Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Hamas: Hakuna wa kutushurutisha tuvunje jeshi letu au tuitambue Israel

    Hamas: Hakuna wa kutushurutisha tuvunje jeshi letu au tuitambue Israel

    Oct 20, 2017 04:28

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesema hakuna mtu mwenye uwezo wa kuishurutisha harakati hiyo ya muqawama kuvunja tawi lake la kijeshi au kuutambua utawala haramu wa Israel kama masharti ya kukubali mapatano ya kitaifa ya Wapalestina.

  • Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora

    Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora

    Oct 19, 2017 04:16

    Afisa wa ngazi za juu wa kijeshi nchini Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake mkubwa wa makombora.

  • Mogherini: JCPOA ni ushindi kwa ulimwengu na kwa wananchi wa Iran

    Mogherini: JCPOA ni ushindi kwa ulimwengu na kwa wananchi wa Iran

    Oct 17, 2017 23:55

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesisitiza kwa mara nyengine tena umuhimu wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na ulazima wa kuyalinda na ameeleza kwamba: kwa makubaliano haya ya kimataifa, ulimwengu pamoja na wananchi wa Iran wamepata ushindi.

  • Sayyari: Tamko la kipumbavu la Trump haliwezi kubadilisha

    Sayyari: Tamko la kipumbavu la Trump haliwezi kubadilisha "Ghuba ya Uajemi"

    Oct 17, 2017 23:19

    Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Majini cha Iran amesema kauli ya kupotosha na ya kipumbavu iliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani alipokuwa akitoa hutuba dhidi ya makubaliano ya nyuklia ya JCPOA hivi karibuni haiwezi kubadilisha jina la asili la "Ghuba ya Uajemi".

  • Sudan Kusini: Viongozi wa Marekani waangalie uvunjwaji wa haki za binaadamu nchini kwao, sio kwetu

    Sudan Kusini: Viongozi wa Marekani waangalie uvunjwaji wa haki za binaadamu nchini kwao, sio kwetu

    Oct 17, 2017 05:02

    Rais Salva Kiir Mayardit wa Sudan Kusini amesema kuwa viongozi wa Marekani wanatakiwa kuwa na wasi wasi wa ukiukwaji wa haki za binaadamu nchini kwao na sio katika nchi nyingine.

  • Umoja wa Ulaya wasisitiza utekelezwaji kikamilifu mapatano ya nyuklia ya Iran

    Umoja wa Ulaya wasisitiza utekelezwaji kikamilifu mapatano ya nyuklia ya Iran

    Oct 17, 2017 04:36

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya Jumatatu baada ya kumalizika kikao chao mjini Luxembourg walitoa taarifa na kutuangaza kuunga mkono na kuendeleza ushirikiano kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA.

  • Rais Rouhani: Marekani imetengwa kwa hatua yake ya kuvuruga mapatano ya nyuklia

    Rais Rouhani: Marekani imetengwa kwa hatua yake ya kuvuruga mapatano ya nyuklia

    Oct 17, 2017 02:40

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kubakia Marekani peke yake kufuatia hatua yake ya kuvuruga mapatano ya nyuklia ya Iran yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA ni kati ya mafanikio ya Iran

  • Papa amkosoa Trump kwa kuiondoa Marekani kwenye mkataba wa mabadiliko ya tabianchi

    Papa amkosoa Trump kwa kuiondoa Marekani kwenye mkataba wa mabadiliko ya tabianchi

    Oct 16, 2017 10:05

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amekosoa hatua ya Rais Donald Trump ya kuiondoa Marekani katika Mkataba wa Tabianchi wa Paris.

  • Korea Kaskazini: Trump ni mfanyabiashara wa vita na mnyongaji wa amani duaniani

    Korea Kaskazini: Trump ni mfanyabiashara wa vita na mnyongaji wa amani duaniani

    Oct 15, 2017 13:43

    Serikali ya Korea Kaskazini imejibu matamshi ya uhasama ya Rais Donald Trump wa Marekani kupitia mtandao wa kijamii wa Twitter na kusema kuwa, Trump ni mfanyabiashara wa vita na mnyongaji wa amani duaniani.

  • Maghala kadhaa makubwa ya silaha za Marekani na Israel yagunduliwa katika maficho ya Daesh Syria

    Maghala kadhaa makubwa ya silaha za Marekani na Israel yagunduliwa katika maficho ya Daesh Syria

    Oct 15, 2017 10:48

    Maghala kadhaa makubwa ya silaha za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel yamegunduliwa katika maficho ya genge la kigaidi la Daesh (ISIS) katika mji uliokombolewa wa al Mayadin mkoani Dayr al-Zawr, mashariki mwa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS