-
Bunge la Marekani larefusha vikwazo dhidi ya Iran, maandamano dhidi ya Trump yanaendelea
Nov 16, 2016 04:20Bunge la Marekani limeendelea kuonesha uadui wake dhidi ya Iran kwa kupasisha muswada wa kurefusha vikwazo dhidi ya Tehran kwa miaka kumi zaidi.
-
Marekani yatuhumiwa na ICC kutenda jinai za kivita Afghanistan
Nov 15, 2016 23:26Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ametoa taarifa akiituhumu Marekani kwamba, imetenda jinai za kivita nchini Afghanistan.
-
ICC yakiri kuwa Marekani ilitenda jinai za kivita Afghanistan
Nov 15, 2016 04:28Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imesema wanajeshi wa Marekani na maafisa wa shirika la ujasusi la nchi hiyo CIA yumkini wana hatia ya kufanya jinai dhidi ya binadamu nchini Afghanistan.
-
Mogherini: Trump hana uwezo wa kubatilisha JCPOA
Nov 14, 2016 04:34Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1 hayawezi kubatilishwa na serikali moja kwa kuwa yana baraka kamili ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.
-
Trump: Tutawafunga jela au kuwatimua wahajiri milioni 3
Nov 14, 2016 04:31Hata kabla ya kuapishwa, Rais mteule wa Marekani Donald Trump ameahidi kutekeleza ahadi alizozitoa wakati wa kampeni za uchaguzi, likiwemo suala la kuwatimua wahamiaji nchini humo.
-
Majimbo ya Texas na California yataka kujitenga na Marekani
Nov 14, 2016 00:39Majimbo ya Texas na California yanataka kujitenga na Marekani.
-
Trump atahadharishwa na hatua ya kuuhamishia ubalozi wa Marekani Baitul Muqaddas
Nov 13, 2016 13:11Mwakilishi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa amemtahadharisha rais mteule wa Marekani Donald Trump na kutekeleza ahadi aliyotoa ya kuuhamishia katika mji mtukufu wa Baitul Muqaddas ubalozi wa nchi hiyo ulioko Tel Aviv, Israel.
-
Marekani yatajwa mshirika wa jinai za utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain
Nov 13, 2016 13:03Kiongozi wa harakati ya Al-Amalul-Islami ya Bahrain amesema Marekani ni mshirika wa jinai zinazofanywa na utawala wa Aal Khalifa dhidi ya wananchi wa Bahrain.
-
Zarif amuonya Trump asithubutu kukiuka mapatano ya nyuklia ya Iran
Nov 12, 2016 01:13Waziri wa Mambo ya Nje ya Iran Mohammad Javad Zarif ameonya kuwa iwapo rais mteule wa Marekani atakiuka mapatano ya nyuklia, basi Iran ina machaguo mengine ya kukabiliana na hali hiyo.
-
Ayatullah Khatami amtahadharisha Rais mteule wa Marekani kuhusu siasa za vitisho
Nov 11, 2016 12:21Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo katika mji wa Tehran amesema kuwa taifa la Iran halitaiamini serikali yoyote inayoingia madarakani huko Marekani.