• ICC yapuuza mashinikizo ya US, Israel; haitatengua waranti dhidi ya Netanyahu

    ICC yapuuza mashinikizo ya US, Israel; haitatengua waranti dhidi ya Netanyahu

    Jul 17, 2025 04:21

    Majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wameamua kwamba hati zilizotolewa na korti hiyo ya mjini The Hague za kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala wa Israel na waziri wake wa zamani wa vita zingalipo, huku wakikaidi mashinikizo makubwa ya Israel na Marekani ya kufutulia mbali waranti hizo.

  • Iran: Vikwazo vya US dhidi ya majaji wa ICC vinakirihisha

    Iran: Vikwazo vya US dhidi ya majaji wa ICC vinakirihisha

    Jun 09, 2025 02:49

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baqaei amekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuwawekea vikwazo majaji wanne wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutokana na uchunguzi wao juu ya uhalifu wa kivita uliofanywa na Israel huko Gaza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • UN: Tumesikitishwa mno na vikwazo vya US dhidi ya majaji wa ICC

    UN: Tumesikitishwa mno na vikwazo vya US dhidi ya majaji wa ICC

    Jun 07, 2025 06:59

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk amesema "amesikitishwa sana" na vikwazo vya serikali ya Marekani dhidi ya majaji wanne wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • ICC yaifungulia mashtaka Hungary kwa kutomkamata Netanyahu

    ICC yaifungulia mashtaka Hungary kwa kutomkamata Netanyahu

    Apr 18, 2025 02:34

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai imefungua rasmi kesi dhidi ya Hungary baada ya serikali ya Budapest kukataa kutekeleza waranti wa ICC wa kumkamata waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu wakati wa ziara yake rasmi nchini humo mapema mwezi huu.

  • Maafisa wa US yumkini wakapelekwa ICC kwa kuzuia haki

    Maafisa wa US yumkini wakapelekwa ICC kwa kuzuia haki

    Mar 15, 2025 07:10

    Afisa wa zamani wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Craig Mokhiber ameonya kuwa, maafisa wa Marekani wanaoishambulia Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC katika kuitetea Israel wanazuia haki na sheria, na kusisitiza kwamba wanaweza kushtakiwa katika siku zijazo.

  • Manila yamkabidhi Rais wa zamani wa Ufilipino kwa ICC

    Manila yamkabidhi Rais wa zamani wa Ufilipino kwa ICC

    Mar 12, 2025 07:05

    Takriban miaka mitatu baada ya kuachia ngazi, Rais wa zamani wa Ufilipino, Rodrigo Duterte amekamatwa na mamlaka za nchi hiyo mjini Manila, kwa ombi la Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), ambayo inachunguza madai ya "uhalifu dhidi ya binadamu" unaodaiwa kufanywa na kiongozi huyo katika kipindi cha miaka sita alipokuwa madarakani.

  • Shirika la DAWN lataka ICC imchunguze Rais wa Marekani

    Shirika la DAWN lataka ICC imchunguze Rais wa Marekani

    Feb 25, 2025 02:57

    Shirika moja lisilo la serikali limeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuanzisha uchunguzi dhidi ya Rais Donald Trump wa Marekani, kutokana na mienendo yake dhidi ya maafisa wa korti hiyo ya kimataifa iliyoko The Hague huko Uholanzi.

  • Trump aiwekea vikwazo ICC kwa kuchunguza jinai za Israel, Marekani

    Trump aiwekea vikwazo ICC kwa kuchunguza jinai za Israel, Marekani

    Feb 07, 2025 07:53

    Rais wa Marekani, Donald Trump ametia saini dikrii (amri ya utendaji) ya kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kwa kile alichokiita uchunguzi usio na msingi dhidi ya Marekani na muitifaki wake wa karibu, Israel, kuhusu mauaji ya kimbari huko Gaza.

  • Waziri Mkuu wa Italia achunguzwa kwa kumuachia huru mshukiwa wa ICC

    Waziri Mkuu wa Italia achunguzwa kwa kumuachia huru mshukiwa wa ICC

    Jan 29, 2025 10:30

    Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni amewekwa chini ya uchunguzi wa mahakama kufuatia uamuzi wa serikali yake wa kumwachilia huru afisa wa polisi wa Libya anayesakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC.

  • Israel inashinikiza ICC ifute waranti wa kukamatwa Netanyahu

    Israel inashinikiza ICC ifute waranti wa kukamatwa Netanyahu

    Aug 15, 2024 07:43

    Utawala wa Kizayuni umeripotiwa kushadidisha 'mashinikizo ya kidiplomasia' dhidi ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ambayo inataka kutolewa waranti wa kukamatwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu na waziri wa vita wa utawala huo haramu, Yoav Gallant, kwa sababu ya kuhusika na uhalifu wa kivita.