Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mapigano

  • Wapinzani: Kuna njama ya kujaza nafasi ya Machar Sudan Kusini

    Wapinzani: Kuna njama ya kujaza nafasi ya Machar Sudan Kusini

    Jul 24, 2016 03:21

    Wafuasi wa karibu wa Riek Machar, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini wamedai kuwa Rais Salva Kiir anapanga njama ya kujaza nafasi ya Machar ambaye kwa sasa hayuko katika mji mkuu Juba.

  • Mapigano ya kikabila yauwa na kujeruhi watu kadhaa Kivu Kaskazini

    Mapigano ya kikabila yauwa na kujeruhi watu kadhaa Kivu Kaskazini

    Jul 20, 2016 11:41

    Watu kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano ya kikabila yaliyojiri katika kijiji kimoja mkoani Kivu ya Kaskazini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Riek Machar aondoka Juba, nchi za Ulaya zawaondoa raia wao Sudan Kusini

    Riek Machar aondoka Juba, nchi za Ulaya zawaondoa raia wao Sudan Kusini

    Jul 13, 2016 10:52

    Makamu wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar ameondoka katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba pamoja na askari wanaomuunga mkono na kwenda kusikojulikana.

  • Mapigano yaendelea kushuhudiwa Sudan Kusini

    Mapigano yaendelea kushuhudiwa Sudan Kusini

    Jul 09, 2016 03:10

    Baada ya siku moja ya mapigano ya umwagaji damu kati ya waungaji mkono na wapinzani wa Sudan Kusini katika mji mkuu Juba, kumeripotiwa kutokea ufyatualianaji risasi katika eneo lililopo jirani na ikulu ya Rais.

  • Sudan Kusini yazidi kuzama katika dimbwi la vita vya ndani

    Sudan Kusini yazidi kuzama katika dimbwi la vita vya ndani

    Jun 26, 2016 10:43

    Mapigano makali ya silaha baina ya jeshi la serikali na makundi ya waasi yameshadidi katika mji wa Wau ulioko katika jimbo la Bahr el Ghazal nchini Sudan Kusini.

  • 14 wauawa katika mapigano Sirte, Libya

    14 wauawa katika mapigano Sirte, Libya

    Jun 25, 2016 02:01

    Kwa akali watu 14 wameuawa katika mapigano makali kati ya jeshi la Libya na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh katika mji wa Sirte.

  • 30,000 wafurushwa Fallujah Iraq katika muda wa siku 3 zilizopita

    30,000 wafurushwa Fallujah Iraq katika muda wa siku 3 zilizopita

    Jun 20, 2016 00:54

    Baraza la Wakimbizi la Norway limesema kwa akali watu 30,000 wamelazimika kuyahama makazi yao katika mji wa Fallujah nchini Iraq katika muda wa siku 3 zilizopita kutokana na kushtadi mapigano katika mji huo wa kistratajia kati ya vikosi vya jeshi na kundi la kigaidi la Daesh (ISIS).

  • Mapigano ya polisi na raia yaua watu kadhaa Congo DR

    Mapigano ya polisi na raia yaua watu kadhaa Congo DR

    Apr 18, 2016 00:18

    Mapigano yaliyotokea baina ya polisi na raia wa kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yamesababisha mauaji ya watu kadhaa.

  • Houthi: Tutaheshimu makubaliano ya usitishaji vita Yemen

    Houthi: Tutaheshimu makubaliano ya usitishaji vita Yemen

    Apr 11, 2016 03:46

    Harakati ya Houthi ya Yemen imesema itaheshimu makubaliano ya usitishaji vita nchini humo.

  • Machafuko yashtadi Brazaville, maelfu wakimbilia usalama wao

    Machafuko yashtadi Brazaville, maelfu wakimbilia usalama wao

    Apr 05, 2016 03:04

    Maelfu ya wananchi wa Jamhuri ya Congo wameukimbia mji mkuu wa nchi hiyo Brazaville kutokana na kushika kasi makabiliano yaliyoripuka jana Jumatatu kati ya maafisa usalama na kundi moja la waasi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS