-
Trump aiwekea vikwazo ICC kwa kuchunguza jinai za Israel, Marekani
Feb 07, 2025 04:23Rais wa Marekani, Donald Trump ametia saini dikrii (amri ya utendaji) ya kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kwa kile alichokiita uchunguzi usio na msingi dhidi ya Marekani na muitifaki wake wa karibu, Israel, kuhusu mauaji ya kimbari huko Gaza.
-
Donald Trump na kuanza tena sera iliyofeli ya mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran
Feb 06, 2025 08:57Jumanne ya Februari 4, 2025, Rais Donald Trump wa Marekani alitia saini hati ya utendaji ili kuendeleza sera za mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran na kudai kwamba, "Yuko tayari kuzungumza na rais wa Iran."
-
Utawala wa Israel wajitoa katika Baraza la Haki za Binadamu la UN
Feb 06, 2025 07:38Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel ametangaza kuwa utawala huo unajitoa katika Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa.
-
Iran yamhutubu Trump: Mashinikizo mengine ya juu, kushindwa tena US
Feb 05, 2025 09:00Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesisitiza kuwa, duru mpya ya kutekeleza sera ya "mashinikizo ya juu" ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu itapelekea kushindwa tena Washington.
-
Lavrov: Sera ya 'Marekani Kwanza' inatoa mwangwi wa kaulimbiu ya Hitler ya 'Ujerumani iko juu ya wote'
Feb 05, 2025 02:21Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergey Lavrov ametahadharisha kuwa, sera ya Trump ya ‘Marekani Kwanza’ ina mfanano wa kutatanisha na kaulimbiu ‘Ujerumani iko juu ya wote’ iliyotumiwa na Wanazi kuthibitisha ukuu na kuwa bora kitaifa kuliko wengine.
-
Afrika Kusini yamuonya Trump; Tutasitisha mauzo ya madini kwa Marekani
Feb 04, 2025 23:11Waziri wa Madini na Rasilimali za Petroli wa Afrika Kusini, Gwede Mantashe ametoa wito kwa nchi za Afrika kusimamisha mauzo ya madini kwenda Marekani.
-
WHO yajibu tuhuma za US: Hatuegemei upande wa nchi yoyote mwanachama, tunazingatia sayansi
Feb 04, 2025 07:02Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO Dkt. Tedros Adhanom Ghebreyesus amesisitiza kuwa shirika hilo haliegemei upande wa nchi yoyote mwanachama na kwamba limeanzishwa kwa ajili ya kuhudumia nchi zote na watu wote.
-
Kuongezeka mashinikizo dhidi ya watetezi wa Palestina nchini Marekani katika muhula wa pili wa urais wa Trump
Feb 04, 2025 05:40Kwa kuanza muhula wa pili wa urais wa Donald Trump, pamoja na vitisho na hatua za serikali yake dhidi ya waungaji mkono wa Palestina, mashinikizo dhidi ya watu hao na harakati za ndani ya nchi hiyo pia zimeongezeka kwa kiasi kikubwa.
-
Sheikh Naim Qassem: Maziko rasmi ya Shahidi Hassan Nasrullah yatafanyika Lebanon Februari 23
Feb 03, 2025 02:24Mazishi ya kiongozi wa muda mrefu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah yatafanyika Februari 23, miezi kadhaa tangu alipouawa shahidi katika shambulio la kigaidi la anga lililofanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut.
-
Karibu nusu ya Wadenmark wanaamini Marekani ni tishio kwa nchi yao
Jan 31, 2025 23:00Matokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanywa na Taasisi ya Utafiti ya UGO ya nchini Uingereza yameonyesha kuwa asilimia 46 ya wananchi wa Denmark wanaamini kuwa Marekani ni tishio kuu kwa nchi yao.