Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Waislamu Marekani waendesha mchango wa kuwasaidia Mayahudi waliouliwa kigaidi na Mkristo Robert Bowers

    Waislamu Marekani waendesha mchango wa kuwasaidia Mayahudi waliouliwa kigaidi na Mkristo Robert Bowers

    Oct 29, 2018 10:57

    Jumuiya ya Waislamu wa Marekani imefanikiwa kukusanya mchango wa makumi ya maelfu ya dola katika juhudi zao za kuwasaidia wahanga wa shambulizi la kigaidi lililotokea katika hekalu la Kiyahudi la mjini Pittsburgh na kuua watu 11 na kujeruhi wengine sita.

  • Answarullah: Marekani ndio yenye maamuzi ya kuendelea au kukomeshwa vita Yemen

    Answarullah: Marekani ndio yenye maamuzi ya kuendelea au kukomeshwa vita Yemen

    Oct 29, 2018 10:24

    Mjumbe wa Kisiasa wa Harakati ya Answarullah nchini Yemen amesema kuwa, Saudi Arabia na nchi nyingine zilizoivamia nchi hiyo, zinafuata maamuzi ya Marekani katika kuendeleza au kukomeshwa vita vyao vya kichokozi nchini Yemen.

  • Trump atetea tena sheria ya kumiliki bunduki US licha ya Mayahudi 11 kuuawa Pittsburgh

    Trump atetea tena sheria ya kumiliki bunduki US licha ya Mayahudi 11 kuuawa Pittsburgh

    Oct 28, 2018 04:36

    Kwa mara nyingine tena, Rais wa Marekani, Donald Trump ameunga mkono sheria inayoruhusu kuuzwa na kumiliki silaha za moto kiholela nchini humo, licha ya kuweko upinzani mkali dhidi ya sheria hiyo ya kubeba bunduki hasa baada ya mashambulizi ya silaha hizo kushadidi nchini humo.

  • Aghalabu ya Wamarekani wanataka mfumo wa vyama vingi

    Aghalabu ya Wamarekani wanataka mfumo wa vyama vingi

    Oct 28, 2018 04:35

    Akthari ya wananchi wa Marekani wanaona kuwa mfumo wa vyama viwili vya kisiasa una mapungufu na kuna haja ya kuwa na chama au mrengo wa tatu wa kisiasa nchini humo.

  • Rais Rouhani: Iran itaipigisha magoti Marekani

    Rais Rouhani: Iran itaipigisha magoti Marekani

    Oct 27, 2018 12:12

    Rais Hassan Rouhani amesema kuhusu njama zinazofanywa na Marekani dhidi ya Iran, kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itachukua hatua makini ambazo zitaipigisha magoti Marekani.

  • Iran yaitaka dunia iheshimu uamuzi wa ICJ dhidi ya Marekani

    Iran yaitaka dunia iheshimu uamuzi wa ICJ dhidi ya Marekani

    Oct 26, 2018 10:31

    Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amezitaka nchi zote huru duniani kufungamana na uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ), kwa kutouinga mkono Marekani kuiwekea vikwazo Tehran.

  • Marekani, adui wa amani na usalama wa dunia

    Marekani, adui wa amani na usalama wa dunia

    Oct 25, 2018 23:04

    Uamuzi uliochukuliwa na Rais Donald Trump wa Marekani wa kujiondoa katika mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati (INF) ambao umechukuliwa katika fremu ya sera za Trump za kujiondoa katika mikataba ya kimataifa, umekabiliwa na upinzani mkubwa wa viongozi wa nchi na jumuiya mbalimbali za kimataifa.

  • Ulaya na Umoja wa Mataifa zasisitiza azma yao ya kuyalinda makubaliano ya JCPOA

    Ulaya na Umoja wa Mataifa zasisitiza azma yao ya kuyalinda makubaliano ya JCPOA

    Oct 25, 2018 08:28

    Licha ya Marekani kuyapinga makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, lakini nchi za Ulaya zinasisitiza kulindwa makubaliano hayo muhimu ya kimataifa. Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akichukua misimamo iliyo dhidi ya makubaliano hayo ambayo yalifikiwa mwezi Julai mwaka 2015 kati ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo marekani yenyewe na anayataja kuwa ni makubaliano mabaya zaidi kuwahi kufikiwa!

  • Marekani yashindwa kuiwekea vikwazo kamili vya kibenki Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Marekani yashindwa kuiwekea vikwazo kamili vya kibenki Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Oct 25, 2018 04:35

    Viongozi wa Marekani wamesema kuwa, serikali ya Rais Donald Trump hatimaye itairuhusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuweza kuendeleza mawasiliano yake ya kibenki kupitia mfumo wa SWIFT na kustafidi na huduma za utumaji fedha kimataifa.

  • Malengo halisi ya Marekani ya kujiondoa kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati

    Malengo halisi ya Marekani ya kujiondoa kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati

    Oct 23, 2018 09:46

    Tangazo la Marekani la kujiondoa kwenye mkataba wa silaha za nyuklia za masafa ya kati lililotolewa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo limekabiliwa na radiamali nyingi hasi katika uga wa kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS