-
Hashdu Shaabi: Hatuhitajii Marekani katika operesheni ya Mosul
Nov 02, 2016 11:10Kikosi cha kujitolewa cha Hashdu Shaabi kinachoshirikiana na jeshi la Iraq katika operesheni ya kuukomboa mji wa Mosul toka mikononi mwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh kimesema vikosi hivyo havihitajii muungano wa kijeshi wa Marekani katika mapambano hayo.
-
Sudan yakosoa kurefushwa vikwazo dhidi yake na Marekani
Nov 01, 2016 11:08Serikali ya Sudan imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuirefushia vikwazo Khartoum kwa muda wa mwaka mmoja mwingine.
-
Seneta wa Marekani afichua uhusiano wa Washington na Daesh
Oct 26, 2016 11:30Seneta mmoja wa chama cha Republican nchini Marekani amesema uhusiano kati ya Washington na kundi la kigaidi la Daesh umechangia kusambaratisha usalama na utulivu katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Kushadidi tuhuma baina ya Trump na Clinton, kuelekea uchaguzi Marekani
Oct 25, 2016 04:36Ushindani katika kampeni za urais nchini Marekani umeshika kasi ikiwa ni siku chache zimesalia kabla ya kufanyika uchaguzi wa rais nchini humo.
-
Ongezeko kubwa la uhalifu wa chuki za kidini dhidi ya Waislamu nchini Marekani
Oct 24, 2016 02:48Ripoti mpya iliyotolewa inaonyesha kuwa, uhalifu unaotokana na chuki dhidi ya Waislamu umeongezeka kwa kiwango kikubwa nchini Marekani.
-
Mdahalo wa mwisho wa Trump na Clinton, mbio za uchaguzi wa rais Marekani
Oct 20, 2016 23:02Mdahalo wa tatu na wa mwisho wa televisheni wa wagombea uchaguzi wa rais Marekani kwa mara nyingine tena umegubikwa na utata huku mada kuu zikiwa ni kufichuliwa nyaraka za WikiLeaks zinazomhusu mgombea wa chama cha Democrat Hillary Clinton, wahamiaji, sera za kigeni na kashfa za kimaadli za Donald Trump, mgombea wa chama cha Republican.
-
Malalamiko ya China kuhusiana na manuva ya kijeshi ya Marekani na Korea Kusini
Oct 20, 2016 00:29Oktoba 18 Wizara ya Ulinzi ya China ilitoa taarifa ya kulalamikia manuva ya kijeshi yanayofanywa na Marekani kwa kushirikiana na Korea Kusini katika eneo hilo.
-
Larijani: Marekani inachochea ugaidi kupitia vita
Oct 18, 2016 03:31Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran amesema Marekani inachochea ugaidi katika eneo hili la Mashariki ya Kati na duniani kote kwa ujumla kwa kutumia anga ya vita na mapigano.
-
Marekani, Saudia, Israel ni waungaji mkono wa magaidi wa Daesh
Oct 17, 2016 23:40Kamanda wa ngazi za juu wa jeshi nchini Syria amesema, kuna ushahidi wa kutosha kuwa Marekani, Saudi Arabia na Israel ni waungaji mkono wakuu wa magaidi wa ISIS (Daesh) huko Syria na Iraq.
-
Hasira za Marekani na Israel kwa uamuzi wa UNESCO kuhusu Quds
Oct 15, 2016 00:24Uamuzi wa Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) wa kusisitiza kuwa Mayahudi hawana uhusiano wowote ule na Masjidul Aqsa, (Kibla cha Kwanza cha Waislamu) wala mji wa Quds, umewahamakisha sana viongozi wa utawala wa Kizayuni na Marekani