-
Hizbullah: Ukraine ilifanya makosa kuitegemea Marekani
Feb 26, 2022 04:18Mkuu wa Baraza Kuu la harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema ni makosa kwa baadhi ya nchi kutegemea uungwaji mkono na himaya ya Marekani, na kwamba kadhia ya Ukraine imethibitisha tena ukweli huo.
-
Vikwazo vyenye wigo mpana vya Wamagharibi dhidi ya Russia
Feb 25, 2022 10:03Baada ya Russia kuchukua uamuzi wa kuishambuulia kijeshi Ukraine, kambi ya magharibi imeonyesha radiamali katika fremu ya kuiwekea vikwazo Moscow ambapo kabla ya hapo madola hayo yalikuwa yameahidi kuchukua uamuzi huo.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Hatua za kichochezi za NATO zimeifanya hali katika eneo iwe tata
Feb 25, 2022 09:39Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya leo mjini Tehrah amesema, hatua za kichochezi zilizochukuliwa na shirika la kijeshi la NATO kwa uongozi wa Marekani zimetatanisha hali ya mambo katika eneo; na si hasha zikaifanya iwe tata zaidi.
-
Jeshi la Yemen laitungua droni ya pili ya Marekani katika mkoa wa Ma'rib
Feb 25, 2022 09:11Jeshi la Yemen likishirikiana na vikosi vya kujitolea vya wananchi zimeitungua ndege ya pili isiyo na rubani iliyoundwa na Marekani.
-
Chama cha Fat'h: Marekani inashirikiana na Israel kuwakandamiza Wapalestina
Feb 25, 2022 03:25Katibu wa Kamati Kuu ya chama cha Fat'h cha Palestina amesema kuwa, eneo la Sheikh Jarrah na maeneo mengine ya Quds yanayokaliwa kwa mabavu, yanaendelea kushuhudia vitendo vya kigaidi vya utawala wa Kizayuni wa Israel na kwamba jinai hizo zinafanyika kwa uungaji mkono kamili wa Marekani.
-
Takwimu: Vifo vya uzazi vimeongezeka Marekani kutokana na ubaguzi wa rangi
Feb 24, 2022 09:05Vifo vya uzazi vya akina mama nchini Marekani, ambayo ndiyo inavyoongoza kwa sasa duniani, vilifikia kiwango cha juu zaidi katika nusu karne mwaka wa 2020, na uwezekano wa kufariki dunia wanawake weusi wenye asili ya Afrika raia wa Marekani ni mara tatu zaidi ya wanawake wa kizungu.
-
Iran: Uingiliaji wa US, NATO umeshadidisha mgogoro wa Ukraine
Feb 22, 2022 23:12Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa vikali chokochoko za Marekani na shirika la kijeshi la NATO katika mgogoro wa Ukraine na kusisitiza kuwa, uingiliaji huo umeshadidisha taharuki mashariki mwa nchi hiyo jirani na Russia.
-
Msimamo wa mwakilishi maalumu wa Marekani katika masuala ya Afghanistan kuhusu kuendelezwa diplomasia na Taliban
Feb 22, 2022 11:14Baada ya kupita miezi sita tangu wanamgambo wa Taliban wachukue madaraka nchini Afghanistan, mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Afghanistan amesema kuwa, kuendelezwa mawasiliano na Taliban na kufanyika mazungumzo baina ya Waafghani ndio chaguo bora zaidi na ni kwa maslahi ya pande zote nchini humo pamoja na jamii ya kimataifa.
-
Newsweek: Trump yumkini akafungwa jela miaka mitano
Feb 20, 2022 21:43Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, huenda akafungwa jela miaka mitano kwa madai kwamba alichukua nyaraka za siri za Ikulu ya Rais wa Marekani kuhusiana na usalama wa taifa alipoondoka madarakani mwaka jana.
-
Familia yalaani hukumu 'laini' dhidi ya polisi mzungu aliyeua kijana mweusi US
Feb 20, 2022 04:31Wanasheria na familia ya kijana mwenye asili ya Afrika aliyeuawa na polisi mzungu nchini Marekani mwaka jana wamelaani vikali kitendo cha kuhukumiwa kifungo cha miaka miwili pekee askari huyo muuaji katika mji Minneapolis.