-
Ripoti: ICC kutoa waranti wa kukamatwa Netanyahu karibuni
Jun 17, 2024 06:33Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeripoti kuwa, Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), katika kipindi cha siku 10 zijazo huenda ikafikia uamuzi wa kutolewa waranti wa kumtia nguvuni Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.
-
Seneta wa Marekani aunga mkono ICC kutoa waranti wa kuwakamata viongozi wa Israel
May 23, 2024 07:44Seneta wa Marekani Bernie Sanders amesema anaunga mkono maombi ya Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) Karim Khan ya kutaka viongozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wakamatwe na ameitaka Marekani iheshimu sheria za kimataifa.
-
Russia yaishambulia US kwa kukosoa waranti wa kukamatwa Netanyahu
May 21, 2024 07:18Russia imekosoa vikali radiamali hasi ya Marekani kwa ombi la Karim Khan, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), la kutaka kutolewa waranti wa kumtia nguvuni Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.
-
Rais wa Colombia aitaka ICC itoe waranti wa kukamatwa Netanyahu
May 11, 2024 07:59Rais Gustavo Petro wa Colombia ameiasa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa waranti wa kumtia nguvuni Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.
-
Mawakili wa Uholanzi waitaka ICC itoe waranti wa kukamatwa Netanyahu
May 09, 2024 02:30Kundi la mawakili wa Uholanzi wameiomba Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kutoa waranti wa kumtia nguvuni Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.
-
Mexico na Chile zaitaka ICC ichunguze jinai za Israel Gaza
Jan 19, 2024 11:46Serikali za Mexico na Chile zimeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuchunguza na kuwashtaki maafisa wa utawala wa Israel ambao wamehusika katika jinai za kivita dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Algeria kuwa mwenyeji wa mkutano wa kujadili njia za kuishtaki Israel ICC
Nov 28, 2023 06:17Algeria imejiunga na orodha ya nchi zinazotaka kufanyike uchunguzi kuhusiana na jinai za kivita zilizofanywa na Israel katika Ukanda wa Gaza, na kushtakiwa utawala haramu katika vyombo vya kimataifa.
-
Misri yamkamata mwandishi habari aliyefichua utambulisho wa maafisa waliokuwa kwenye ndege iliyokamatwa Zambia
Aug 21, 2023 10:17Mtandao wa Middle East Eye umeripoti kuwa askari usalama wa Misri wamemkamata mwandishi wa habari Karim Al-Asaad, kwa sababu ya kuchapisha makala kwenye vyombo vya habari kuhusu maafisa wa serikali ya Cairo waliokuwa kwenye ndege ya kibinafsi, ambayo ilikamatwa na mamlaka ya Zambia katika wiki iliyopita.
-
ICC kuruhusu Wapalestina mtandaoni kuwashtaki Wazayuni kwa jinai za kivita
Jul 19, 2023 09:37Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) inatazamiwa kuzindua jukwaa la mtandaoni litakalowawezesha wananchi wa Palestina kuwashtaki Wazayuni kwa jinai za kivita mbele ya taasisi hiyo ya Umoja wa Mataifa.
-
Mahakama ya ICC kuchunguza jinai za kivita mashariki ya DRC
Jun 16, 2023 07:31Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imesema itachunguza madai ya kufanyika uhalifu wa kivita huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.