-
Israel imeua zaidi ya Wapalestina 150 tangu usitishaji vita ulipoanza kutekelezwa Ghaza Januari 19
Mar 16, 2025 07:22Ofisi ya Vyombo vya Habari ya Serikali ya Palestina katika Ukanda wa Ghaza imetangaza kuwa, zaidi ya Wapalestina 150 wameuliwa shahidi na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel- tangu makubaliano ya kusitisha mapigano yalipoanza kutekelezwa katika eneo hilo Januari 19 mwaka huu-, wakiwemo 40 waliouawa katika kipindi cha wiki mbili zilizopita.
-
Hatua ya Marekani ya kuishambulia kijeshi Yemen; kukariri mkakati ulioshindwa kufua dafu mbele ya Ansarullah
Mar 16, 2025 06:14Donald Trump, ambaye aliingia madarakani kwa ahadi ya kuleta suluhu na amani na kuhitimisha vita kadhaa wa kadhaa vilivyoanzishwa na Marekani, ametoa amri ya kushambuliwa kijeshi Yemen baada ya kupita miezi miwili tu tangu ashike hatamu za utawala.
-
Iran: Marekani haina haki ya kutupangia tufuate siasa gani
Mar 16, 2025 02:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma ujumbe akisisitiza kuwa, Marekani haina haki ya kutupangia tufuate siasa gani za kigeni.
-
Mgongano wa maneno na vitendo vya seriakli ya Trump kuhusu Iran
Mar 15, 2025 22:48Licha ya Rais Donald Trump wa Marekani kuzungumzia mara kwa mara nia yake ya kufanya mazungumzo na Iran katika miezi ya kwanza ya muhula wake wa pili wa urais na hata kutuma barua kuhusiana na suala hilo kwa Ayatullah Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, lakini kivitendo amekuwa akitekeleza mashinikizo ya juu zaidi dhidi ya Iran na kuchukua hatua mpya katika uwanja huo kila siku.
-
Marekani yamfukuza Balozi wa Afrika Kusini kwa 'kujieleza'
Mar 15, 2025 03:41Msuguano baina ya Marekani na Afrika Kusini umeendelea kutokota, baada ya Washington kumtangaza Balozi wa nchi hiyo ya Kiafrika mjini Washington, Ebrahim Rasool, kuwa mtu asiyetakiwa, kufuatia matamshi yake ya kumkosoa Rais Donald Trump.
-
Maafisa wa US yumkini wakapelekwa ICC kwa kuzuia haki
Mar 15, 2025 03:40Afisa wa zamani wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Craig Mokhiber ameonya kuwa, maafisa wa Marekani wanaoishambulia Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC katika kuitetea Israel wanazuia haki na sheria, na kusisitiza kwamba wanaweza kushtakiwa katika siku zijazo.
-
Waandamanaji New York washinikiza kuachiliwa Mahmoud Khalil
Mar 13, 2025 23:00Waandamanaji wanaoiunga mkono Palestina walikusanyika nje ya mahakama ya Manhattan jijini New York nchini Marekani, wakitaka mwanaharakati wa Kipalestina, Mahmoud Khalil aachiliwe huru.
-
Utawala wa Trump wazidisha ukandamizaji dhidi ya wanafunzi wanaoitetea Palestina
Mar 12, 2025 22:49Hatua ya serikali ya Marekani ya kumtia mbaroni mwanaharakati anayepinga vita na anayeunga mkono Palestina anayepata elimu nchini humo imezidisha wasiwasi kuhusu kushadidi makabiliano ya kiusalama na watetezi wa Wapalestina na vuguvugu la wanafunzi nchini Marekani.
-
Iran: Kuna tofauti kati ya mazungumzo na vitisho
Mar 10, 2025 08:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesema katu Jamhuri ya Kiislamu haitafanya mazungumzo kuhusu mradi wake wa nishati ya nyuklia chini ya mashinikizo, kwani mazungumzo ni tofauti na utumiaji wa mabavu na vitisho.
-
Russia kushirikiana na US kwenye faili la nyuklia la Iran
Mar 10, 2025 07:54Russia imeeleza nia ya kushirikiana na Marekani katika kushughulikia masuala ya Asia Magharibi, ikiwa ni pamoja na mradi wa nyuklia wa Iran, ikizingatiwa kuwa uhusiano wa Moscow na Washington unazidi kuimarika.