-
Iran yasisitiza kuendeleza mpango wake wa makombora
May 18, 2017 02:47Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza juu ya azma ya taifa hili ya kuendeleza mpango wake wa makombora.
-
Syria yakanusha madai bandia ya Marekani dhidi yake
May 16, 2017 09:47Syria imekanusha vikali madai bandia yaliyotolewa na Marekani kwamba serikali ya Damascus imejenga gereza la kuwachoma moto wafungwa.
-
US: Lengo la safari ya Trump Mashariki ya Kati ni dhidi ya Iran
May 15, 2017 03:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema lengo kuu la safari ya wiki ijayo ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo katika eneo la Mashariki ya Kati ni kwa ajili ya kuunda 'umoja' dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Wamarekani wazidi kupigana risasi, 55 wauawa na kujeruhiwa masaa 24 yaliyopita
May 14, 2017 11:53Mauaji ya kiholela na ukatili wa kupigana risasi unaendelea kuitesa jamii ya Marekani kiasi kwamba matukio 61 yaliyotokea masaa 24 yaliyopita yamepelekea watu wasiopungua 15 kuuawa na wengine 40 kujeruhiwa kwa risasi katika majimbo tofauti ya Marekani.
-
Trump atishia vikwazo vikali zaidi baada ya Korea Kaskazini kufanyia majaribio kombora jipya
May 14, 2017 03:21Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kuiwekea vikwazo vikali zaidi Korea Kaskazini, baada ya Pyongyang kufyatua kifaa kinachoaminika kuwa kombora lake la balestiki kuelekea upande wa Japan.
-
Jaribio la Kutaka Kumuua Kiongozi wa Korea Kaskazini ni tangazo la vita
May 12, 2017 02:50Korea Kaskazini imelaani tena jaribio la kutaka kumuua kiongozi wake ambalo limetekelezwa na mashirika ya kijasusi ya Marekani na Korea Kusini na kulitaja jaribio hilo kuwa sawa na tangazo la vita.
-
Watu 8 wauawa Marekani katika vitendo vya uhalifu
May 12, 2017 01:35Watu 8 wameuawa na wengine kujeruhiwa Alhamisi usiku katika vitendo vya uhalifu katika majimbo mbali mbali ya Marekani.
-
Lengo la Salman la kuwaita wakuu wa nchi 17 kwenda kuonana na Donald Trump nchini Saudi Arabia
May 12, 2017 01:25Mfalme wa Saudi Arabia, Salman bin Abdulaziz Aal Saud amewaalika wakuu wa nchi 17 kwenda kuonana na Donald Trump, wakati rais huyo wa Marekani atakapokuwa ziarani nchini Saudia.
-
Dennis Etler: Al-Qaida na ISIS yanatumikia maslahi ya Marekani
May 08, 2017 10:33Mchambuzi wa masuala ya kisiasa wa nchini Marekani, amesema kuwa Washington haitaki kuyatokomeza makundi ya kigaidi ya Daesh (ISIS) na al-Qaida kwa kuwa, magenge hayo yanatumikia maslahi yanchi hiyo.
-
Ukosoaji mkali wa Moscow kuhusiana na siasa za uhasama za Marekani dhidi ya Russia
May 07, 2017 08:03Igor Konashenkov, Msemaji wa Wiara ya Ulinzi ya Russia amekosoa siasa za vita za kila siku zinazotekelezwa na Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon.)