Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

makombora ya Iran

  • Dehqan: Katu Iran haitasita kufanyia majaribio makombora

    Dehqan: Katu Iran haitasita kufanyia majaribio makombora

    May 10, 2016 05:13

    Wizara ya Ulinzi ya Iran imesema katu Jamhuri ya Kiislamu haitachoka kujiimarisha kiulinzi na kusisitiza kuwa haina nia au mpango wa kuacha kuyafanyia majaribio makombora yake.

  • Iran yafanyia majaribio kombora la balistiki

    Iran yafanyia majaribio kombora la balistiki

    May 09, 2016 15:19

    Iran hivi karibuni ilifanyia majaribio kombora la balistiki lenye uwezo wa kuruka masafa ya kilomita 2,000 na kulenga shabaha kwa ustadi mkubwa.

  • Zarif: Hatuna cha kujadili kuhusu makombora ya Iran

    Zarif: Hatuna cha kujadili kuhusu makombora ya Iran

    Apr 10, 2016 07:51

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema katu Jamhuri ya Kiislamu haiwezi kufanya aina yoyote ya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora.

  • Kerry atafakari kabla ya kutamka 'upuuzi' kuhusu Iran

    Kerry atafakari kabla ya kutamka 'upuuzi' kuhusu Iran

    Apr 09, 2016 16:07

    Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amemtaka Waziri wa Mambo ya Nje ya wa Marekani John Kerry kutafakari kabla ya kutamka maneneo ya “kipuuzi” kuhusu masuala ya kijeshi na kiulinzi ya Iran.

  • Russia: Hakuna uhusiano wowote baina ya makombora ya Iran na makubaliano ya nyuklia

    Russia: Hakuna uhusiano wowote baina ya makombora ya Iran na makubaliano ya nyuklia

    Mar 12, 2016 15:25

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa, miradi ya makombora ya Iran haina uhusiano wowote na kadhia ya nyuklia ya nchi hiyo.

  • Iran: Kona zote za Israel zinaweza kufikiwa na makombora yetu

    Iran: Kona zote za Israel zinaweza kufikiwa na makombora yetu

    Mar 09, 2016 07:52

    Meja Jenerali Mohammad Ali Jafari, Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC, amesema maeneo yote ya ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel yanaweza kufikiwa na makombora ya Jamhuri ya Kiislamu.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS