Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • "Daesh na makundi mengine ya kitakfiri yameanzishwa na Marekani na Israel"

    Jun 11, 2017 09:44

    Naibu Kamanda wa majeshi yote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kundi la kigaidi la Daesh na makundi mengine ya kitakfiri yameanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel na yamekuwa yakitumiwa na tawala hizo kwa ajili ya kufikia malengo yao.

  • Marekani yakiri askari wake watatu wameangamizwa Afghanistan

    Marekani yakiri askari wake watatu wameangamizwa Afghanistan

    Jun 11, 2017 03:32

    Viongozi wa Marekani wametangaza kuwa askari watatu wa nchi hiyo wameuliwa na mwengine mmoja amejeruhiwa baada ya askari mmoja wa Afghanistan kuwafyatulia risasi wanajeshi wa Marekani huko mashariki mwa Afghanistan.

  • Marekani yaunga mkono waziwazi ISIS; Mbunge wa Congress asema: Mashambulizi ya kigaidi ya Tehran ni kwa manufaa ya Marekani

    Marekani yaunga mkono waziwazi ISIS; Mbunge wa Congress asema: Mashambulizi ya kigaidi ya Tehran ni kwa manufaa ya Marekani

    Jun 10, 2017 11:28

    Mbunge wa jimbo la California katika Baraza la Congress la Marekani ametoa matamshi ya kijuba na kuunga mkono waziwazi mashambulizi ya kigaidi yaliyofanywa na genge la wakufurishaji la Daesh mjini Tehran, Iran, Jumatano asubuhi.

  • Alaeddin Boroujerdi: Marekani ni mpangaji mkuu wa njama dhidi ya Iran

    Alaeddin Boroujerdi: Marekani ni mpangaji mkuu wa njama dhidi ya Iran

    Jun 09, 2017 23:27

    Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria mashambulio ya kigaidi ya siku ya Jumatano hapa mjini Tehran na kusema kuwa, hapana shaka kuwa, mpangaji mkuu wa njama hiyo ni Marekani mtenda jinai.

  • Mbunge Marekani: Hujuma za kigaidi Tehran ni stratejia ya Trump

    Mbunge Marekani: Hujuma za kigaidi Tehran ni stratejia ya Trump

    Jun 09, 2017 23:05

    Mbunge katika chama tawala cha Republican nchini Marekani amesema hujuma za hivi karibuni za kundi la kigaidi la ISIS mjini Tehran inaweza kuwa stratijia ya Rais Donald Trump.

  • Wasaudi walimuhonga Trump makumi ya maelfu ya dola ili abadili sheria ya Jasta

    Wasaudi walimuhonga Trump makumi ya maelfu ya dola ili abadili sheria ya Jasta

    Jun 08, 2017 10:32

    Magazeti ya nchini Marekani yameandika ripoti inayofichua kwamba watawala wa Saudi Arabia, walitoa hongo ya makumi ya maelfu ya dola kwa Rais Donald Trump wa Marekani ili kumshinikiza ababadilishe sheria ya kukabiliana na waungaji mkono wa ugaidi kwa kifupi JASTA ya nchini Marekani.

  • Trump awalaumu na kuwakejeli mashahidi wa mashambulio ya Tehran

    Trump awalaumu na kuwakejeli mashahidi wa mashambulio ya Tehran

    Jun 08, 2017 02:16

    Katika hali ambayo dunia nzima inaendelea kutoa mkono wa pole na kutuma salamu za rambirambi kufuatia mashambulio pacha ya kigaidi yaliyotokea jana hapa mjini Tehran, Rais Donald Trump wa Marekani ametoa ujumbe unaoonekana kuwalaumu na kuwakejeli mashahidi waliouawa katika hujuma hizo.

  • Putin: Hakuna atakayepona katika vita vya nyuklia vya Marekani na Russia

    Putin: Hakuna atakayepona katika vita vya nyuklia vya Marekani na Russia

    Jun 07, 2017 02:46

    Rais Vladimir Putin wa Russia ametahadharisha kuwa, iwapo Marekani itaamua kuingia katika vita vya nyuklia na nchi yake, hakuna upande utakaopona 'kusherehekea' ushindi.

  • Kerry: Makubaliano ya JCPOA hayahitaji baraka za Marekani

    Kerry: Makubaliano ya JCPOA hayahitaji baraka za Marekani

    Jun 06, 2017 23:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani amesema makubaliano ya nyuklia ya Iran yanaweza kuendelea kusimama imara na kutekelezwa pasina na ushiriki wa Washington.

  • Mashtaka ya Syria kwa Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za Marekani na Daesh

    Mashtaka ya Syria kwa Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za Marekani na Daesh

    Jun 06, 2017 09:44

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Syria imetuma barua kwa nyakati tofauti kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la umoja huo na kutangaza kwamba, hasara za kifedha na kiroho zilizosababishwa na mashambulio ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani dhidi ya wananchi wa nchi hiyo hazina tofauti na jinai za magaidi wa Daesh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS