kufikishwa mahakamani ili kusailiwa

    Kuna uwezekano wa Trump kufikishwa mahakamani ili kusailiwa

    May 02, 2018 03:14

    Gazeti la Washington Post linalochapishwa nchini Marekani limeandika kuwa kuna uwezekano rais wa nchi hiyo Donald Trump akatakiwa afike mahakamani ili kusailiwa kuhusiana na kadhia ya kuingilia Russia mchakato wa uchaguzi wa rais wa Marekani wa mwaka 2016.

  • Mahakama yamuuzulu Waziri Mkuu na kuvunja Bunge Gabon

    Mahakama yamuuzulu Waziri Mkuu na kuvunja Bunge Gabon

    May 01, 2018 09:59

    Mahakama ya Katiba nchini Gabon imeagiza kuvunjwa kwa Bunge la Taifa la nchi hiyo sanjari na kumuuzulu Waziri Mkuu wa nchi hiyo, hatua ambayo imesitisha shughuli za serikali ya Rais Ali Bongo wa nchi hiyo.

  • Rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa miaka 24 jela kwa ufisadi

    Rais wa zamani wa Korea Kusini afungwa miaka 24 jela kwa ufisadi

    Apr 06, 2018 09:30

    Mahakama ya Korea Kusini imemhukumu kifungo cha miaka 24 jela, rais wa nchi hiyo aliyeuzuliwa Park Geun-hye, baada ya kupatikana na hatia katika kesi ya ufisadi wa kifedha iliyokuwa ikimkabili.

  • Viongozi wa Chadema Tanzania waachiwa huru kwa dhamana

    Viongozi wa Chadema Tanzania waachiwa huru kwa dhamana

    Apr 03, 2018 09:36

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu nchini Tanzania imewaachia huru kwa dhamana viongozi 6 wa chama kikuu cha upinzani cha Chadema akiwemo mwenyekiti wa chama hicho Freeman Mbowe, baada ya kukamilisha masharti ya dhamana.

  • Kiongozi wa upinzani Senegal ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela

    Kiongozi wa upinzani Senegal ahukumiwa kifungo cha miaka 5 jela

    Mar 30, 2018 10:30

    Mahakama moja nchini Senegal imemhukumu kifungo cha miaka mitano jela Khalifa Sall, kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo baada ya kupatikana na hatia katika kesi ya ufisadi iliyokuwa ikimkabili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS