-
Wanamgambo 20 wauawa katika mpaka wa Mali na Burkina Faso
May 01, 2017 03:01Taarifa kutoka nchini Mali zinasema kuwa, zaidi ya wanamgambo 20 wameuawa katika mpaka wa nchi mbili za magharibi mwa Afrika za Mali na Burkina Faso.
-
Takwa kwa jamii ya kimataifa la kuingilia haraka kadhia ya Libya
Apr 17, 2017 23:22Kufuatia kuendelea vurugu na machafuko nchini Libya na kuweko uwezekano wa kuibuka tena vita vya ndani katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo, Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imeitaka jamii ya kimataifa iingilie kati mgogoro wa nchi hiyo na kuhitimisha machafuko ya ndani.
-
Watu 16 wauwa katika mapigano nchini Sudan Kusini
Apr 11, 2017 12:05Kwa akali watu 16 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika mapigano baina ya wanajeshi wa serikali na waasi nchini Sudan Kusini.
-
Waasi 20 wa M23 wauawa mashariki mwa DRC
Mar 02, 2017 12:13Waasi wasiopungua 20 wameuawa katika mapigano yaliyozuka kwenye siku za hivi karibuni kati ya wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 mkoani Kivu Kaskazini.
-
Magaidi wawili waangamizwa magharibi mwa Tunisia
Feb 18, 2017 04:13Wizara ya Ulinzi ya Tunisia imetangaza kuwa, magaidi wawili wakufurishaji wameangamizwa katika maeneo ya milimani ya jimbo la Kasserine la magharibi mwa nchi hiyo katika operesheni maalumu ya jeshi ya kupambana na magenge ya kigaidi.
-
ECCAS yatoa wito wa kukomeshwa machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati
Feb 15, 2017 12:17Jumuiya ya Kiuchumi ya nchi za Katikati mwa Afrika ECCAS imesisitiza kuwa, kuna haja ya kukomeshwa machafuko katika Jamhutri ya Afrika ya Kati.
-
Ripoti ya Umoja wa Mataifa na wasi wasi juu ya Sudan Kusini
Feb 15, 2017 09:25Kufuatia kuendelea mapigano nchini Sudan Kusini, Umoja wa Mataifa umezitaja taathira za vita vya ndani nchini humo kuwa ni janga na kuonya juu ya uwezekano wa kuendelea mapigano hayo kwa miaka kadhaa ijayo.
-
Operesheni ya kupambana na waasi yaendelea CAR
Feb 11, 2017 23:31Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati ametangaza habari ya kuendelea operesheni kadhaa za kupambana na makundi yenye silaha.
-
Gadi ya Taifa yaundwa katika mji mkuu wa Libya,Tripoli
Feb 10, 2017 12:05Kikosi cha jeshi kwa jina la "Gadi ya Taifa" chenye mfungamano na Serikali ya Wokovu ya Libya kimeasisiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.
-
Wanne wauawa katika machafuko mapya Jamhuri ya Afrika ya Kati
Feb 08, 2017 13:12Watu wanne wameuawa baada ya kuzuka mapigano mapya baina ya watu wenye silaha na vikosi vya kulinda usalama vya Jamhuri ya Afrika ya Kati.