Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • China: Trump asijaribu kabisa kuingilia masuala yetu ya ndani

    China: Trump asijaribu kabisa kuingilia masuala yetu ya ndani

    Nov 10, 2016 10:03

    Huku ulimwengu ukiwa bado umepatwa na mshangao kufuatia ushindi wa hapo jana wa mgombea wa chama cha Republican nchini Marekani Donald Trump, kwa upande wake vymbo vya habari vya serikali ya Uchina, vimetoa onyo kali kwa rais huyo mteule kutothubutu kuingilia masuala yake ya ndani.

  • Zarif: Trump anapasa kuwa na ufahamu sahihi wa ukweli wa mambo katika eneo na ulimwenguni kwa ujumla

    Zarif: Trump anapasa kuwa na ufahamu sahihi wa ukweli wa mambo katika eneo na ulimwenguni kwa ujumla

    Nov 09, 2016 23:32

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtaka rais mpya wa Marekani kuelewa ipasavyo uhakika wa mambo katika eneo la Mashariki ya Kati na ulimwenguni kwa ujumla.

  • Trump ashinda uchaguzi wa rais Marekani, masoko ya hisa yaporomoka

    Trump ashinda uchaguzi wa rais Marekani, masoko ya hisa yaporomoka

    Nov 09, 2016 04:46

    Masoko ya hisa ya dunia na hususan ya Marekani yameporomoka kwa kiasi kikubwa muda mfupi baada ya Donald Trump wa chama cha Republican kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa rais nchini humo.

  • Mamillioni ya Wamarekani wanyimwa haki ya kupiga kura

    Mamillioni ya Wamarekani wanyimwa haki ya kupiga kura

    Nov 09, 2016 04:44

    Huku matokeo yasiyo rasmi ya uchaguzi wa rais Marekani yakionyesha kuwa Donald Trump wa chama cha Republican amepata ushindi dhidi ya mshindani wake wa chama cha Democrat Hillary Clinton, imebainika kuwa idadi kubwa ya Wamarekani wamenyimwa haki yao ya kupiga kura.

  • Ghasia za uchaguzi Marekani, kadhaa wajeruhiwa California

    Ghasia za uchaguzi Marekani, kadhaa wajeruhiwa California

    Nov 09, 2016 01:18

    Huku matokeo rasmi ya uchaguzi wa rais nchini Marekani yakisubiriwa kwa hamu na shauku, mtu mmoja ameuawa na wengine wanne kujeruhiwa katika tukio la ufyatuaji risasi lililojiri katika jimbo la California.

  • Trump: Mfumo unaotawala Marekani ni fisadi

    Trump: Mfumo unaotawala Marekani ni fisadi

    Nov 08, 2016 01:18

    Donald Trump mgombea wa kiti cha urais Marekani kwa tikiti ya chama cha Republican ameutaja kuwa fisadi mfumo unaotawala nchini humo.

  • Wamarekani wahofia kutokea mashambulizi ya kigaidi wakati wa uchaguzi

    Wamarekani wahofia kutokea mashambulizi ya kigaidi wakati wa uchaguzi

    Nov 05, 2016 11:38

    Viongozi wa serikali ya Marekani wameonya juu ya uwezekano wa kutokea mashambulizi ya kigaidi siku ya uchaguzi wa rais na kuwataka wananchi wajiandae kwa hilo.

  • "Jinai za Marekani ziwekwe paruwanja kimataifa"

    Nov 04, 2016 12:21

    Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran ameitaja Marekani kama adui nambari moja wa Ulimwengu wa Kiislamu na kueleza udharura wa kuanikwa hadharani jinai za Washington kimataifa.

  • Hujuma ya ndege za Marekani yaua makumi ya watu Afghanistan

    Hujuma ya ndege za Marekani yaua makumi ya watu Afghanistan

    Nov 03, 2016 12:52

    Makumi ya watu wameuawa katika shambulio la anga lililofanywa na ndege za Marekani, kaskazini mwa Afghanistan.

  • Bennett: Clinton na mumewe wametajirika kwa pesa za Saudia

    Bennett: Clinton na mumewe wametajirika kwa pesa za Saudia

    Nov 03, 2016 00:23

    Ofisa wa zamani wa jeshi la Marekani na mchambuzi wa siasa amesema mgombea wa urais wa Marekani kwa tiketi ya chama cha Democrat Hillary Clinton na mumewe wake Bill Clinton wamechuma utajiri wao kutokana na kuiuzia Saudi Arabia ushawishi wa serikali ya Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS