Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Iran yaikosoa Marekani kwa kuingiza udikteta kwenye michezo

    Iran yaikosoa Marekani kwa kuingiza udikteta kwenye michezo

    Jan 09, 2022 23:19

    Rais wa Kamati ya Taifa ya Olimpiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeikashifu na kuikosoa vikali Marekani kwa hatua yake ya kususia Michezo ya Olimpiki ya Msimu wa Baridi Kali itakayofanyika huko Beijing, China.

  • Instagram yafuta jumbe zinazozungumzia Jenerali Soleimani

    Instagram yafuta jumbe zinazozungumzia Jenerali Soleimani

    Jan 08, 2022 09:02

    Wananchi wa Iran wameanzisha kampeni ya kulalamikia hatua ya mtandao wa kijamii wa Instagram ya kuendelea kufuta jumbe zinazohusiana na Luteni Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Sisitizo la China la kuitaka Marekani iiondolee vikwazo Iran

    Sisitizo la China la kuitaka Marekani iiondolee vikwazo Iran

    Jan 07, 2022 04:02

    Kabla ya kuanza duru ya nane ya mazungumzo ya Vienna kuhusu JCPOA, China imeitaja Marekani kuwa mhusika katika uvurugaji mapatano ya JCPOA na hivyo imeitaka isitishe utekelezaji wa sera zake za vikwazo na mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran. Zhao Lijian Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China amesema ni wazi kuwa, kwa mtazamo wa kisheria na kimaadili, vikwazo vyote vya Marekani dhidi ya Iran vinapaswa kuondolewa.

  • Zaidi ya Watu laki saba wengine wagunduliwa kukumbwa na corona siku moja nchini Marekani

    Zaidi ya Watu laki saba wengine wagunduliwa kukumbwa na corona siku moja nchini Marekani

    Jan 06, 2022 09:04

    Data mpya zilizotolewa na serikali ya Marekani kuhusu wagonjwa wa UVIKO-19 au corona nchini humo zinaonesha kuwa, nchi hiyo ya Magharibi inaendelea kuvunja rekodi za mataifa mengine duniani kwa idadi kubwa ya wagonjwa wa corona. Zaidi ya watu laki saba wengine wamepatikana wana ugonjwa huo nchni humo katika kipindi cha siku moja.

  • Kuongezeka vitendo vya ukatili nchini Marekani; 400 wauawa katika siku nne za mwanzo wa mwaka 2022

    Kuongezeka vitendo vya ukatili nchini Marekani; 400 wauawa katika siku nne za mwanzo wa mwaka 2022

    Jan 06, 2022 05:11

    Vitendo vya ukatili na utumiaji mabavu vinatishia kwa kiwango kikubwa sana maisha ya raia wa Marekani na ripoti zinassma kuwa, Wamarekani 400 wameuawa kwa kupigwa risasi katika siku nne tu za mwanzo za mwaka huu mpya wa 2022 na wengine 277 wamejeruhiwa.

  • Marekani yaingiwa na kiwewe baada ya Pyongyang kuvurumisha kombora la balestiki

    Marekani yaingiwa na kiwewe baada ya Pyongyang kuvurumisha kombora la balestiki

    Jan 05, 2022 23:19

    Marekani imeingiwa na kiwewe baada ya jeshi la Korea Kaskazini kuvurumisha baharini kombora jingine la balestiki.

  • Brigedia Jenerali Qaani: Wauaji wa Kamanda Soleimani hawatakuwa salama

    Brigedia Jenerali Qaani: Wauaji wa Kamanda Soleimani hawatakuwa salama

    Jan 05, 2022 04:15

    Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema: Wauaji wa Luteni Jenerali Qasem Soleimani walidhani kuwa wameshinda kwa kumuua, lakini hawakujua kwamba hawatakuwa salama.

  • Ahadi ya Marekani ya kuilinda Ukraine

    Ahadi ya Marekani ya kuilinda Ukraine

    Jan 03, 2022 23:15

    Jumapili iliyopita Rais wa Marekani Joe Biden alizungumza kwa njia ya simu na mwenzake wa Ukraine, Volodymyr Zelinsky, na kujadili jinsi Marekani na washirika wake watakavyojibu shambulio lolote la kijeshi la Russia dhidi ya nchi hiyo.

  • Kuuliwa shahidi Qasem Soleiman na kasi ya kuporomoka nafasi ya Marekani eneo la Asia Magharibi

    Kuuliwa shahidi Qasem Soleiman na kasi ya kuporomoka nafasi ya Marekani eneo la Asia Magharibi

    Jan 03, 2022 07:46

    Leo tarehe 3 Januari 2022, inasadifiana na kumbukumbu ya mwaka wa pili wa mauaji ya Jenerali Qasem Soleimani, aliyekuwa Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu yaliyofanywa na serikali ya Marekani.

  • Waislamu Marekani watoa wito wa kukomeshwa ujasusi dhidi ya jamii yao

    Waislamu Marekani watoa wito wa kukomeshwa ujasusi dhidi ya jamii yao

    Dec 31, 2021 04:48

    Kundi kubwa la kutetea haki za Waislamu nchini Marekani limetoa wito wa kusitishwa ujasusi unaofanya dhidi ya jamii ya wafuasi wa dini hiyo na kuchukuliwa hatua kali kwa wahusika wa vitendo hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS