-
Jeshi la Syria lazingira ngome ya jeshi vamizi la Marekani katika mpaka wa Iraq
Jun 22, 2018 09:37Sambamba na operesheni ya kuyasafisha maeneo mapana ya jangwa la Syria, hasa eneo la al-Badiya kutoka mikononi mwa mabaki ya wanachama wa genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS), jeshi la Syria limezingira ngome ya askari vamizi wa Marekani katika eneo la al-Tanf lililopo katika mpaka wa nchi hiyo na Iraq.
-
Jordan, mwenyeji wa safari za kidiplomasia za maafisa wa kisiasa na kijeshi wa Magharibi
Jun 21, 2018 21:50Katika siku za hivi karibuni maafisa wa kisiasa na kijeshi wa Marekani na Ujerumani wamekuwa wakifanya safari za mara kwa mara na kufanya mazungumzo na maafisa wa serikali ya nchi hiyo.
-
Rouhani: Wairani hawawezi kupigishwa magoti na njama za Marekani
Jun 21, 2018 09:43Rais Hassan Rouhani amesema katu taifa la Iran haliwezi kupigishwa magoti na njama na mashinikizo ya dola la kibeberu la Marekani.
-
Iraq yazionya Marekani na Israel juu ya madhara ya kukariri hujuma zao dhidi ya Hashdu sh-Sha'abi
Jun 21, 2018 09:19Makamu wa Rais wa Iraq, Nouri al-Maliki ameionya Marekani na utawala haramu wa Kizayuni kukariri mashambulizi yao ya anga dhidi ya Harakati ya Wananchi ya Hashdu sh-Sha'abi na kusisitiza kwamba kitendo hicho ni cha kijinga ambacho kitachochea migogoro katika eneo.
-
Uturuki nayo yaingia katika vita vya Kiuchumi dhidi ya Marekani
Jun 21, 2018 09:15Katika radiamali yake kufuatia hatua ya Marekani ya kuzipandishia ushuru bidhaa zinazozalishwa Uturuki, serikali ya Ankara imechukua hatua sawa na ya China na Umoja wa Ulaya ya kuingia katika vita vya biashara dhidi ya Washington.
-
Utambulisho halisi wa Marekani kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu
Jun 21, 2018 02:40Kingozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei, Jumatano asubuhi alikutana na Spika wa Majlisi ya Kiislamu, Bunge la Iran, wabunge na wafanyakazi wa bunge ambapo alibainisha utambulisho na malengo halisi ya Marekani katika eneo.
-
Zarif: Sera za kigeni za Marekani zimekumbwa na mgogoro
Jun 20, 2018 23:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika makala yenye anwani inayosema: "Sera za Kigeni za Marekani Katika Mgogoro" ameandika: "Mapatano ya nyuklia ya Iran (JCPOA) yalikuwa mapatano ya tatu ya kimataifa Marekani kujiondoa baada ya kujiondoa katika mapatano ya kibiashara ya Bahari ya Pasifiki na mapatano ya tabianchi ya Paris."
-
Amnesty yaikemea Marekani kwa kujiondoa katika Baraza la Haki za Binadamu
Jun 20, 2018 22:40Katibu Mkuu wa shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International amekemea vikali hatua ya Marekani ya kujiondoa katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa na kusema kuwa: Kwa mara nyingine tena Rais wa Marekani ameonesha jinsi asivyojali haki za bindamu na uhuru wa kimsingi.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Bunge litunge sheria za kukabiliana na ugaidi, utakatishaji fedha
Jun 20, 2018 12:04Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) ambayo imebalehe na kukomaa inapaswa kutenda kwa kujitegemea katika kutunga sheria za masuala kama kupambana na ugaidi na mapambano dhidi ya utakatishaji wa fedha chafu.
-
Dunia yaikosoa Marekani kwa kujiondoa kwenye Baraza la Haki za Binadamu la UN
Jun 19, 2018 23:03Jamii ya kimataifa imeikosoa vikali Marekani kwa hatua yake ya kujiondoa kwenye Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ikilituhumu baraza hilo kuwa ni la kinafiki na eti limekuwa likichukua maamuzi yaliyo dhidi ya Israel.