Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Korea Kusini yakiri kushindwa stratijia za pamoja kati yake na Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Korea Kusini yakiri kushindwa stratijia za pamoja kati yake na Marekani dhidi ya Korea Kaskazini

    Feb 24, 2018 04:34

    Rais Moon Jae-in wa Korea Kusini amekiri kufeli stratijia za Washington na Seoul kwa ajili ya kuivua silaha za nyuklia Korea Kaskazini kwa kipindi cha miakka 25 iliyopita.

  • Wauzaji wa silaha za moto Marekani wapongeza msimamo hasi wa Trump

    Wauzaji wa silaha za moto Marekani wapongeza msimamo hasi wa Trump

    Feb 23, 2018 04:08

    Chama cha Wauzaji Bunduki Marekani NRA kimepongeza pendekezo lililotolewa na Rais Donald Trump la kutaka kupewa silaha za moto walimu wa shule za nchi hiyo kwa ajili ya kuzuia msururu wa mashambulizi ya silaha za moto katika shule za nchi hiyo.

  • Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) zimeongezeka Marekani tangu Trump aingie madarakani

    Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) zimeongezeka Marekani tangu Trump aingie madarakani

    Feb 22, 2018 13:17

    Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani unaonyesha kuwa tokea Donald Trump alipoingia madarakani, idadi ya makundi yenye chuki na Uislamu na ukubwa wa harakati zao vimeongezeka nchini humo.

  • Trump: Njia ya kuzuia mashambulizi ya shuleni US ni kuwapa silaha za moto walimu

    Trump: Njia ya kuzuia mashambulizi ya shuleni US ni kuwapa silaha za moto walimu

    Feb 22, 2018 01:06

    Rais Donald Trump wa Marekani ametoa pendekezo kwa ajili ya kuzuia msururu wa mashambulizi ya silaha za moto katika shule za nchi hiyo akisema kuwa, njia pekee ya kuzuia suala hilo ni kuwapatia silaha za moto walimu.

  • Korea Kaskazini ilikataa kukutana kwa siri na viongozi wa Marekani

    Korea Kaskazini ilikataa kukutana kwa siri na viongozi wa Marekani

    Feb 21, 2018 04:20

    Imebainika kuwa, viongozi wa Korea Kaskazini walifuta ghafla mkutano wa faragha uliotatarajiwa kufanyika kati yao na Makamu wa Rais wa Marekani, Mike Pence huko nchini Korea Kusini.

  • Wanafunzi nchini Marekani walala mbele ya Ikulu White House kulalamikia ongezeko la mauaji mashuleni

    Wanafunzi nchini Marekani walala mbele ya Ikulu White House kulalamikia ongezeko la mauaji mashuleni

    Feb 20, 2018 04:46

    Wanafunzi kadhaa wa skuli za sekondari katika mji mkuu wa Marekani Washington wamekusanyika na kulala kwa muda wa dakika tatu mbele ya Ikulu ya White House kama ishara ya kulalamikia mauaji ya wanafunzi wenzao katika skuli ya Parkland katika jimbo la Florida.

  • Mshauri wa Usalama wa Taifa Marekani anaeneza chuki dhidi ya Iran

    Mshauri wa Usalama wa Taifa Marekani anaeneza chuki dhidi ya Iran

    Feb 18, 2018 04:12

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Mshauri wa Usalama wa Taifa katika utawala wa Marekani anaeneza chuki dhidi ya Iran.

  • Velayati: Muqawama utawatimua Marekani, Wazayuni Euphrates Mashariki

    Velayati: Muqawama utawatimua Marekani, Wazayuni Euphrates Mashariki

    Feb 17, 2018 13:41

    Afisa wa ngazi za juu nchini Iran amesema harakati ya muqawama katika eneo itaitimua Marekani na utawala haramu wa Kizayuni kutoka eneo la Mashariki mwa Mto Euphrates ambao unatiririka kutoka Uturuki na kupitia Syria hadi Iraq.

  • Undumakuwili wa Wamarekani kuhusu ugaidi; bahari ya damu Stoneman Douglas, ni ufyatuaji risasi au ni ugaidi?

    Undumakuwili wa Wamarekani kuhusu ugaidi; bahari ya damu Stoneman Douglas, ni ufyatuaji risasi au ni ugaidi?

    Feb 17, 2018 02:33

    The Anti-Defamation League ambayo ni taasisi ya kulinda haki za raia wa Marekani imesema kuwa, kijana katili aliyefanya mauaji ya kutisha katika shule ya Stoneman Douglas huko Parkland, Florida alikuwa mwanachama wa genge moja la Wazungu wenye misimamo mikali.

  • Waafghani wawasilisha mafaili milioni 1.4 ya jinai za kivita ICC

    Waafghani wawasilisha mafaili milioni 1.4 ya jinai za kivita ICC

    Feb 16, 2018 10:41

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu limesema Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imepokea mafaili milioni moja na laki saba ya jinai za kivita kutoka kwa wananchi wa Afghanistan, ndani ya muda wa miezi mitatu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS