Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Papa akerwa na matumizi ya neno

    Papa akerwa na matumizi ya neno "Mama" kwa bomu la Marekani

    May 07, 2017 02:53

    Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis amekosoa vikali hatua ya Marekani ya kulipa bomu lenye nguvu kubwa zaidi la nchi hiyo lisilo la nyuklia jina la "Mama''.

  • Sisitizo la  Mogherini kuwa kudhoofika nafasi ya Marekani duniani ni fursa kwa Umoja wa Ulaya

    Sisitizo la Mogherini kuwa kudhoofika nafasi ya Marekani duniani ni fursa kwa Umoja wa Ulaya

    May 06, 2017 22:07

    Mkuu wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya EU, Federica Mogherini, Ijumaa alitangaza kuwa nafasi ya Marekani duniani inadhoofika na kwamba jambo hilo ni kwa maslahi ya umoja huo.

  • Kuongezeka ushirikiano wa kijeshi wa Marekani na Israel wakati wa Donald Trump

    Kuongezeka ushirikiano wa kijeshi wa Marekani na Israel wakati wa Donald Trump

    May 06, 2017 01:55

    Takwimu zinaonesha kuwa, ushirikiano wa kijeshi baina ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel umeongezeka katika kipindi hiki ambapo Donald Trump anatarajiwa kutembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni. Rais Donald Trump wa Marekani anatarajiwa kutembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel mwisho mwa mwezi huu wa Mei.

  • Korea Kaskazini: CIA inapanga kumuua kiongozi wetu kwa silaha za kemikali

    Korea Kaskazini: CIA inapanga kumuua kiongozi wetu kwa silaha za kemikali

    May 05, 2017 23:45

    Pyongyang imesema Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) linapanga njama ya kumuua kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un kwa kushirikiana na Idara ya Intelijensia ya Korea Kusini.

  • Askari 3 wa Marekani wauawa na kujeruhiwa na al-Shabaab Somalia

    Askari 3 wa Marekani wauawa na kujeruhiwa na al-Shabaab Somalia

    May 05, 2017 23:42

    Askari mmoja wa Marekani ameuawa kwa kufyatuliwa risasi katika operesheni ya pamoja ya US na jeshi la Somalia dhidi ya ngome ya wanamgambo wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab.

  • Marekani yakiri kuhusika na shambulizi dhidi ya msikiti nchini Syria

    Marekani yakiri kuhusika na shambulizi dhidi ya msikiti nchini Syria

    May 05, 2017 09:07

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) hatimaye imekiri kuwa ndege za kijeshi za US zilitekeleza shambulizi a anga dhidi ya msikiti mmoja nchini Syria ambapo makumi ya watu waliuawa.

  • HRW yaitaka US iishinikize Sudan ikomeshe ukiukaji wa haki za binadamu

    HRW yaitaka US iishinikize Sudan ikomeshe ukiukaji wa haki za binadamu

    May 04, 2017 03:16

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limeitaka serikali ya Marekani iishinikize Sudan ikomeshe uvunjaji wa haki za binadamu.

  • Brig. Jenerali Dehqan: Nara za Marekani kuhusu usalama na haki za binadamu zinasikitisha

    Brig. Jenerali Dehqan: Nara za Marekani kuhusu usalama na haki za binadamu zinasikitisha

    May 03, 2017 10:16

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria uiangiliaji wa Marekani huko Iraq, Syria na Yemen ambao umesababisha maafa makubwa na kusema kuwa, nara za Wamarekani katika suala la usalama na haki za binadamu zinasikitisha.

  • Usalama mdogo Marekani, raia wavunja rekodi za kununua silaha za kujilinda

    Usalama mdogo Marekani, raia wavunja rekodi za kununua silaha za kujilinda

    May 03, 2017 10:15

    Ikiwa ni katika kuthibitisha kuwa hali ya usalama nchini Marekani imezidi kuwa mbaya hasa baada ya kuingia madarakani Rais Donald Trump, biashara ya silaha za moto nchini humo imeongezeka sana kwa namna ambayo haijawahi kushuhudiwa mfano wake.

  • Kongresi ya Marekani yakataa kupitisha bajeti ya ujenzi wa ukuta wa Rais Trump

    Kongresi ya Marekani yakataa kupitisha bajeti ya ujenzi wa ukuta wa Rais Trump

    May 02, 2017 23:46

    Bunge la seneti nchini Marekani limekataa kuidhinisha ombi la Rais Donald Trump wa nchi hiyo la kudhamini bajeti itakayojenga ukuta katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS