-
Wapinzani: Kuna njama ya kujaza nafasi ya Machar Sudan Kusini
Jul 24, 2016 03:21Wafuasi wa karibu wa Riek Machar, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini wamedai kuwa Rais Salva Kiir anapanga njama ya kujaza nafasi ya Machar ambaye kwa sasa hayuko katika mji mkuu Juba.
-
Mapigano ya kikabila yauwa na kujeruhi watu kadhaa Kivu Kaskazini
Jul 20, 2016 11:41Watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila yaliyojiri katika kijiji kimoja mkoani Kivu ya Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
-
Riek Machar aondoka Juba, nchi za Ulaya zawaondoa raia wao Sudan Kusini
Jul 13, 2016 10:52Makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar ameondoka katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba pamoja na askari wanaomuunga mkono na kwenda kusikojulikana.
-
Mapigano yaendelea kushuhudiwa Sudan Kusini
Jul 09, 2016 03:10Baada ya siku moja ya mapigano ya umwagaji damu kati ya waungaji mkono na wapinzani wa Sudan Kusini katika mji mkuu Juba, kumeripotiwa kutokea ufyatualianaji risasi katika eneo lililopo jirani na ikulu ya Rais.
-
Sudan Kusini yazidi kuzama katika dimbwi la vita vya ndani
Jun 26, 2016 10:43Mapigano makali ya silaha baina ya jeshi la serikali na makundi ya waasi yameshadidi katika mji wa Wau ulioko katika jimbo la Bahr el Ghazal nchini Sudan Kusini.
-
14 wauawa katika mapigano Sirte, Libya
Jun 25, 2016 02:01Kwa akali watu 14 wameuawa katika mapigano makali kati ya jeshi la Libya na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mji wa Sirte.
-
30,000 wafurushwa Fallujah Iraq katika muda wa siku 3 zilizopita
Jun 20, 2016 00:54Baraza la Wakimbizi la Norway limesema kwa akali watu 30,000 wamelazimika kuyahama makazi yao katika mji wa Fallujah nchini Iraq katika muda wa siku 3 zilizopita kutokana na kushtadi mapigano katika mji huo wa kistratajia kati ya vikosi vya jeshi na kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).
-
Mapigano ya polisi na raia yaua watu kadhaa Congo DR
Apr 18, 2016 00:18Mapigano yaliyotokea baina ya polisi na raia wa kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yamesababisha mauaji ya watu kadhaa.
-
Houthi: Tutaheshimu makubaliano ya usitishaji vita Yemen
Apr 11, 2016 03:46Harakati ya Houthi ya Yemen imesema itaheshimu makubaliano ya usitishaji vita nchini humo.
-
Machafuko yashtadi Brazaville, maelfu wakimbilia usalama wao
Apr 05, 2016 03:04Maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Congo wameukimbia mji mkuu wa nchi hiyo Brazaville kutokana na kushika kasi makabiliano yaliyoripuka jana Jumatatu kati ya maafisa usalama na kundi moja la waasi.