Wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wameendelea kupambana na waasi wa Mai Mai, mashariki mwa nchi hiyo.
Maandamano ya nchi nzima huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) yamewalazimisha polisi kuingilia kati kukabiliana nayo.
Mwanajeshi mmoja wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ameuawa katika mapigano na waasi wanaojulikana kwa jina la kikosi cha wamapambano wa mkoa wa Ituri FRPI huko kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kubwa ya katikati mwa Afrika. Waasi hao wanadai wameua na kuteka wanajeshi kadhaa.
Makumi ya watu wameuawa katika mapigano kati ya kundi la waasi na maafisa usalama kati kati mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Kutokana na kuendelea mapigano nchini Sudan Kusini kuna hatari ya kutokea mauaji ya kimbari nchini humo.
Kwa akali watu wanane wameripotiwa kuuawa katika mapigano mapya yaliyotokea katika mji mkuu wa Libya, Tripoli.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali machafuko ya hivi karibuni katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR)
Idadi ya watu waliouawa katika mapigano yaliyozuka katika eneo moja magharibi mwa Uganda kati ya vikosi vya usalama na kundi moja lenye silaha inaripotiwa kufikia 55.
Polisi ya Uganda imetangaza kuwa, watu wasiopungua 14 wameuawa magharibi mwa nchi hiyo, katika mapigano kati ya polisi na watu wenye silaha.
Kwa akali watu 15 wameuawa katika makabiliano mapya kati ya jeshi la serikali na waasi, katika kijiji cha Adaab el Bahr, Jimbo la Unity, nchini Sudan Kusini karibu na mpaka wa pamoja na Sudan.