-
Russia yazikosoa vikali Marekani na Uingereza kwa kuwapa magaidi silaha za kemikali huko Syria
Aug 17, 2017 03:09Russia imetangaza kuwa Marekani na Uingereza zinakiuka sheria za kimataifa kwa kuwapatia silaha za kemikali magaidi huko Syria.
-
Syria: US na UK ziliwapa magaidi silaha za kemikali zilizoua raia Khan Sheykhoun
Aug 17, 2017 02:43Uchunguzi uliofanywa na serikali ya Damascus umebainisha kuwa, Marekani, Uingereza na waitifaki wao zinayapa silaha zikiwemo za kemikali magenge ya kigaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Marekani yaendeleza ukatili, yaua raia 38 katika hujuma za anga Syria
Aug 17, 2017 02:18Ndege za kivita za muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani zimeendeleza hujuma zake za kikatili, na mara hii zimeua raia 38 katika mji wa Raqqah kaskazini mwa Syria, ndani ya masaa 48 yaliyopita.
-
Iran yakadhibisha madai ya US kuwa inakandamiza uhuru wa kuabudu
Aug 16, 2017 09:54Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amepuuzilia mbali madai yaliyotolewa na Marekani kwamba hakuna uhuru wa kuabudu hapa nchini.
-
New Yorker: Kuna uwezekano wa kutokea vita vya pili vya ndani Marekani hivi karibuni kwa ubaguzi
Aug 16, 2017 09:49Jarida la Marekani la New Yorker limetahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea kwa vita vya ndani nchini humo hivi karibuni.
-
Wamarekani waandamana kupinga ubaguzi katika jimbo la Utah
Aug 15, 2017 11:55Maelfu ya raia wa Marekani wamefanya maandamano wakipinga sera za kibaguzi za wazungu katika mji wa Salt Lake ambao ni makao makuu ya jimbo la Utah huko kusini mwa nchi hiyo.
-
Kim Jong-un alitaka jeshi la Korea Kaskazini kujiweka tayari kwa ajili ya kukishambulia kisiwa cha Guam
Aug 15, 2017 03:40Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini amelitaka jeshi la nchi hiyo kujiweka tayari kwa ajili ya kufanya mashambulizi ya makombora dhidi ya kisiwa cha Guam kinachodhibitiwa na Marekani.
-
Venezuela yajibu mapigo baada ya vitisho vya uingiliaji kijeshi wa Trump
Aug 15, 2017 03:05Rais Nicolas Maduro wa Venezuela ameliagiza jeshi la nchi hiyo kufanya luteka ya nchi nzima ikiwa ni radiamali kwa vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani aliyesema kuwa chaguo la kuishambulia kijeshi nchi hiyo lipo mezani.
-
Russia: Kampeni ya US huko Afghanistan imefeli, iondoe askari wake
Aug 15, 2017 02:43Mjumbe maalumu wa Rais wa Russia nchini Afghanistan amesema kampeni na uwepo wa vikosi vya Marekani nchini Afghanistan haujawa na tija yeyote hadi sasa na kwa msingi huo Washington inafaa kuwaondoa wanajeshi wake nchini humo mara moja.
-
UN yaikosoa Marekani kwa kuwazuilia wahajiri na wanaotafuta hifadhi
Aug 14, 2017 23:26Wataalamu wa masuala ya haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamekosoa kitendo cha Marekani kuendelea kuwazuilia wahamiaji na raia wa kigeni wanaotafuta hifadhi nchini humo.