-
Kushadidi mgogoro wa Sudan Kusini baada ya kusimamishwa shughuli za mashirika ya kimataifa
Feb 01, 2017 07:23Sambamba na kuendelea mgogoro wa Sudan Kusini na kuongezeka machafuko katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika, shughuli za jumuiya na mashirika ya kimataifa zimesitishwa na kuifanya hali ya wananchi kuwa mbaya zaidi.
-
Mapigano mapya yaibuka eneo la Malakal, Sudan Kusini
Feb 01, 2017 04:12Umoja wa Mataifa umesema mapigano mapya yameibuka katika eneo lenye utajiri wa mafuta la Malakal huko Sudan Kusini.
-
Polisi mmoja auawa kaskazini mashariki mwa Kenya
Jan 23, 2017 11:38Jeshi la polisi nchini Kenya limetangaza habari ya kuuawa afisa mmoja wa polisi wakati wanamgambo wanaosadikiwa ni wa kundi la kigaidi la al Shabab walipotega mabomu katika benki moja na mikahawa miwli huko Mandera, kaskazini mashariki mwa Kenya.
-
Makumi wauawa Kongo DR katika mapigano ya kikabila na jeshi
Jan 08, 2017 04:20Ofisi inayoshughulikia masuala ya kibinaadamu ya Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, imetangaza habari ya kuuawa makumi ya watu katika mapigano makali yaliyojiri katikati mwa nchi hiyo.
-
Wanajeshi wa DRC wakabiliana na waasi mashariki mwa nchi
Jan 04, 2017 12:52Wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameendelea kupambana na waasi wa Mai Mai, mashariki mwa nchi hiyo.
-
Wapinzani wapambana na polisi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Dec 29, 2016 11:22Maandamano ya nchi nzima huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yamewalazimisha polisi kuingilia kati kukabiliana nayo.
-
Waasi: Tumeua na kuteka wanajeshi wa serikali DRC
Dec 10, 2016 10:27Mwanajeshi mmoja wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameuawa katika mapigano na waasi wanaojulikana kwa jina la kikosi cha wamapambano wa mkoa wa Ituri FRPI huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kubwa ya katikati mwa Afrika. Waasi hao wanadai wameua na kuteka wanajeshi kadhaa.
-
Watu 31 wauawa katika mapigano mapya Kongo DR
Dec 06, 2016 12:12Makumi ya watu wameuawa katika mapigano kati ya kundi la waasi na maafisa usalama kati kati mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Indhari ya UN juu ya uwezekano wa kutokea mauaji ya kimbari Sudan Kusini
Dec 02, 2016 13:01Kutokana na kuendelea mapigano nchini Sudan Kusini kuna hatari ya kutokea mauaji ya kimbari nchini humo.
-
Watu wanane wauawa katika mapigano nchini Libya
Dec 02, 2016 04:11Kwa akali watu wanane wameripotiwa kuuawa katika mapigano mapya yaliyotokea katika mji mkuu wa Libya, Tripoli.