-
Salehi: Uwezo wa makombora wa Iran umeiduwaza dunia
Nov 12, 2018 04:32Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (AEOI) Ali Akbar Salehi amesema mafanikio ya Iran katika uzalishaji wa makombora umeishangaza dunia.
-
"Uwezo wa kujihami Iran ni kwa maslahi ya kuzuia vita Mashariki ya Kati"
Oct 26, 2018 15:19Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema stratijia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kuimarisha uwezo wake wa kujihami ni kwa shabaha ya kuzuia vita katika eneo hili la Mashariki ya Kati.
-
"Makombora, jibu na ujumbe wa Iran kwa waungaji mkono wa ugaidi"
Oct 05, 2018 15:45Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran sanjari na kupongeza mashambulizi ya makombora yaliyofanywa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC dhidi ya ngome za magaidi nchini Syria amesema operesheni hiyo ilikuwa jibu la Iran lililobeba ujumbe mahsusi kwa magaidi, wafadhili na waungaji mkono wao.
-
Iran yasema uwezo wake wa makombora ni kwa ajili ya kujilinda
Jul 07, 2018 07:38Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa hatua ya Iran ya kuimarisha uwezo wake wa makombora ni kwa ajili ya kujihami.
-
Uzalishaji wa makombora umeongezeka mara tatu Iran licha ya mashinikizo ya maadui
Mar 07, 2018 14:11Kamanda wa ngazi za juu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uzalishaji wa makombora kwa ajili ya kujiimarisha kiulinzi umeongezeka mara tatu hapa nchini licha ya mashinikizo ya maadui wa taifa hili.
-
Iran: Hakuna yeyote anayeruhusiwa kujadiliana na maajinabi kuhusu uwezo wetu wa makombora
Mar 06, 2018 07:54Naibu Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hakuna mtu yeyote aliye na haki au mamlaka ya kujadili au kufanya mazungumzo na madola ajinabi kuhusu uwezo wa makombora wa taifa hili.
-
Iran yakanusha madai ya kukubali mazungumzo kuhusu makombora
Jan 18, 2018 02:32Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekadhibisha ripoti iliyochapishwa kwenye gazeti la The Financial Times kuwa Tehran imekubali kuingia katika mazungumzo kuhusu mradi wake wa makombora.
-
Iran yafanyia majaribio kombora jipya la balistiki
Sep 23, 2017 08:08Iran imefanyia majaribio yaliyofana kombora lake jipya la masafa marefu la balistiki linalojulikana kama Khorramshahr, masaa machache tu baada ya kulizindua katika gwaride la kijeshi mjini Tehran.
-
Korea Kaskazini yavurumisha makombora ya balistiki
Aug 26, 2017 07:01Korea Kaskazini imevurumisha makombora matatu ya masafa mafupi ya balistiki kuelekea pwani yake ya kaskazini.
-
Iran yafanyia majaribio makombora ya Neze’at-10 kwenye luteka ya 'Baitul Muqaddas 28'
May 22, 2016 16:21Jeshi la Nchi Kavu la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limefanyia majaribio makombora mawili yaliyopewa jina la Neze'at-10 katika mazoezi ya kijeshi yanayoendelea katikati mwa nchi.