Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Takwa la Jimbo la California kupiga kura ya kujitenga na Marekani hapo 2019

    Takwa la Jimbo la California kupiga kura ya kujitenga na Marekani hapo 2019

    Nov 23, 2016 00:46

    Kundi moja linalotaka jimbo la California lijitenge na Marekani limewasilisha pendekezo la kuondolewa kipengee katika katiba ya jimbo inayoitaja California kuwa sehemu 'isiyotenganika' na Marekani.

  • Bunge la Iran lalaani hatua ya Bunge la Marekani

    Bunge la Iran lalaani hatua ya Bunge la Marekani

    Nov 22, 2016 12:59

    Wajumbe wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, wamelaani hatua ya wajumbe wa Bunge la Marekani kurefusha kwa muda wa miaka 10 sheria ya kuiwekea Iran vikwazo.

  • Maandamano ya kuwaunga mkono Waislamu Marekani yaendelea, mara hii ni wakazi wa Kentucky

    Maandamano ya kuwaunga mkono Waislamu Marekani yaendelea, mara hii ni wakazi wa Kentucky

    Nov 21, 2016 23:15

    Wakazi wa jimbo la Kentucky nchini Marekani wamefanya maandamano kwa kukusanyika mbele ya kituo cha Kiislamu cha mji huo kuwaunga mkono Waislamu hususan baada ya uchaguzi wa rais uliompa ushindi Donald Trump, mfanyabiashara mwenye misimamo ya chuki dhidi ya wafuasi wa dini hiyo.

  • Meja Jenerali Ataollah Salehi: Marekani ni adui nambari moja wa taifa la Iran

    Meja Jenerali Ataollah Salehi: Marekani ni adui nambari moja wa taifa la Iran

    Nov 21, 2016 10:42

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Marekani ni adui nambari moja wa taifa la Iran na ni tishio kwa mataifa yote ya Mashariki ya Kati.

  • Uchunguzi: Marekani ilishinikiza kutimuliwa kamanda wa Kenya, Sudan Kusini

    Uchunguzi: Marekani ilishinikiza kutimuliwa kamanda wa Kenya, Sudan Kusini

    Nov 20, 2016 04:40

    Uchunguzi uliofanywa na shirika moja la kimataifa la kutathmini masuala ya sera umefichua kuwa, Marekani ilishinikiza kufutwa kazi kamanda wa ngazi za juu wa jeshi la Kenya aliyekuwa akisimamia Kikosi cha Umoja wa Mataifa cha kulinda amani nchini Sudan Kusini (UNMISS).

  • Russia: Marekani inafanya propaganda chafu kuhusu hospitali za Aleppo

    Russia: Marekani inafanya propaganda chafu kuhusu hospitali za Aleppo

    Nov 20, 2016 00:54

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa, madai ya kushambuliwa hospitali katika mji wa Aleppo nchini Syria ni wenzo wa kipropaganda unaotumiwa na Marekani dhidi ya serikali ya Moscow.

  • Hatua mpya ya Bunge la Marekani dhidi ya Iran

    Hatua mpya ya Bunge la Marekani dhidi ya Iran

    Nov 19, 2016 04:32

    Wawakilishi wa Bunge la Marekani ambalo linadhibitiwa na Warepublican juzi walipasisha mpango ambao unazuia kuiuzia Iran ndege zaidi ya 100 za abiria aina ya Boeing.

  • Marekani yataka Machar awekwe katika orodha nyeusi

    Marekani yataka Machar awekwe katika orodha nyeusi

    Nov 19, 2016 00:59

    Marekani imelitaka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limuweka kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini, Riek Machar katika orodha nyeusi kwa tuhuma za kupanga njama ya kuipindua serikali ya Rais Salva Kiir.

  • Kukasirishwa nchi za Magharibi na uamuzi wa Russia wa kujitoa ICC

    Kukasirishwa nchi za Magharibi na uamuzi wa Russia wa kujitoa ICC

    Nov 18, 2016 23:18

    Hatua ya Russia ya kutangaza kujitoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imezikasirisha nchi za Magharibi za Ulaya na Marekani.

  • Wademocrat wakosoa sheria ya uchaguzi US baada ya ushindi wa Trump

    Wademocrat wakosoa sheria ya uchaguzi US baada ya ushindi wa Trump

    Nov 16, 2016 11:08

    Seneta mmoja wa chama cha Democrat nchini Marekani ameandaa muswada wa kuifanyia marekebisho Sheria ya Uchaguzi ya nchi hiyo kufuatia ushindi wa Donald Trump wa chama cha Republican katika uchaguzi wa wiki iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS