Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

makombora ya Iran

  • 'Iran haishughulishwi na makelele ya Marekani; itaimarisha majaribio ya makombora yake'

    'Iran haishughulishwi na makelele ya Marekani; itaimarisha majaribio ya makombora yake'

    Dec 21, 2018 23:33

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, SEPAH, limeapa kuwa litaendelea na majaribio na utafiti wake wa makombora kwa kasi zaidi ya huko nyuma na litapuuza mashinikizo na vikwazo vya Marekani.

  • Zarif amshangaa Netanyahu kwa kusifia makombora mapya ya Israel

    Zarif amshangaa Netanyahu kwa kusifia makombora mapya ya Israel

    Dec 18, 2018 12:06

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali kitendo cha Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel cha kuonesha majivuno na kusifia makombora mapya ya utawala huo wa Kizayuni.

  • Zarif: Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu makombora yake

    Zarif: Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu makombora yake

    Dec 15, 2018 11:13

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesisitiza kwa mara nyingine kuwa, Iran haitafanya mazungumzo kuhusu makombora yake ya kujihami.

  • Salehi: Uwezo wa makombora wa Iran umeiduwaza dunia

    Salehi: Uwezo wa makombora wa Iran umeiduwaza dunia

    Nov 12, 2018 01:02

    Mkuu wa Taasisi ya Nishati ya Nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran (AEOI) Ali Akbar Salehi amesema mafanikio ya Iran katika uzalishaji wa makombora umeishangaza dunia.

  • "Uwezo wa kujihami Iran ni kwa maslahi ya kuzuia vita Mashariki ya Kati"

    Oct 26, 2018 11:49

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema stratijia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kuimarisha uwezo wake wa kujihami ni kwa shabaha ya kuzuia vita katika eneo hili la Mashariki ya Kati.

  • "Makombora, jibu na ujumbe wa Iran kwa waungaji mkono wa ugaidi"

    Oct 05, 2018 12:15

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran sanjari na kupongeza mashambulizi ya makombora yaliyofanywa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC dhidi ya ngome za magaidi nchini Syria amesema operesheni hiyo ilikuwa jibu la Iran lililobeba ujumbe mahsusi kwa magaidi, wafadhili na waungaji mkono wao.

  • Iran yasema uwezo wake wa makombora ni kwa ajili ya kujilinda

    Iran yasema uwezo wake wa makombora ni kwa ajili ya kujilinda

    Jul 07, 2018 03:08

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa hatua ya Iran ya kuimarisha uwezo wake wa makombora ni kwa ajili ya kujihami.

  • Uzalishaji wa makombora umeongezeka mara tatu Iran licha ya mashinikizo ya maadui

    Uzalishaji wa makombora umeongezeka mara tatu Iran licha ya mashinikizo ya maadui

    Mar 07, 2018 10:41

    Kamanda wa ngazi za juu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uzalishaji wa makombora kwa ajili ya kujiimarisha kiulinzi umeongezeka mara tatu hapa nchini licha ya mashinikizo ya maadui wa taifa hili.

  • Iran: Hakuna yeyote anayeruhusiwa kujadiliana na maajinabi kuhusu uwezo wetu wa makombora

    Iran: Hakuna yeyote anayeruhusiwa kujadiliana na maajinabi kuhusu uwezo wetu wa makombora

    Mar 06, 2018 04:24

    Naibu Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hakuna mtu yeyote aliye na haki au mamlaka ya kujadili au kufanya mazungumzo na madola ajinabi kuhusu uwezo wa makombora wa taifa hili.

  • Iran yakanusha madai ya kukubali mazungumzo kuhusu makombora

    Iran yakanusha madai ya kukubali mazungumzo kuhusu makombora

    Jan 17, 2018 23:02

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekadhibisha ripoti iliyochapishwa kwenye gazeti la The Financial Times kuwa Tehran imekubali kuingia katika mazungumzo kuhusu mradi wake wa makombora.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS