Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani yampendekeza anayewachukia Waislamu kusimamia idara ya wahamiaji UN

    Marekani yampendekeza anayewachukia Waislamu kusimamia idara ya wahamiaji UN

    Feb 04, 2018 04:46

    Utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani umependekeza mtu anayewachukia Waislamu na mwenye misimamo mikali ya Kikrsito kusimamia Shirika la Umoja wa Mataifa la Wahamiaji IOM.

  • Malengo ya safari ya Tillerson katika nchi za Amerika ya Latini

    Malengo ya safari ya Tillerson katika nchi za Amerika ya Latini

    Feb 04, 2018 04:30

    Rex Tillerson Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani amedai akiwa Mexico katika safari yake ya kiduru ya kuzitembelea nchi za Amerika ya Latini kuwa Russia ina mpango wa kuingilia masuala ya uchaguzi ya nchi hiyo.

  • Russia yaponda madai ya Marekani dhidi ya Syria

    Russia yaponda madai ya Marekani dhidi ya Syria

    Feb 03, 2018 23:13

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imekadhibisha madai ya Marekani kwamba Syria imetengeneza na kutumia kizazi kipya cha silaha za kemikali na kusema madai hayo hayana msingi wowote.

  • Ripoti: Kila sekunde 98, mwanamke mmoja hubakwa na kudhalilishwa kijinsia Marekani

    Ripoti: Kila sekunde 98, mwanamke mmoja hubakwa na kudhalilishwa kijinsia Marekani

    Feb 03, 2018 00:08

    Ripoti iliyotolewa na Shirika la Habari la Huffington Post imeeleza kwamba katika kila sekunde 98, mwanamke mmoja nchini Marekani huwa anabakwa au kudhalilishwa kijinsia.

  • Miamala ya kinafiki ya Marekani na kuwa macho wananchi wa Iran

    Miamala ya kinafiki ya Marekani na kuwa macho wananchi wa Iran

    Feb 02, 2018 04:50

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewahutubu viongozi wa Marekani akiwaambia kwamba, madai yao ya kuwaunga mkono wananchi wa Iran ni sawa na machozi ya mamba.

  • Arab League: Hujuma dhidi ya Beitul-Muqaddas ni kucheza na moto

    Arab League: Hujuma dhidi ya Beitul-Muqaddas ni kucheza na moto

    Feb 02, 2018 00:49

    Ahmed Aboul Gheit, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu amesema kuwa, hujuma na uvamizi dhidi ya Beitul Muqaddas ni sawa na kucheza na moto.

  • Ali Saidi: Kufeli mipango ya Marekani katika eneo ni moja ya mafanikio ya kimataifa ya Iran

    Ali Saidi: Kufeli mipango ya Marekani katika eneo ni moja ya mafanikio ya kimataifa ya Iran

    Feb 01, 2018 11:44

    Mwakilishi wa Faqihi Mtawala katika Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (SEPAH) amesema kuwa kushindwa njama za kujitanua za Marekani katika eneo hili ni moja ya mafanikio ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika uga wa kimataifa.

  • Rouhani: Taifa la Iran haliwezi kusahau uvamizi wa Marekani katika eneo

    Rouhani: Taifa la Iran haliwezi kusahau uvamizi wa Marekani katika eneo

    Feb 01, 2018 10:29

    Katika kile kinachoonekana ni radiamali kwa matamshi ya kinafiki ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa Marekani, Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katu taifa hili haliwezi kusahau vitendo vya kivamizi vya Marekani katika eneo hili la Mashariki ya Kati.

  • Sisitizo la Umoja wa Ulaya la kupatiwa suluhisho mgogoro wa Mashariki ya Kati

    Sisitizo la Umoja wa Ulaya la kupatiwa suluhisho mgogoro wa Mashariki ya Kati

    Feb 01, 2018 07:50

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesema suluhisho la kuundwa nchi mbili kwa ajili ya mgogoro wa Mashariki ya Kati halina chaguo jengine mbadala la kisiasa lenye itibari na la kudumu.

  • Velayati: Iran ndiyo nchi yenye nguvu zaidi Mashariki ya Kati

    Velayati: Iran ndiyo nchi yenye nguvu zaidi Mashariki ya Kati

    Feb 01, 2018 04:27

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya kimataifa amesema kuwa, Iran ndiyo nchi yenye nguvu zaidi katika eneo nyeti zaidi duniani yaani Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS