-
Silaha za kisasa za Marekani mikononi mwa magenge ya kigaidi
Dec 05, 2016 03:04Habari kutoka nchini Marekani zinasema kuwa, bunge la nchi hiyo limeipa idhini Serikali kuyaimarisha kwa silaha za kisasa magenge ya kigaidi yanayofanya mauaji nchini Syria.
-
Jahangiri: Marekani imekiuka muafaka wa kimataifa
Dec 05, 2016 00:26Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali hatua ya Baraza la Seneti la Marekani ya kupitisha muswada wa kurefusha kwa muda wa miaka 10 mingine Sheria ya Vikwazo Dhidi ya Iran (ISA) na kusema kuwa, kitendo hicho mbali na kuonyesha kuwa Washington haina muamana, pia ni ukiukaji wa makubaliano ya kimataifa.
-
Ubalozi feki wa Marekani nchini Ghana wafungwa baada ya miaka 10
Dec 04, 2016 11:39Washington imesema ubalozi bandia wa Marekani ambao umekuwa ukiendesha shughuli zake kinyume cha sheria nchini Ghana kwa takriban muongo mmoja umefungwa.
-
Hasira za China kwa uchokozi mpya wa Donald Trump
Dec 04, 2016 08:14Rais mteule wa Marekani, Donald Trump ameikasirisha mno China kwa kitendo chake kisicho cha kidiplomasia cha kuzungumza kwa simu na rais wa kisiwa cha Taiwan ambacho China inakihesabu kuwa ni sehemu isiyotenganishika na nchi hiyo.
-
Zarif: Kurefusha vikwazo kunaonesha kuwa serikali ya Marekani haina muamana
Dec 03, 2016 04:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kwa mtazamo wa jamii ya kimataifa kurefushwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kunaonesha kuwa serikali ya Washington haina muamana.
-
HRW: Silaha za Marekani zinatumiwa na Saudia kutenda jinai za kivita Yemen
Dec 03, 2016 00:55Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch kwa mara nyingine limetoa wito kwa Marekani kusitisha uuzaji wake wa silaha kwa Saudi Arabia.
-
Kupasishwa na Seneti ya Marekani muswada wa kurefusha vikwazo dhidi ya Iran
Dec 03, 2016 00:53Wajumbe wa Baraza la Seneti la Marekani wamepitisha muswada wa kurefusha kwa muda wa miaka 10 mingine Sheria ya Vikwazo Dhidi ya Iran (ISA).
-
'Kurefushwa vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni ukiukaji mapatano ya nyuklia'
Dec 02, 2016 12:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema muswada wa Bunge la Marekani kurefusha muda wa vikwazo dhidi ya Iran kwa miaka kumi zaidi ni kinyume cha ahadi za Marekani katika mapatano ya nyuklia yajulikanayo kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA
-
Trump ateua 'Jibwa Kichaa' kuwa Waziri wa Ulinzi Marekani
Dec 02, 2016 04:34Rais mteule wa Marekani Donald Trump amemteua aliyekuwa Kamanda mwandamizi wa jeshi la Marekani Jenerali James Mattis kuwa Waziri wa Ulinzi wa nchi hiyo.
-
CIA yamuonya Trump dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Iran
Nov 30, 2016 11:08Shirika la Kijasusi la Marekani CIA limemuonya rais-mteule wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1.