Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Iran yalalamikia uingiliaji wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    Iran yalalamikia uingiliaji wa Marekani katika Ghuba ya Uajemi

    May 04, 2016 23:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani uingiliaji wa hivi karibuni wa Marekani katika masuala ya usalama wa Ghuba ya Uajemi.

  • Uraibu wa Marekani wa kutoa madai yasiyo na msingi dhidi ya Iran

    Uraibu wa Marekani wa kutoa madai yasiyo na msingi dhidi ya Iran

    May 04, 2016 22:15

    Mapatano ya nyuklia ya Iran na kundi la 5+1 ambayo yalianza kutekelezwa mwezi Januari mwaka huu, yamepelekea kuondolewa kwa vikwazo ambavyo vilikuwa vikitekelezwa dhidi ya nchi hii kwa kisingizio cha mpango wake wa nyuklia.

  • Iran: Uwepo wa US katika Ghuba ya Uajemi unasababisha ukosefu wa usalama

    Iran: Uwepo wa US katika Ghuba ya Uajemi unasababisha ukosefu wa usalama

    May 04, 2016 10:03

    Ofisa mwandamizi wa jeshi la majini la Iran amesema uwepo wa majeshi ya Marekani katika Ghuba ya Uajemi na Bahari ya Oman unapania kusababisha ukosefu wa usalama na kueneza harakati za kigaidi katika eneo.

  • Uchaguzi Marekani: Ted Cruz amtwanga ngumi mkewe baada ya kushindwa na Trump

    Uchaguzi Marekani: Ted Cruz amtwanga ngumi mkewe baada ya kushindwa na Trump

    May 04, 2016 07:03

    Ted Cruz aliyekuwa anawania kuteuliwa na chama chake cha Republican kugombea urais wa Marekani wa tiketi ya chama hicho alishitukia amempiga ngumi ya uso mkewe, baada ya kushindwa na mgombea mwenzake Donald Trump na kuamua kujitoa kwenye kinyang'anyiro hicho.

  • Saudia yaionya Marekani isifichue kuhusika kwake na ugaidi wa 9/11

    Saudia yaionya Marekani isifichue kuhusika kwake na ugaidi wa 9/11

    May 03, 2016 02:56

    Saudi Arabia imeionya rasmi Marekani isipitishe muswada wa sheria ambayo itapelekea Saudia kushtakiwa katika mahakama za nchi hiyo kutokana na kuhusika kwake na hujuma za kigaidi za Septemba 11 ,2001 katika miji ya New York na Washington.

  • Wanajeshi wa Marekani wavamia kusini mwa Yemen

    Wanajeshi wa Marekani wavamia kusini mwa Yemen

    May 02, 2016 23:27

    Ripoti zinasema kuwa, wanajeshi wa kikosi maalumu cha Marekani wamevamia eneo la Kusini mwa Yemen kwa kisingizio cha kuwasaidia wanajeshi wa Imarati katika kile kinachodaiwa ni vita dhidi ya wanamgambo wa al Qaeda katika eneo hilo.

  • Wanawake Waislamu wa Kishia na Kisuni nchini Marekani wafanya kongamano la pamoja

    Wanawake Waislamu wa Kishia na Kisuni nchini Marekani wafanya kongamano la pamoja

    Apr 30, 2016 23:52

    Wanawake wa Kiislamu wa madhehebu za Shia na Suni katika jimbo la Ohio nchini Marekani wamefanya kongamano maalumu ili mbali na kuzidi kuelewana, kuonesha kuwa masuala yanayowaunganisha pamoja ni mengi zaidi kulinganisha na wanayohitilafiana.

  • Pentagon: Hujuma ya US dhidi ya hospitali Afghanistan sio jinai ya kivita

    Pentagon: Hujuma ya US dhidi ya hospitali Afghanistan sio jinai ya kivita

    Apr 30, 2016 03:14

    Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imetetea mashambulizi ya anga yaliyofanywa na jeshi lake dhidi ya hospitali moja nchini Afghanistan mwishoni mwa mwaka jana 2015.

  • UN kuingilia kati hatua ya Marekani kupora dola bilioni za Iran

    UN kuingilia kati hatua ya Marekani kupora dola bilioni za Iran

    Apr 30, 2016 03:11

    Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema yuko tayari kuutafutia ufumbuzi mgogoro kati ya Iran na Marekani kuhusu hatua ya Washington kuzuia mali za Tehran katika benki zake.

  • Wajibu wa Marekani kuilipa fidia Iran

    Wajibu wa Marekani kuilipa fidia Iran

    Apr 29, 2016 10:32

    Waziri wa Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtaka Karibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa aishinikize serikali ya Marekani iheshimu makubaliano ya kimataifa na iilipe fidia Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS