Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Radiamali ya Wairaki kufutia vitisho vya Marekani na utawala haramu wa Israel

    Radiamali ya Wairaki kufutia vitisho vya Marekani na utawala haramu wa Israel

    Oct 08, 2018 09:36

    Intisar Hassan al-Musawi, mjumbe wa muungano wa al-Fat'hi nchini Iraq ametoa indhari kwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel na kuonya kuwa jibu kwa vitisho na uvamizi wowote dhidi ya ngome za harakati ya Hashdu sh-Sha'abi, litakuwa chungu na kali.

  • Afrika Kusini yapongeza ushindi wa Iran dhidi ya Marekani katika mahakama ya ICJ

    Afrika Kusini yapongeza ushindi wa Iran dhidi ya Marekani katika mahakama ya ICJ

    Oct 07, 2018 04:18

    Idara ya Uhusiano na Ushirikiano wa Kimataifa ya Afrika Kusini imepongeza hatua ya Mahakama ya Kimataifa ya Uadilifu (ICJ) kuiagiza Washington isimamishe vikwazo vyake vya upande mmoja dhidi ya Iran haraka iwezekanavyo.

  • Ripoti: Kuna ubaguzi katika kesi za Wamarekani wenye asili ya Afrika kwenye mahakama za Marekani

    Ripoti: Kuna ubaguzi katika kesi za Wamarekani wenye asili ya Afrika kwenye mahakama za Marekani

    Oct 06, 2018 22:57

    Gazeti la New York Times limeripoti habari ya kuweko ubaguzi katika mahakama za Marekani hasa kuhusiana na utoaji hukumu wa kesi zinazohusiana na mauaji dhidi ya Wamarekani wenye asili ya Afrika.

  • Wamarekani: Korea Kaskazini haijasimamisha miradi yake ya nyuklia!

    Wamarekani: Korea Kaskazini haijasimamisha miradi yake ya nyuklia!

    Oct 06, 2018 22:56

    Watafiti kadhaa ya Marekani wamedai kwamba, uchunguzi wao umebaini kuwa Korea Kaskazini inaendelea na shughuli zake za nyuklia huku ikiilaumu Washington kuwa inapuuza kutekeleza makubaliano yaliyofikiwa katika mkutano wa viongozi wa nchi hizo mbili mwezi Juni mwaka huu.

  • JCPOA, fursa kwa ajili ya kujitegemea kifedha Ulaya

    JCPOA, fursa kwa ajili ya kujitegemea kifedha Ulaya

    Oct 06, 2018 22:56

    Rais Donald Trump wa Marekani amekuwa akikosoa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ambayo yalifikiwa kati ya Iran na kundi la 5+1 ikiwemo na Marekani yenyewe na kuyatataja makubaliano hayo kuwa ndiyo mabaya zaidi kuwahi kufikiwa.

  • Safari ya Putin nchini India, mapambano ya Moscow na New Delhi dhidi ya vikwazo vya Marekani

    Safari ya Putin nchini India, mapambano ya Moscow na New Delhi dhidi ya vikwazo vya Marekani

    Oct 05, 2018 03:07

    Russia na India zimeimarisha zaidi uhusiano wao katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kijeshi na silaha za nyuklia katika kipindi cha baada ya Vita Baridi na wakati huo huo zikiwa wanachama wa kundi la Brics, zinafnya jitihada za kupanua zaidi ushirikiano wa pande mbili.

  • Hatua za Donald Trump na kuongezeka hali ya kutokuwa na imani walimwengu kwa Marekani

    Hatua za Donald Trump na kuongezeka hali ya kutokuwa na imani walimwengu kwa Marekani

    Oct 02, 2018 23:12

    Siasa za upande mmoja za Rais Donald Trump wa Marekani zimepelekea kuongezeka hali ya kutengwa nchi hiyo ulimwenguni.

  • Zarif: Iran haitapoteza muda kufanya mazungumzo na US

    Zarif: Iran haitapoteza muda kufanya mazungumzo na US

    Oct 02, 2018 04:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Tehran katu haitafanya mazungumzo na Marekani madhali Washington itaendelea kukataa kukumbatia uhalisia wa mambo na muamana.

  • Bei ya nyumba yapanda zaidi Marekani, huku uwezo wa kununua ukishuka

    Bei ya nyumba yapanda zaidi Marekani, huku uwezo wa kununua ukishuka

    Oct 01, 2018 04:50

    Licha ya madai ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuboreka hali ya kiuchumi nchini humo, gazeti la New York Times limeandika habari ya ongezeko la bei ya nyumba na kupungua uwezo wa kununua makazi kwa raia wa nchi hiyo.

  • Trump aishinikiza Saudia iendelee kurundika silaha za Marekani

    Trump aishinikiza Saudia iendelee kurundika silaha za Marekani

    Sep 30, 2018 10:51

    Rais Donald Trump wa Marekani ameitaka Saudi Arabia iongeze bajeti yake ya masuala ya kijeshi huku akisisitiza kwamba Washington haipokei kiwango cha fedha ambacho inastahili kupokea kutoka Riyadh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS