-
CIA yamuonya Trump dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Iran
Nov 30, 2016 11:08Shirika la Kijasusi la Marekani CIA limemuonya rais-mteule wa nchi hiyo Donald Trump dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1.
-
Onyo la mkuu wa CIA kwa Trump kuhusu JCPOA
Nov 30, 2016 09:42John O. Brennan, Mkuu wa Shirika la Kijasusi la Marekani CIA amemuonya Donald Trump, rais mteule wa Marekani kutokana na msimamo wake kuhusu makubaliano ya nyuklia ya Iran na kundi la 5+1 yanayojulikana kwa jina la JCPOA na kusisitiza kuwa, haitakuwa busara hata kidogo kufutwa makubaliano yaliyotiwa saini na Tehran na Washington.
-
Kuongeza hujuma na jinai mbalimbali Marekani baada ya ushindi wa Trump
Nov 30, 2016 01:00Kundi moja la Kutetea Haki za Kiraia nchini Marekani limesema katika ripoti yake kuwa, hujuma na jinai mbalimbali ziliongezeka nchini humo humo siku kumi baada ya Donald Trump kutangazwa mshindi wa kiti cha urais.
-
Waislamu Marekani walaani hujuma ya 'kigaidi' Ohio
Nov 29, 2016 10:41Viongozi wa Kiislamu nchini Marekani wamelaani vikali kile vyombo vya usalama vimetaja kuwa hujuma ya kigaidi katika jimbo la Ohio, ambapo mwanafunzi mmoja wa Marekani mwenye asili ya Somalia aliwashambulia kwa kisu wanachuo wenzake.
-
Kuongezeka mpasuko ndani ya jamii ya Marekani baada ya uchaguzi wa rais
Nov 29, 2016 04:24Matokeo ya uchunguzi wa maoni yaliyotangazwa siku ya Jumapili yanaonyesha kuwa asilimia 85 ya Wamarekani wanahisi kuwa mpasuko ndani ya nchi hiyo juu ya masuala muhimu umekuwa mkubwa zaidi katika mwaka huu wa 2016 kulinganisha na miaka kadhaa iliyopita; na raia wengi zaidi hawaridhiki na hali ya demokrasia katika nchi yao tangu Donald Trump alipotangazwa mshindi katika uchaguzi wa rais.
-
Kamanda Rahim Safavi: Mporomoko wa uwezo wa kisiasa na kijeshi wa Marekani umeanza
Nov 28, 2016 23:32Msaidizi na Mshauri mwandamizi wa Amiri Jeshi Mkuu wa vikosi vya jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, mwenendo wa kushuka na kuporomoka uwezo wa kisiasa na kijeshi wa Marekani umeanza rasmi.
-
Mpasuko waendelea kushuhudiwa katika jamii ya Marekani baada ya uchaguzi wa rais
Nov 28, 2016 11:54Uchunguzi mpya wa maoni unaonyesha kuwa, zaidi ya asilimia 80 ya Wamarekani wanaamini kuwa, nchi hiyo imekumbwa na mpasuko mkubwa baada ya uchaguzi wa rais uliofanyika hivi karibuni.
-
Askari watano wa Marekani wauawa kaskazini mashariki mwa Syria
Nov 27, 2016 13:27Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, wanajeshi watano wa Marekani na wanamgambo wawili wa Kikurdi wameuawa katika kambi moja ya kijeshi inayomilikiwa na magenge ya kigaidi katika kiunga cha mji wa Hasakah, kaskazini mashariki mwa Syria.
-
Mkutano wa Waislamu America waanza katika mji wa Detroit, Michigan
Nov 27, 2016 02:10Mkutano wa 12 wa kila mwaka wa Jumuiya ya Kiislamu ya America ya Kaskazini umeendelea leo katika mji wa Detroit kwenye jimbo la Michigan huko Marekani.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu: Ulazima wa nchi zenye misimamo huru kuwa na nafasi muhimu katika matukio ya Mashariki ya Kati
Nov 23, 2016 08:54Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Iran daima imekuwa ikitoa wito kwa nchi zenye misimamo huru kuwa na nafasi amilifu katika kukabiliana na mashinikizo dhidi ya mataifa na inayataka yasikae kimya na kuwa watazamaji tu wa matukio hayo.