Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mapigano

  • Wanamgambo 20 wauawa katika mpaka wa Mali na Burkina Faso

    Wanamgambo 20 wauawa katika mpaka wa Mali na Burkina Faso

    May 01, 2017 03:01

    Taarifa kutoka nchini Mali zinasema kuwa, zaidi ya wanamgambo 20 wameuawa katika mpaka wa nchi mbili za magharibi mwa Afrika za Mali na Burkina Faso.

  • Takwa kwa jamii ya kimataifa la kuingilia haraka kadhia ya Libya

    Takwa kwa jamii ya kimataifa la kuingilia haraka kadhia ya Libya

    Apr 17, 2017 23:22

    Kufuatia kuendelea vurugu na machafuko nchini Libya na kuweko uwezekano wa kuibuka tena vita vya ndani katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo, Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya imeitaka jamii ya kimataifa iingilie kati mgogoro wa nchi hiyo na kuhitimisha machafuko ya ndani.

  • Watu 16 wauwa katika mapigano nchini Sudan Kusini

    Watu 16 wauwa katika mapigano nchini Sudan Kusini

    Apr 11, 2017 12:05

    Kwa akali watu 16 wameuawa na wengine wengi kujeruhiwa katika mapigano baina ya wanajeshi wa serikali na waasi nchini Sudan Kusini.

  • Waasi 20 wa M23 wauawa mashariki mwa DRC

    Waasi 20 wa M23 wauawa mashariki mwa DRC

    Mar 02, 2017 12:13

    Waasi wasiopungua 20 wameuawa katika mapigano yaliyozuka kwenye siku za hivi karibuni kati ya wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 mkoani Kivu Kaskazini.

  • Magaidi wawili waangamizwa magharibi mwa Tunisia

    Magaidi wawili waangamizwa magharibi mwa Tunisia

    Feb 18, 2017 04:13

    Wizara ya Ulinzi ya Tunisia imetangaza kuwa, magaidi wawili wakufurishaji wameangamizwa katika maeneo ya milimani ya jimbo la Kasserine la magharibi mwa nchi hiyo katika operesheni maalumu ya jeshi ya kupambana na magenge ya kigaidi.

  • ECCAS yatoa wito wa kukomeshwa machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    ECCAS yatoa wito wa kukomeshwa machafuko katika Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Feb 15, 2017 12:17

    Jumuiya ya Kiuchumi ya nchi za Katikati mwa Afrika ECCAS imesisitiza kuwa, kuna haja ya kukomeshwa machafuko katika Jamhutri ya Afrika ya Kati.

  • Ripoti ya Umoja wa Mataifa na wasi wasi juu ya Sudan Kusini

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa na wasi wasi juu ya Sudan Kusini

    Feb 15, 2017 09:25

    Kufuatia kuendelea mapigano nchini Sudan Kusini, Umoja wa Mataifa umezitaja taathira za vita vya ndani nchini humo kuwa ni janga na kuonya juu ya uwezekano wa kuendelea mapigano hayo kwa miaka kadhaa ijayo.

  • Operesheni ya kupambana na waasi yaendelea CAR

    Operesheni ya kupambana na waasi yaendelea CAR

    Feb 11, 2017 23:31

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Afrika ya Kati ametangaza habari ya kuendelea operesheni kadhaa za kupambana na makundi yenye silaha.

  • Gadi ya Taifa yaundwa katika mji mkuu wa Libya,Tripoli

    Gadi ya Taifa yaundwa katika mji mkuu wa Libya,Tripoli

    Feb 10, 2017 12:05

    Kikosi cha jeshi kwa jina la "Gadi ya Taifa" chenye mfungamano na Serikali ya Wokovu ya Libya kimeasisiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tripoli.

  • Wanne wauawa katika machafuko mapya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Wanne wauawa katika machafuko mapya Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Feb 08, 2017 13:12

    Watu wanne wameuawa baada ya kuzuka mapigano mapya baina ya watu wenye silaha na vikosi vya kulinda usalama vya Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS