Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • New York Times: Ufalme wa Marekani unaendelea kuporomoka

    New York Times: Ufalme wa Marekani unaendelea kuporomoka

    Jun 19, 2018 22:12

    Gazeti la New York Times la nchini Marekani limeandika ripoti ya ukosoaji kwamba, Rais Donald Trump wa nchi hiyo anaigeuza Marekani kuwa mbabe ambaye haogopwi tena katika nafsi za upande wa pili.

  • Wajerumani waandamana wakiitaka Marekani kuondoa silaha zake za nyuklia nchini mwao

    Wajerumani waandamana wakiitaka Marekani kuondoa silaha zake za nyuklia nchini mwao

    Jun 18, 2018 21:52

    Taasisi za Ujerumani zinazounga mkono amani zimeitisha maandamano makubwa ya amani yenye lengo la kuishinikiza Marekani kuondoa silaha zake za nyuklia zilizopo nchini mwao.

  • UN yaitaka Marekani ikomeshe sera ya kuwatenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao

    UN yaitaka Marekani ikomeshe sera ya kuwatenganisha watoto wa wahajiri na wazazi wao

    Jun 18, 2018 10:54

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Marekani ikomeshe sera yake ya kikatili ya kuwatenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri katika mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Mexico.

  • Kutenganishwa watoto na wazazi wao huko Marekani, kielelezo halisi cha ukiukaji wa haki za binadamu

    Kutenganishwa watoto na wazazi wao huko Marekani, kielelezo halisi cha ukiukaji wa haki za binadamu

    Jun 18, 2018 07:41

    Kufichuliwa habari ya sera za kutenganisha watoto wadogo na wazazi wao wahajiri katika mpaka wa Marekani na Mexico kumezusha wimbi kubwa la hasira na malalamiko makubwa ndani na nje ya Marekani dhidi ya siasa za Rais Donald Trump wa nchi hiyo.

  • Boroujerdi: Matamshi ya nchi za Ulaya kuhusu JCPOA si utatuzi wa matatizo ya Iran

    Boroujerdi: Matamshi ya nchi za Ulaya kuhusu JCPOA si utatuzi wa matatizo ya Iran

    Jun 17, 2018 22:02

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, matamshi chanya ya viongozi wa nchi za Ulaya kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA hayawezi kutatua matatizo ya Iran bali viongozi hao wanapaswa kuakisi misimamo yao kivitendo na watekeleze ahadi zao kwa kutokubaliana na misimamo ya Marekani.

  • Hizbullah: Mipango yote ya Marekani, Israel na Saudia itafeli

    Hizbullah: Mipango yote ya Marekani, Israel na Saudia itafeli

    Jun 16, 2018 21:03

    Mjumbe wa Baraza Kuu la harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Nabil Qaouk amesema kuwa, mipango ya pamoja ya Marekani, utawala haramu wa Israel na Saudi Arabia itaishia kushindwa.

  • Hamid Karzai: Marekani ilinishinikiza nivunje mahusiano na Iran

    Hamid Karzai: Marekani ilinishinikiza nivunje mahusiano na Iran

    Jun 16, 2018 11:16

    Rais wa zamani wa Afghanistan, Hamid Karzai amesema kuwa, katika kipindi cha uongozi wake Marekani ilimshinikiza sana ikimtaka akate uhusiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran lakini hakukubali kufanya hivyo na amesisitiza kuwa Washington imewafanyia hiyana kubwa raia wa Afghanistan na eneo lote la Mashariki ya Kati.

  • Marekani kujiondoa kwenye Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Marekani kujiondoa kwenye Baraza la Haki za Binadamu la UN

    Jun 16, 2018 03:07

    Duru za kidiplomasia zimedokeza kuwa, yumkini Marekani ikajiondoa kwenye Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa ndani ya siku chache zijazo.

  • China yajibu mapigo ya Marekani katika vita vya kibiashara

    China yajibu mapigo ya Marekani katika vita vya kibiashara

    Jun 16, 2018 02:26

    Serikali ya China imetangaza kupandisha ushuru wa forodha kwa asilimia 25, kwa bidhaa 659 za Marekani zinazoingia nchini humo, ikiwa ni katika kujibu hatua ya kiuhasama ya Washington ya kutangaza ongezeko la ushuru kwa asilimia 25 kwa bidhaa za China zinazopelekwa nchini Marekani, lililotangazwa na Rais Donald Trump mapema jana Ijumaa.

  • Kufichuliwa kushiriki maafisa wa kijeshi wa Marekani katika vita vya Saudia dhidi ya Yemen

    Kufichuliwa kushiriki maafisa wa kijeshi wa Marekani katika vita vya Saudia dhidi ya Yemen

    Jun 14, 2018 05:04

    Kwa mujibu wa wa jarida la Ufaransa la Intelligence Online, Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE, umewaajiri maafisa wa jeshi la Marekani waliostaafu ili waweze kuwasaidia wanajeshi wake katika vita dhidi ya Yemen. Imedokezwa kuwa, UAE imewaajiri mamluki hao ambao waliwahi kuhudumu katika ngazi mbali mbali katika Wizara ya Ulinzi ya Marekani, Pentagon.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS