Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Kofi Annan amtaka Trump aache misimamo ya chuki dhidi ya Iran

    Kofi Annan amtaka Trump aache misimamo ya chuki dhidi ya Iran

    May 24, 2017 03:05

    Katibu Mkuu wa zamani wa Umoja wa Mataifa ametoa wito kwa Rais wa Marekani Donald Trump kufanya mazungumzo na Iran badala ya kushikilia misimamo yake ya uhasama dhidi ya Tehran.

  • Madai ya waungaji mkono wa magaidi ya kupambana na vyanzo vya kifedha vya magaidi

    Madai ya waungaji mkono wa magaidi ya kupambana na vyanzo vya kifedha vya magaidi

    May 22, 2017 04:35

    Katika hali ambayo Marekani na baadhi ya nchi za Kiarabu, wanachama wa Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi ndivyo vyanzo vikuu vya kifedha vya makundi ya kigaidi, jana Jumapili, nchi wanachama wa baraza hilo na Marekani zilikutana mjini Riyadh, Saudi Arabia na kutiliana saini hati ya maelewano kuhusiana na kuanzisha kituo maalumu cha kupambana na waungaji mkono wa kifedha wa makundi ya kigaidi.

  • Seneta wa US akosoa mauzo ya silaha kwa Saudia kwa dola bilioni 110

    Seneta wa US akosoa mauzo ya silaha kwa Saudia kwa dola bilioni 110

    May 21, 2017 23:32

    Seneta mmoja wa chama cha Democratic nchini Marekani amekosoa vikali hatua ya Washington kusaini makubaliano ya mauzo ya silaha yenye thamani ya dola bilioni 110 za Marekani kwa Saudi Arabia, licha ya kufahamu fika kuwa silaha hizo zinatumiwa na watawala Riyadh kuwaua raia wa Yemen.

  • Iran: Lengo la Marekani ni kuudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu

    Iran: Lengo la Marekani ni kuudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu

    May 21, 2017 03:26

    Mkuu wa Kamati ya Usalama wa Taifa ya Bunge la Iran amesema, lengo la Marekani ni kuudhoofisha ulimwengu wa Kiislamu, kushadidisha mizozo katika eneo hili, kuuza silaha nyingi zaidi na kuweka kambi nyingi zaidi za kijeshi katika nchi kama vile Saudi Arabia.

  • Marekani yaendeleza siasa za kibeberu Syria

    Marekani yaendeleza siasa za kibeberu Syria

    May 20, 2017 08:15

    Mtaalamu mmoja wa masuala ya kisiasa wa nchini Marekani amesema kuwa, nchi hiyo inaendeleza siasa za kibeberu nchini Syria licha ya Donald Trump kuonesha wakati wa kampeni za uchaguzi kuwa hatojiingiza sana katika masuala ya ndani ya Syria.

  • Vikwazo vya makombora ya Iran; muendelezo wa uadui wa Marekani dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu

    Vikwazo vya makombora ya Iran; muendelezo wa uadui wa Marekani dhidi ya Mapinduzi ya Kiislamu

    May 20, 2017 03:13

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika radiamali yake kwa hatua mpya ya serikali ya Marekani ya kuiwekea vikwazo vipya Iran na kusema kuwa, Marekani imeonyesha mara chungu nzima uadui wake kwa Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Mshauri wa zamani wa Trump akaidi kutoa ushirikiano kwa Seneti ya Marekani

    Mshauri wa zamani wa Trump akaidi kutoa ushirikiano kwa Seneti ya Marekani

    May 19, 2017 23:30

    Mshauri wa zamani wa usalama wa taifa wa Rais Donald Trump wa Marekani amekaidi kutoa ushirikiano kwa kamati ya usalama ya Seneti ya nchi hiyo inayochunguza kuhusu mawasiliano ambayo yanadaiwa kufanywa baina ya timu ya kampeni ya Trump na Russia.

  • Mrengo wa Hizbullah Lebanon: Msaada wa Marekani kwa utawala wa Saudia utaishia patupu

    Mrengo wa Hizbullah Lebanon: Msaada wa Marekani kwa utawala wa Saudia utaishia patupu

    May 19, 2017 11:53

    Mrengo unaoitwa "Uaminifu kwa Muqawama" katika bunge la Lebanon umesema kuwa, hatua ya Saudia kujiegemeza kwenye misaada ya Marekani inabainisha wazi kuendelea siasa za kichokozi na zilizofeli za utawala wa Aal-Saud katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • HRW yakosoa muswada wa sheria dhidi ya wahamiaji Marekani

    HRW yakosoa muswada wa sheria dhidi ya wahamiaji Marekani

    May 19, 2017 03:11

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limekosoa vikali muswada uliopendekezwa na serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani, ambao ukipasishwa na kuwa sheria basi vyombo vya dola vitaongezewa nguvu na mamlaka ya kuwabana zaidi wahamiaji haramu nchini humo.

  • Iran yawawekea vikwazo Wamarekani kujibu uchokozi wa dola hilo la kibeberu

    Iran yawawekea vikwazo Wamarekani kujibu uchokozi wa dola hilo la kibeberu

    May 18, 2017 09:52

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imeongeza idadi ya watu na mashirika ya Marekani katika orodha ya vikwazo vyake ikiwa ni kujibu hatua kama hiyo iliyochukuliwa na Marekani dhidi ya Iran. 

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS