Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Malawi

  • Wananchi wa Malawi waandamana kulalamikia uhaba mkubwa wa petroli na dizeli

    Wananchi wa Malawi waandamana kulalamikia uhaba mkubwa wa petroli na dizeli

    Nov 25, 2024 13:31

    Polisi katika mji wa Lilongwe nchini Malawi leo Jumatatu wametumia gesi ya kutoa machozi kutawanya umati wa waandamanaji waliotaka kujiuzulu Waziri wa Nishati na Madini wa nchi hiyo kutokana na uhaba mkubwa wa mafuta ya petroli na dizeli katika miji mbalimbali ya nchi hiyo unaoendelea kwa muda wa mwezi mmoja sasa.

  • Wanaharakati Malawi waitaka serikali isiunge mkono jinai za Israel Gaza

    Wanaharakati Malawi waitaka serikali isiunge mkono jinai za Israel Gaza

    Oct 08, 2024 11:46

    Mashirika ya kiraia nchini Malawi yameiomba serikali ya Lilongwe kutazama upya msimamo wake kuhusu vita vya Israel huko Gaza "kwa sababu mtazamo na msimamo wake wa sasa ni kinyume na maadili yake ya amani na heshima kwa ubinadamu."

  • Maelfu ya wakimbizi wa Kiafrika warejea makwao baada ya kuishi Malawi kwa miongo kadhaa

    Maelfu ya wakimbizi wa Kiafrika warejea makwao baada ya kuishi Malawi kwa miongo kadhaa

    Sep 23, 2024 11:43

    Makumi ya wakimbizi na watafuta hifadhi kutoka nchi za Kiafrika zilizoathiriwa na vita ambao walikuwa wakiishi Malawi kwa miongo kadhaa sasa wanarejea katika nchi zao kutokana na mpango wa hiari wa serikali unaotekelezwa na serikali ya Malawi pamoja na Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR ili kuwarejesha makwao wakimbizi.

  • Rais wa Malawi aitangaza Jumatatu kuwa siku ya mapumziko kwa ajili ya maziko ya Makamu wa Rais

    Rais wa Malawi aitangaza Jumatatu kuwa siku ya mapumziko kwa ajili ya maziko ya Makamu wa Rais

    Jun 16, 2024 06:08

    Rais Lazarus Chakwera wa Malawi ameitangaza Jumatatu ya kesho ya Juni 17 kuwa siku ya mapumziko ya kitaifa ili kuruhusu raia wa Malawi kuhudhuria au kufuatilia, maziko ya Makamu wa Rais wa nchi hiyo Saulos Chilima aliyefariki dunia katika ajali ya ndege siku ya Jumatatu iliyopita ya Juni 10.

  •  Malawi yawataka wakulima kustafidi na soko la China ili kukuza uchumi

    Malawi yawataka wakulima kustafidi na soko la China ili kukuza uchumi

    Apr 21, 2024 07:48

    Mamlaka husika nchini Malawi zinawataka wakulima wa ndani kuingia katika soko la tumbaku na soya nchini China ili kukuza akiba ya fedha za kigeni nchini humo na kuimarisha uchumi.

  • Waliofariki dunia kwa Kimbunga Freddy Malawi wakaribia 700

    Waliofariki dunia kwa Kimbunga Freddy Malawi wakaribia 700

    Mar 30, 2023 02:29

    Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na Kimbunga Freddy nchini Malawi, ambacho kinatajwa kuwa kimbunga kilichodumu kwa muda mrefu zaidi, imeonezeka na kufikia watu 676.

  • UNICEF: Mlipuko wa kipindupindu unatishia maisha ya watoto nchini Malawi

    UNICEF: Mlipuko wa kipindupindu unatishia maisha ya watoto nchini Malawi

    Mar 08, 2023 03:01

    Ripoti iliyotolewa na Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) imesema kufikia tarehe 26 Februari mwaka huu, kesi 48,815 za kipindupindu na vifo 1,5471 vimesajiliwa nchini Malawi. Ripoti hiyo imesema kesi 12,293 na vifo 203 kati ya watoto ziliripotiwa kwa jumla nchini Malawi kufikia Februari 19, 2023.

  • Mahakama Kuu ya Malawi yamrejesha kazini mkuu wa kupambana na rushwa

    Mahakama Kuu ya Malawi yamrejesha kazini mkuu wa kupambana na rushwa

    Feb 07, 2023 11:48

    Mahakama Kuu ya Malawi imeondoa zuio la serikali alilokuwa amewekewa Bi Martha Chizuma, Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Rushwa ya nchi hiyo na hivyo kutoa mwanya wa kurejea kazini.

  • Mripuko wa kipindupindu waua mamia ya watu nchini Malawi

    Mripuko wa kipindupindu waua mamia ya watu nchini Malawi

    Nov 10, 2022 10:59

    Wizara ya Afya ya Malawi imetangaza habari ya kuaga dunia mamia ya watu kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini humo.

  • Malawi yaripoti mripuko wa polio, kesi ya kwanza Afrika baada ya miaka 5

    Malawi yaripoti mripuko wa polio, kesi ya kwanza Afrika baada ya miaka 5

    Feb 19, 2022 02:55

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza habari ya kuibuka mripuko wa ugonjwa wa kupooza (polio) nchini Malawi, hii ikiwa ni kesi ya kwanza ya virusi vya polio ya msitu kuripotiwa barani Afrika baada ya kupita zaidi ya miaka mitano.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS