-
Nikki Haley: Jeshi la Marekani haliondoki Syria
Apr 16, 2018 00:03Mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa nchi hiyo haitaondoa wanajeshi wake huko Syria hadi itakapofikia malengo yake.
-
Jebeli: Hujuma ya Marekani na Waitifaki wake Syria haiathiri utendaji wa muqawama
Apr 15, 2018 09:40Mkuu wa Kitengo cha Kimataifa cha Shirika la Utangazaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Hujuma ya Marekani na waitifaki wake dhidi ya Syria haijawa na taathira hasi katika utendaji wa jeshi na taifa la Syria pamoja na harakati ya mapambano au muqawama."
-
Larijani: Mashambulio dhidi ya Syria ni unyama na ni kinyume na sheria za kimataifa
Apr 15, 2018 03:00Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mashambulio ya Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria ni unyama na ni kinyume kabisa na sheria za kimataifa.
-
Mufti wa Syria: Marekani na washirika wake hawana hata chembe ya ubinadamu
Apr 15, 2018 02:52Mufti Mkuu wa Syria amesema kuwa, madola ambayo yamewashambulia kwa mabomu wananchi wa Syria hayana chembe ya ubinadamu.
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mashambulizi dhidi ya Syria ni jinai, Marekani itashindwa
Apr 14, 2018 12:57Mapema leo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameyataja mashambulizi yaliofanywa alfajiri ya leo na nchi za Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria kuwa ni jinai na uhalifu na kusema kuwa: Marais wa Marekani na Ufaransa na Waziri Mkuu wa Uingereza ni wahalifu waliotenda jinai.
-
Viongozi mbalimbali waendelea kupinga mashambulizi dhidi ya Syria
Apr 14, 2018 12:55Mashambulizi yaliyofanywa na Marekani, Ufaransa na Uingereza huko Syria yamekabiliwa na upinzani mkubwa barani Ulaya na huko Marekani.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu jinai ya Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria
Apr 14, 2018 09:27Mapema leo Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameyataja mashambulizi yaliofanywa alfajiri ya leo na nchi za Marekani, Uingereza na Ufaransa dhidi ya Syria kuwa ni jinai na uhalifu na kusema kuwa: Marais wa Marekani na Ufaransa na Waziri Mkuu wa Uingereza ni wahalifu waliotenda jinai.
-
Muhammad Javad Zarif: Serikali ya Marekanin imefilisika kimaadili
Apr 13, 2018 23:47Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa njama za Marekani za kutaka kurejesha vikwazo dhidi ya Iran na kusema kuwa, serikali ya Washington imefilisika kimaadili.
-
Trump aelekeza vita vya kibiashara Afrika, Rwanda yajibu mapigo
Apr 12, 2018 10:18Baada ya kuanzisha vita vya kibiashara dhidi ya nchi za Asia na Ulaya na kupata jibu kali, sasa Rais wa Marekani Donald Trump anaonekena kueelekeza vita hivyo kwa nchi za Afrika.
-
Abdollahian: Marekani imekasirishwa na kusambaratishwa magaidi wa Daesh nchini Syria
Apr 11, 2018 22:03Mshauri wa Masuala ya Kimataifa wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kusambaratishwa magaidi wa Daesh (ISIS) nchini Syria kumeikasirisha sana Marekani na kwamba vitisho vinavyotolewa hivi sasa na Washington dhidi ya Damascus vina shabaha ya kuhamisha mazungumzo ya Astana na Sochi na kuyapelekea Vienna na Geneva kwa lengo la kudhamini malengo ya Marekani.