-
Zarif: Kongamano lijalo la Marekani dhidi ya Iran huko Poland ni sarakasi
Jan 12, 2019 04:13Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu amesema mkutano wa Marekani na waitifaki wake dhidi ya Iran unaotazamiwa kufanyika mwezi ujao katika mji mkuu wa Poland, Warsaw ni mwendelezo wa michezo ya kuigiza na sarakasi za Wasington.
-
Russia yatilia shaka tangazo la Marekani la kuanza kuondoa askari wake Syria
Jan 11, 2019 12:37Russia imetilia shaka tamko la Marekani kwamba imeanza mchakato wa kuondoa vikosi vyake nchini Syria.
-
Marekani; sababu kuu ya ukosefu wa amani katika Mashariki ya Kati
Jan 10, 2019 21:43Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kadiri Wamarekani watakavyoondoka haraka nchini Syria ndivyo itakavyokuwa bora kwa wananchi wa nchi hiyo.
-
Zarif: Iran haitasitisha mpango wake wa kurusha roketi anga za mbali, licha ya makelele ya Marekani
Jan 09, 2019 23:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran itaendelea na mpango wake wa kurusha roketi katika anga za mbali licha ya onyo, vikwazo na pingamizi la Marekani.
-
Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran litapata ushindi wa kihistoria usiowahi kushuhudiwa dhidi ya vikwazo vya Marekani
Jan 09, 2019 13:34Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Marekani inasema kwa furaha kwamba vikwazo vya sasa dhidi ya taifa la Iran havijawahi kushuhudiwa katika historia; lakini taifa la Iran litapata ushindi dhidi yake katika suala hilo ambao pia haujawahi kushuhudiwa katika historia.
-
Mbunge wa Marekani alalamikia uungaji mkono wa Ikulu ya White House kwa Saudi Arabia
Jan 08, 2019 21:31Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi nchini Marekani, Ro Khanna amesema kuwa uungaji mkono wa ikulu ya White House kwa muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen, ni kitendo kisicho cha kibinaadamu.
-
Marais wa zamani wa Marekani hawaungi mkono shinikizo la Trump la kujengwa ukuta
Jan 08, 2019 21:30Marais wanne wa zamani wa Marekani wamekanusha madai ya Rais Donald Trump kwamba wanaunga mkono azma ya kujengwa ukuta katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico.
-
Mwakilishi Mwislamu nchini Marekani apinga hoja yenye kuwaunga mkono Wazayuni
Jan 08, 2019 11:01Mwakilishi Mwislamu wa Baraza la Wawakilishi nchini Marekani, amepinga hoja iliyowasilishwa na Seneta mmoja wa nchi hiyo ya kuwaunga mkono Wazayuni.
-
Admeri Shamkhani: Hakuna nchi yenye uthubutu wa kuishambulia kijeshi Iran
Jan 07, 2019 23:03Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezungumzia uwezo wa kiulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu na kusema kuwa, taifa hili lina nguvu na uwezo kiasi kwamba, hakuna nchi inayoweza kuthubutu kuishambulia kijeshi.
-
Malalamiko ya Syria kutokana na kuendelea jinai za muungano vamizi wa Marekani
Jan 07, 2019 04:50Kwa mara nyingine Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imewatumia barua mbili tofauti Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo, ikilalamikia jinai zinazofanywa na muungano vamizi unaojiita eti dhidi ya Daesh (ISIS) unaoongozwa na Marekani huko katika jimbo la Deir ez-Zor nchini humo.