-
Amnesty Internationa: Jeshi la Cameroon linatesa raia katika kambi za jeshi la Marekani
Jul 20, 2017 00:01Shirika la kutetea haki za bindamu la Amnesty International limefichua kwamba, jeshi la serikali ya Cameroon linatesa raia hadi kufa katika kambi za majeshi ya Marekani na Ufaransa nchini humo.
-
Zarif: Wimbo wa Marekani dhidi ya Iran ni wa kukaririwa, umepitwa na wakati
Jul 19, 2017 23:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, madai yanayotolewa na Marekani dhidi ya Iran hayana jipya, ni ya kukaririwa na hayaakisi uhakika wa mambo.
-
Mwandishi wa Algeria: Saudia ni silaha inayotumiwa na Marekani kuwahujumu Waislamu
Jul 19, 2017 12:49Mwandishi maarufu wa nchini Algeria Haddat Hizam, amesema kuwa kinyume na madai yanayotolewa, Saudia si tu kwamba haina na nafasi yoyote yenye maslahi katika eneo, bali ni nyenzo bora inayotumiwa na Marekani kuwalenga Waislamu.
-
Rouhani: Marekani haiwezi kusimamia haki za binadamu na uthabiti duniani
Jul 19, 2017 10:00Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa Marekani kwa kupuuza na kukanyaga makubaliano ya kimataifa iliyoyatia saini yakiwemo makubaliano kati yake na Paris, Cuba, Amerika ya kaskazini na Asia ya Mashariki haiwezi kusimamia haki za binadamu, sheria,amani na usalama duniani.
-
Ongezeko la Chuki dhidi ya Waislamu Marekani
Jul 18, 2017 21:58Kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Waislamu nchini Marekani.
-
Kim Jong-un: Marekani bado haijafahamu vilivyo uwezo wa Korea Kaskazini
Jul 18, 2017 13:05Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un amesema kuwa, vitisho vya hivi karibuni vya Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya nchi yake, ni vya kijinga.
-
Wasudan elfu 50 watimuliwa Saudia kwa sababu ya matatizo ya kiuchumi ya Riyadh
Jul 18, 2017 11:04Jumla ya Wasudan elfu 50 wanaoishi nchini Saudia, wametakiwa kuondoka nchi hiyo kabla ya muda waliopewa na serikali ya Riyadh kumalizika.
-
Marekani yakiri Iran imeheshimu makubaliano ya nyuklia
Jul 18, 2017 03:12Serikali ya Marekani imetangaza kuwa, Iran imeheshimu makubaliano ya nyuklia yaliyotiwa saini baina ya Tehran na kundi la 5+1 maarufu kwa jina la makubaliano ya JCPOA.
-
Siasa mpya za Trump ni kuingilia zaidi masuala ya ndani ya Libya
Jul 16, 2017 23:54Gazeti la al Quds al Arabi limeandika kuwa, serikali ya Donald Trump ya nchini Marekani inatumia kisingizio cha makundi ya kigaidi kuingilia masuala ya ndani ya Libya.
-
Stratijia ya Marekani dhidi ya Iran imefeli
Jul 16, 2017 23:53Mshauri wa ngazi za juu wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, nguvu ya Marekani imo katika hali ya kusambaratika na kwamba, kuanzia mwaka 2025 na kuendelea nguvu itatoka katika ulimwengu wa Magharibi na kuhamia mashariki mwa dunia na barani Asia.