Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Jaribio la kombora jipya la Marekani lafeli

    Jaribio la kombora jipya la Marekani lafeli

    Feb 01, 2018 04:19

    Jaribio la kombora jipya la Marekani lilifanywa jana katika jimbo la Hawaii la nchi hiyo limefeli.

  • Russia: Ushahidi uliotolewa na Marekani dhidi ya Iran ni butu

    Russia: Ushahidi uliotolewa na Marekani dhidi ya Iran ni butu

    Feb 01, 2018 00:09

    Russia imesema kuwa ushahidi uliotolewa na Marekani ikidai kuwa Tehran imewapa makombora wapiganaji wa harakati ya al Huothi nchini Yemen ni butu na hauna mashiko.

  • Korea Kaskazini: Serikali ya Marekani ni mkiukaji mkubwa wa haki za binaadamu duniani

    Korea Kaskazini: Serikali ya Marekani ni mkiukaji mkubwa wa haki za binaadamu duniani

    Jan 31, 2018 11:45

    Serikali ya Korea Kaskazini sambamba na kulaani vikali siasa za serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani, imesema kuwa Washington ni mkiukaji mkubwa wa haki za binaadamu duniani.

  • PLO: Hakuna mazungumzo na Marekani bila ya kufutwa uamuzi wa Trump kuhusu Quds

    PLO: Hakuna mazungumzo na Marekani bila ya kufutwa uamuzi wa Trump kuhusu Quds

    Jan 31, 2018 04:40

    Katibu wa kamati ya utendaji ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesisitiza kuwa, hakutafanyika mazungumzo au maonyesho yoyote yale na Marekani madhali Rais Donald Trump wa nchi hiyo hajafuta uamuzi wake wa kuitangaza Beitul-Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel.

  • Madai ya ovyo ya Marekani na kuzidi kuchanganyikiwa White House

    Madai ya ovyo ya Marekani na kuzidi kuchanganyikiwa White House

    Jan 31, 2018 03:58

    Katika kipindi cha miezi kadhaa iliyopita, serikali ya Donald Trump nchini Marekani imeongeza uadui wake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • MintPress News: Marekani imefadhili machafuko ya hivi karibuni nchini Iran

    MintPress News: Marekani imefadhili machafuko ya hivi karibuni nchini Iran

    Jan 30, 2018 23:53

    Mtandao wa habari wa Marekani wa MintPress News umefichua kwamba, Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imefadhili machafuko yaliyotokea hivi karibinu nchini Iran kwa kutoa zaidi ya dola milioni moja.

  • Wapalestina wavuruga warsha ya Marekani Ukingo wa Magharibi

    Wapalestina wavuruga warsha ya Marekani Ukingo wa Magharibi

    Jan 30, 2018 23:52

    Wapalestina wenye ghadhabu wamevuruga warsha ya biashara iliyoandaliwa na Marekani katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Marekani, chanzo cha kuzidi kuwa mbaya hali ya Ukanda wa Gaza

    Marekani, chanzo cha kuzidi kuwa mbaya hali ya Ukanda wa Gaza

    Jan 30, 2018 23:51

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina la Umoja wa Mataifa UNRWA limesema katika radiamali yake kwa hatua ya Rais wa Marekani iliyo dhidi ya Palestina kwamba, uamuzi wa Donald Trump wa kuipunguzia misaada taasisi hiyo utashadidisha hali mbaya ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza.

  • Kiongozi: Lengo la Marekani katika kuhamishia Afghanistan magaidi wa ISIS ni kuhalalisha uwepo wake  katika eneo

    Kiongozi: Lengo la Marekani katika kuhamishia Afghanistan magaidi wa ISIS ni kuhalalisha uwepo wake katika eneo

    Jan 30, 2018 04:46

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amebainisha masikitiko yake makubwa kutokana na kuuawa watu wasio na hatia katika hujuma za hivi karibuni za kigaidi nchini Afganistan na kusema: "Lengo la Marekani katika kuhamishia Afghanistan magaidi wa ISIS (Daesh) ni kuhalalisha uwepo wake katika eneo sambamba na kudhamini usalama wa utawala wa Kizayuni."

  • Zarif: Trump anawasilisha ushahidi bandia dhidi ya Iran katika Baraza la Usalama

    Zarif: Trump anawasilisha ushahidi bandia dhidi ya Iran katika Baraza la Usalama

    Jan 30, 2018 04:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema Rais Donald Trump wa Marekani anategemea ushahidi bandia kueneza chuki dhidi ya Iran duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS