Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Wamarekani waanza kuisakama Saudia juu ya shambulio la Septemba 11

    Wamarekani waanza kuisakama Saudia juu ya shambulio la Septemba 11

    Oct 01, 2016 04:23

    Mjane wa Kimarekani ambaye mumewe aliuawa katika shambulizi la Septemba 11 mwaka 2001 nchini Marekani ameipeleka mahakamani serikali ya Saudi Arabia kwa kuhusika na hujuma hiyo, sambamba na kutaka kulipwa fidia kutokana na mauaji ya mumewe.

  • Russia: Kauli ya Marekani ni dhihirisho kuwa inaunga mkono ugaidi

    Russia: Kauli ya Marekani ni dhihirisho kuwa inaunga mkono ugaidi

    Sep 29, 2016 10:50

    Serikali ya Moscow imesema matamshi ya hivi karibuni ya Marekani kuwa magaidi wa Daesh wanaofanya mashambulizi dhidi ya Syria yumkini wakaanza kuishambulia miji ya Russia ni ithibati tosha kuwa Washington inaunga mkono ugaidi.

  • Mgombea urais wa chama cha Kijani US: Trump na Clinton ni hatari sana kwa dunia

    Mgombea urais wa chama cha Kijani US: Trump na Clinton ni hatari sana kwa dunia

    Sep 27, 2016 11:31

    Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha kijani katika uchaguzi wa rais nchini Marekani, amewakosoa vikali wagombea wa vyama vya Republican na Democrat katika siasa za kigeni za nchi hiyo akisema kuwa ni watu hatari sana.

  • Russia yakosoa vikali matamshi ya Marekani na Magharibi katika Umoja wa Mataifa

    Russia yakosoa vikali matamshi ya Marekani na Magharibi katika Umoja wa Mataifa

    Sep 26, 2016 11:02

    Russia imekosoa matamshi yaliyotolewa na Mabalozi wa Marekani, Uingereza na Ufaransa katika Umoja wa Mataifa kwa mashambulizi ya jeshi la Russia katika ngome za makundi ya kigaidi huko Syria.

  • Zarif: Kubaki tawala za baadhi ya nchi kumefungamana na utegemezi wao kwa Marekani

    Zarif: Kubaki tawala za baadhi ya nchi kumefungamana na utegemezi wao kwa Marekani

    Sep 25, 2016 12:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema tawala za baadhi ya nchi za eneo zinahisi uhalali wao na kuendelea kubaki kwao kunategemea bawa la hifadhi na uungaji mkono wa Marekani.

  • Ubaguzi wa rangi dhidi ya watu weusi katika historia ya Marekani

    Ubaguzi wa rangi dhidi ya watu weusi katika historia ya Marekani

    Sep 25, 2016 08:22

    Huku mjadala wa ubaguzi wa rangi dhidi ya jamii ya watu weusi nchini Marekani hususan kufuatia mashambulizi ya polisi dhidi yao ukiendelea kugonga vichwa vya habari, rais wa nchi hiyo ameibuka na kusema kuwa, historia ya Wamarekani imejaa vipindi vya giza na mwanga.

  • Sudan Kusini yailaumu Marekani kwa kuendelea kuiwekea vikwazo

    Sudan Kusini yailaumu Marekani kwa kuendelea kuiwekea vikwazo

    Sep 24, 2016 01:19

    Serikali ya Sudan Kusini imeilaumu Marekani kwa siasa zake zisizo sahihi kuhusiana na nchi hiyo na kusema, Juba inahitajia misaada mbalimbali ikiwemo ya silaha na si vikwazo.

  • Iran yaionya na kuitimua ndege ya kijasusi ya Marekani

    Iran yaionya na kuitimua ndege ya kijasusi ya Marekani

    Sep 24, 2016 01:10

    Kamanda wa ngazi za juu nchini Iran amesema vikosi vya ulinzi wa angani nchini vimeionya na kuitimua ndege ya kijasusi ya Marekani aina ya U2 ambayo ilikuwa inajaribu kuruka katika mipaka ya Iran.

  • Rais Rouhani: Utendaji wa Marekani ni kinyume cha mapatano ya nyuklia

    Rais Rouhani: Utendaji wa Marekani ni kinyume cha mapatano ya nyuklia

    Sep 23, 2016 10:26

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, tume ya pamoja ya kuratibu mapatano ya nyuklia, maarufu kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA), imesema utendaji wa Marekani ni kinyume cha mapatano hayo.

  • Marekani imepoteza maelfu ya mabilioni ya dola kwa kisingizio cha mashambulizi ya Septemba 11

    Marekani imepoteza maelfu ya mabilioni ya dola kwa kisingizio cha mashambulizi ya Septemba 11

    Sep 19, 2016 22:14

    Matokeo ya utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu kimoja nchini Marekani yanaonyesha kuwa Washington imepoteza dola bilioni elfu tano kwa kile ilichokiita mapambano dhidi ya ugaidi, tangu kutokea mashambulizi ya Septemba 11 nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS