-
Wamarekani waendelea kukosoa hotuba ya Trump katika UN
Sep 21, 2017 11:45Viongozi mbalimbali wa kitaifa na kimataifa wameendelea kukosoa vikali hotuba na matamshi yaliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani katika mkutano wa 72 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York.
-
Dunia yaunga mkono mapatano ya nyuklia ya Iran, Marekani yatengwa zaidi
Sep 21, 2017 06:57Kikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na nchi za 5+1 kimefanyika katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York kwa lengo la kutathmini utekelezwaji wa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji-JCPOA.
-
Sudan yaitaka Marekani iondoe vikwazo dhidi yake
Sep 19, 2017 03:15Rais wa Sudan ametaka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya nchi yake.
-
Meli za kivita za China, Russia zaanza mazoezi karibu na Korea Kaskazini
Sep 18, 2017 09:46Meli za kivita za China na Russia zimeanza mazoezi ya pamoja ya kijeshi karibu na Korea Kaskazini huku kukiwa na wasiwasi kuwa mvutano baina ya Marekani na Korea Kaskazini unaweza kugeuka na kuwa makabiliano ya ana kwa ana ya kijeshi.
-
Uwezo wa kiulinzi wa Iran kwa ajili ya kukabiliana na mipango ya Marekani
Sep 16, 2017 22:06Kamanda wa kikosi cha anga cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema kuwa Marekani ilikuwa na mipango muhimu kwa ajili ya eneo la Mashariki ya Kati ambayo hata hivyo imefelishwa na kuzimwa na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Huffington Post: Wamarekani ni wabaguzi
Sep 16, 2017 03:07Matokeo ya uchunguzi wa taasisi mbili za kisayansi za Marekani yanaeleza kuwa, watu wengi wa nchi hiyo wana mielekeo ya kibaguzi licha ya kutoa madai ya kupinga fikra ya kuwatambua wazungu kuwa ndio wanadamu walio juu na bora kuliko wengine.
-
Brigedia Jenerali Hajizadeh: Sepah (IRGC) imepenya kwenye vituo vya kamandi ya jeshi la Marekani
Sep 15, 2017 23:55Kamanda wa kikosi cha anga na anga za mbali za Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema jeshi hilo la Sepah limeweza kwa muda wa miaka michache iliyopita kupenya kwenye vituo vya uongozaji kamandi ya jeshi la Marekani.
-
Gallup: Wamarekani wengi wanataka Korea Kaskazini ishambuliwe kijeshi
Sep 15, 2017 22:06Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa hivi karibuni na taasisi ya Gallup yanaonyesha kuwa, nusu ya wananchi wa Marekani wanaunga mkono suala la kushambulia kijeshi Korea Kaskazini.
-
Korea Kaskazini yafyatua kombora jengine saa chache baada ya kutishia "kuizamisha" Japan
Sep 15, 2017 03:29Vyombo vya habari vya Japan na Korea Kusini vimetangaza kuwa Korea Kaskazini imefyatua kombora jengine lililopaa juu ya kisiwa cha Japan cha Hokkaido alfajiri ya kuamkia leo saa chache baada ya kutishia kwamba itaizamisha ardhi ya Japan.
-
Gholamali Khoshroo: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran vinakiuka makubaliano ya JCPOA
Sep 14, 2017 22:57Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesaema kuwa, vikwazo vya aina yoyote vinakiuka msingi wa diplomasia na mazungumzo na haviwezi kusaidia chochote katika kupeleka mambo mbele.