-
Naigeria yamsaili balozi wa Marekani, baada ya Trump kuwatukana Waafrika
Jan 16, 2018 03:01Wizara ya Mambo ya Nje ya Nigeria imemwita na kumsaili balozi wa Marekani mjini Abuja ikiwa ni katika kupinga matamshi ya kejeli na matusi yaliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya Afrika na Waafrika.
-
Watu 43 wauawa katika ufyatulianaji risasi Marekani
Jan 15, 2018 04:07Watu wasipoungua 43 wameuawa katika kipindi cha masaa 24 nchini Marekani katika matukio ya ufyatulianaji risasi nchini humo.
-
Rais Rouhani: Marekani imezidi kujidhalilisha kwa kukataa kuheshimu JCPOA
Jan 14, 2018 12:27Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, Marekani imefeli kimataifa na katika uingiliaji wake wa masuala ya ndani ya Iran.
-
Burkina Faso: Hatua ya Trump dhidi ya Quds inapaswa kuzuiwa
Jan 14, 2018 04:29Naibu Spika wa Bunge la Burkina Faso ametoa mwito wa kusimamishwa utekelezwaji wa mpango wa Marekani wa kuuhamishia mjini Quds Tukufu, ubalozi wake ulioko Tel Aviv.
-
Wizara ya Mambo ya Nje Iran yamjibu Trump, Tehran haitafanya mazungumzo kuhusu JCPOA
Jan 13, 2018 10:48Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa rasmi ikitangaza kuwa, kwa mara nyinghine tena Rais wa Marekani amelazimika kurefusha muda wa kusitisha vikwazo vya nyuklia vya Iran licha ya juhudi zake za mwaka mzima za kutaka kufuta makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Uturuki yawaonya raia wake dhidi ya kusafiri Marekani, kisa usalama
Jan 13, 2018 00:15Uturuki imewapa tahadhari raia wake dhidi ya kusafiri nchini Marekani kutokana na kile inachokitaja kuwa sababu za kiusalama.
-
Wanafunzi Marekani wenye asili ya Afrika na Latini waendelea kubaguliwa mno katika shule
Jan 12, 2018 01:16Matokeo ya ripoti mpya ya uchunguzi yanaonyesha ongezeko la hali ya juu la umasikini na ubaguzi dhidi ya wanafunzi wenye asili ya Kiafrika na malatino, katika shule za Marekani.
-
Rais Putin: Kiongozi wa Korea Kaskazini ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili
Jan 12, 2018 01:07Rais Vladmir Putin wa Russia amesema kuwa, Kim Jong-un Kiongozi wa Korea Kaskazini, ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa akili na aliyepikika.
-
Erdoğan: Tutakabiliana na Marekani baada ya kukataa kumrejesha Gülen
Jan 12, 2018 01:03Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametishia kwamba, ikiwa Marekani itaendelea kukataa ombi la Ankara la kumrejesha nyumbani Fethullah Gülen ambaye anatafutwa na Uturuki, basi nchi hiyo nayo italazimika kuchukua hatua za kukabiliana na Washington.
-
Waislamu wa Marekani kupewa mafunzo ya kukabiliana na vitendo vya chuki dhidi ya dini yao
Jan 11, 2018 12:38Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) lina mpango wa kutoa mafunzo maalumu ya njia za kukabiliana na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.