• Mashambulizi ya US yaliua makumi ya watu Venezuela; Afrika Kusini yalaani

    Mashambulizi ya US yaliua makumi ya watu Venezuela; Afrika Kusini yalaani

    Jan 04, 2026 07:00

    Zaidi ya watu 40 waliuawa katika mashambulizi ya anga ya Marekani dhidi ya Venezuela siku ya Jumamosi, wakiwemo raia na wanajeshi, gazeti la New York Times limeripoti, likimnukuu afisa mkuu wa Venezuela ambaye hakutaka jina lake litajwe.

  • Marekani yaripuka kwa maandamano ya kulaani uvamizi wa kijeshi dhidi ya Venezuela

    Marekani yaripuka kwa maandamano ya kulaani uvamizi wa kijeshi dhidi ya Venezuela

    Jan 04, 2026 06:45

    Wananchi wa Marekani wamemiminika mitaani na mabarabarani kote nchini humo kushiriki maandamano ya kupinga na kushutumu uchokozi wa kijeshi wa Washington dhidi ya Venezuela, na kutekwa nyara kwa Rais Nicolas Maduro na mkewe, Cilia Flores.

  • Trump: Marekani ‘itajihusisha kwa nguvu’ katika sekta ya mafuta ya Venezuela

    Trump: Marekani ‘itajihusisha kwa nguvu’ katika sekta ya mafuta ya Venezuela

    Jan 04, 2026 03:02

    Katika matamshi yake ya uingiliaji kati, Rais Donald Trump wa Marekani amesema kuwa Washington itakuwa na nafasi kuu katika sekta ya mafuta ya Venezuela kufuatia mashambulizi ya kijeshi ya jana ya Marekani dhidi ya Caeacas yaliyopelekea kukamatwa Rais wa Venezuela Nicolas maduro.

  • 2025, mwaka wa kushindwa uchumi wa Marekani

    2025, mwaka wa kushindwa uchumi wa Marekani

    Jan 04, 2026 02:40

    Gazeti la Marekani la Axios limeandika kuwa: Katika mwaka uliomalizika majuzi wa 2025, ambao ulikuwa mwaka wa kwanza wa urais wa Donald Trump, uchumi wa Marekani ulifika kwenye ukingo wa mgogoro kutokana na mfumuko wa bei, kupungua kwa ajira, na kutoridhika kwa umma.

  • Iran yaihutubu UN kuhusu 'mwenendo haramu endelevu' wa Trump

    Iran yaihutubu UN kuhusu 'mwenendo haramu endelevu' wa Trump

    Jan 03, 2026 03:31

    Iran imeuonya rasmi Umoja wa Mataifa kuhusu "mwenendo haramu endelevu" wa Marekani, kufuatia matamshi ya vitisho ya Rais Donald Trump ambayo Jamhuri ya Kiislamu imeyashutumu na kuyaeleza kama ya uingiliaji wa mambo yake ya ndani na tishio la wazi la utumiaji nguvu.

  • Araghchi amjibu Trump: Vikosi vya Iran viko tayari kujibu mapigo

    Araghchi amjibu Trump: Vikosi vya Iran viko tayari kujibu mapigo

    Jan 02, 2026 23:24

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amemuonya Rais wa Marekani, Donald Trump dhidi ya kuingilia masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu, akikosoa matamshi yake ya hivi karibuni na kuyaeleza kuwa "yasiyo na busara na hatarishi," na kusisitiza kwamba vikosi vya jeshi la Iran vimejiandaa kikamilifu kulinda mamlaka ya kujitawala nchi hii.

  • Kwa nini Marekani imepoteza nafasi yake ya kimataifa?

    Kwa nini Marekani imepoteza nafasi yake ya kimataifa?

    Jan 02, 2026 23:08

    Gazeti la The Wall Street Journal limeandika katika ripoti yake kwamba: "Marekani imepoteza hadhi yake ya kimataifa kwa kiasi kikubwa katika miaka 25 ya kwanza ya karne ya 21, kutokana na utawala mbaya, vita vya gharama kubwa na migogoro ya ndani."

  • Iran yajibu bwabwaja, vitisho na matamshi ya uingiliaji ya Trump

    Iran yajibu bwabwaja, vitisho na matamshi ya uingiliaji ya Trump

    Jan 02, 2026 06:47

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ameonya kwamba, uingiliaji kati wa Marekani katika masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu utavuruga utulivu wa eneo zima la Asia Magharibi na kuhatarisha moja kwa moja maslahi ya Marekani katika eneo.

  • Denmark: Tutasimama kidete dhidi ya mpango wa Trump kwa Greenland

    Denmark: Tutasimama kidete dhidi ya mpango wa Trump kwa Greenland

    Jan 02, 2026 06:43

    Waziri Mkuu wa Denmark, Mette Frederiksen amepinga vikali juhudi mpya za Marekani za kuinunua Greenland, akitoa hotuba kali dhidi ya mpango huo, huku mvutano wa kidiplomasia baina ya pande mbili hizo ukipamba moto.

  • Ujumbe wa wazi kutoka Russia kwa Marekani na Israel; sitisheni vitisho dhidi ya Iran

    Ujumbe wa wazi kutoka Russia kwa Marekani na Israel; sitisheni vitisho dhidi ya Iran

    Jan 01, 2026 06:46

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amekosoa vikali vitisho vya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran, na kusema jamii ya kimataifa inapinga sera hizo za vitisho.