• ICC yazitaka nchi wanachama kutekeleza hati za kukamatwa Netanyahu, Gallant

    ICC yazitaka nchi wanachama kutekeleza hati za kukamatwa Netanyahu, Gallant

    Oct 09, 2025 03:13

    Msemaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), Fadi El Abdallah ameiambia kanali ya Al-Jazeera kwamba, nchi wanachama wa Mkataba wa Roma zina wajibu wa kisheria kushirikiana na mahakama hiyo katika kutekeleza waranti wa kukamatwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na aliyekuwa Waziri wa Vita wa utawala huo pandikizi, Yoav Gallant.

  • ICC yamtia hatiani kiongozi wa kwanza wa wanamgambo wa Darfur kwa uhalifu wa kivita

    ICC yamtia hatiani kiongozi wa kwanza wa wanamgambo wa Darfur kwa uhalifu wa kivita

    Oct 07, 2025 06:09

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC jana Jumatatu ilimtia hatiani kiongozi wa kwanza wa wanamgambo wa Janjaweed aliyepandishwa kizimbani akihusishwa na ukatili na jinai zilizofanyika katika jimbo la Darfur nchini Sudan zaidi ya miaka 20 iliyopita.

  • ICC: Vikwazo vya US ni hujuma dhidi ya mamilioni ya wahanga wa jinai

    ICC: Vikwazo vya US ni hujuma dhidi ya mamilioni ya wahanga wa jinai

    Aug 21, 2025 05:43

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imetumia maneno makali kuilaani Marekani, kwa hatua yake ya hivi karibuni ya kuwawekea vikwazo majaji wa mahakama hiyo, kutokana na juhudi zao za kuwafungulia mashitaka maafisa Marekani na Israel wanaotuhumiwa kuhusika na uhalifu wa kivita na aina nyingine za ukatili.

  • ICC yapuuza mashinikizo ya US, Israel; haitatengua waranti dhidi ya Netanyahu

    ICC yapuuza mashinikizo ya US, Israel; haitatengua waranti dhidi ya Netanyahu

    Jul 17, 2025 04:21

    Majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wameamua kwamba hati zilizotolewa na korti hiyo ya mjini The Hague za kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala wa Israel na waziri wake wa zamani wa vita zingalipo, huku wakikaidi mashinikizo makubwa ya Israel na Marekani ya kufutulia mbali waranti hizo.

  • Iran: Vikwazo vya US dhidi ya majaji wa ICC vinakirihisha

    Iran: Vikwazo vya US dhidi ya majaji wa ICC vinakirihisha

    Jun 09, 2025 02:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei amekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuwawekea vikwazo majaji wanne wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutokana na uchunguzi wao juu ya uhalifu wa kivita uliofanywa na Israel huko Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • UN: Tumesikitishwa mno na vikwazo vya US dhidi ya majaji wa ICC

    UN: Tumesikitishwa mno na vikwazo vya US dhidi ya majaji wa ICC

    Jun 07, 2025 06:59

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk amesema "amesikitishwa sana" na vikwazo vya serikali ya Marekani dhidi ya majaji wanne wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • ICC yaifungulia mashtaka Hungary kwa kutomkamata Netanyahu

    ICC yaifungulia mashtaka Hungary kwa kutomkamata Netanyahu

    Apr 18, 2025 02:34

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai imefungua rasmi kesi dhidi ya Hungary baada ya serikali ya Budapest kukataa kutekeleza waranti wa ICC wa kumkamata waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu wakati wa ziara yake rasmi nchini humo mapema mwezi huu.

  • Maafisa wa US yumkini wakapelekwa ICC kwa kuzuia haki

    Maafisa wa US yumkini wakapelekwa ICC kwa kuzuia haki

    Mar 15, 2025 07:10

    Afisa wa zamani wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Craig Mokhiber ameonya kuwa, maafisa wa Marekani wanaoishambulia Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC katika kuitetea Israel wanazuia haki na sheria, na kusisitiza kwamba wanaweza kushtakiwa katika siku zijazo.

  • Manila yamkabidhi Rais wa zamani wa Ufilipino kwa ICC

    Manila yamkabidhi Rais wa zamani wa Ufilipino kwa ICC

    Mar 12, 2025 07:05

    Takriban miaka mitatu baada ya kuachia ngazi, Rais wa zamani wa Ufilipino, Rodrigo Duterte amekamatwa na mamlaka za nchi hiyo mjini Manila, kwa ombi la Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), ambayo inachunguza madai ya "uhalifu dhidi ya binadamu" unaodaiwa kufanywa na kiongozi huyo katika kipindi cha miaka sita alipokuwa madarakani.

  • Shirika la DAWN lataka ICC imchunguze Rais wa Marekani

    Shirika la DAWN lataka ICC imchunguze Rais wa Marekani

    Feb 25, 2025 02:57

    Shirika moja lisilo la serikali limeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuanzisha uchunguzi dhidi ya Rais Donald Trump wa Marekani, kutokana na mienendo yake dhidi ya maafisa wa korti hiyo ya kimataifa iliyoko The Hague huko Uholanzi.