Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mapigano

  • UN yalaani machafuko Jamhuri ya Afrika ya Kati

    UN yalaani machafuko Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Nov 29, 2016 03:35

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani vikali machafuko ya hivi karibuni katika Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR)

  • Watu 55 wauawa katika mapigano magharibi mwa Uganda

    Watu 55 wauawa katika mapigano magharibi mwa Uganda

    Nov 28, 2016 00:55

    Idadi ya watu waliouawa katika mapigano yaliyozuka katika eneo moja magharibi mwa Uganda kati ya vikosi vya usalama na kundi moja lenye silaha inaripotiwa kufikia 55.

  • Polisi: Watu 14 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Uganda

    Polisi: Watu 14 wameuawa katika mapigano magharibi mwa Uganda

    Nov 27, 2016 04:02

    Polisi ya Uganda imetangaza kuwa, watu wasiopungua 14 wameuawa magharibi mwa nchi hiyo, katika mapigano kati ya polisi na watu wenye silaha.

  • Watu 15 wauawa katika mapigano mapya Sudan Kusini

    Watu 15 wauawa katika mapigano mapya Sudan Kusini

    Nov 18, 2016 04:08

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika makabiliano mapya kati ya jeshi la serikali na waasi, katika kijiji cha Adaab el Bahr, Jimbo la Unity, nchini Sudan Kusini karibu na mpaka wa pamoja na Sudan.

  • Makumi wauawa katika mapigano mjini Galkayo, Somalia

    Makumi wauawa katika mapigano mjini Galkayo, Somalia

    Nov 08, 2016 03:52

    Watu karibu 30 wameuawa na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa katika mapigano mapya yaliyozuka kati ya vikosi vya majimbo mawili hasimu yenye mamlaka ya ndani nchini Somalia.

  • 38 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano Niger

    38 wauawa na kujeruhiwa katika mapigano Niger

    Nov 02, 2016 11:00

    Watu 18 wameuawa na wengine zaidi ya 20 wamejeruhiwa katika mapigano makali kati ya wakulima na wafugaji nchini Niger.

  • 11 wauawa,  14 watoweka katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    11 wauawa, 14 watoweka katika mapigano Jamhuri ya Afrika ya Kati

    Oct 06, 2016 10:53

    Habari kutoka Bangui, mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati zinaarifu kuwa, watu zaidi ya 11 wameuawa huku wengine 14 wakitoweka kufuatia mapigano makali yaliyojiri baada ya kuuawa mwanajeshi wa nchi hiyo ya kati kati mwa Afrika.

  • Mapigano kati ya pande zilizosaini makubaliano ya amani Mali

    Mapigano kati ya pande zilizosaini makubaliano ya amani Mali

    Sep 18, 2016 02:27

    Watu 10 wameuawa katika mapigano kati ya pande zilizosaini makubaliano ya amani huko Mali.

  • Dak: Machar ametoroka Sudan Kusini kwa kuandamwa na maafisa usalama

    Dak: Machar ametoroka Sudan Kusini kwa kuandamwa na maafisa usalama

    Aug 18, 2016 09:25

    Msemaji wa kiongozi wa upinzani nchini Sudan Kusini amesema Riek Machar ameikimbia nchi hiyo kutokana na kuandamwa na maafisa usalama wa serikali, ambao wamekuwa wakimsaka kwa udi na uvumba tangu aukimbie mji mkuu Juba zaidi ya mwezi mmoja uliopita.

  • Watu kadhaa wauawa katika machafuko mapya CAR

    Watu kadhaa wauawa katika machafuko mapya CAR

    Jul 25, 2016 03:38

    Kwa akali watu watatu wameuawa katika wimbi jipya la mashambulizi ya makundi ya waasi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS