• Mamia waandamana nje ya ubalozi wa Israel, Washington kulaani vita Gaza

    Mamia waandamana nje ya ubalozi wa Israel, Washington kulaani vita Gaza

    Mar 03, 2024 04:10

    Mamia ya watu wamefanya maandamano mbele ya ubalozi wa Israel mjini Washington, Marekani kulaani vita vya mauaji ya kimbari vinavyoendelezwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • Ushiriki wa Wairani katika uchaguzi, jibu kwa misimamo ya uingiliaji kati hasi ya Merekani

    Ushiriki wa Wairani katika uchaguzi, jibu kwa misimamo ya uingiliaji kati hasi ya Merekani

    Mar 02, 2024 10:11

    Kushiriki kwa wananchi wa Iran katika uchaguzi wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge) na Baraza la Wataalamu Wamaomchagua Kiongozi Mkuu, kwa mara nyingine tena, kumezima njama za wapinzani wa Jamhuri ya Kiislamu wakiongozwa na Marekani, za kuwakatisha tamaa wananchi ili wasishiriki katika upigaji kura.

  • Wosia wa Bushnell: Majivu ya mabaki yangu yamiminwe Palestina

    Wosia wa Bushnell: Majivu ya mabaki yangu yamiminwe Palestina

    Mar 02, 2024 08:19

    Aaron Bushnell, afisa wa Jeshi la Anga la Marekani, ambaye alifariki dunia hivi karibuni baada ya kujichoma moto akipinga uungaji mkono wa nchi yake kwa vita vya mauaji ya kimbari vya utawala haramu wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, aliandika katika wosia wake kuwa majivu ya mabaki ya mwili wake yamiminwe katika ardhi ya taifa huru la Palestina.

  • Iran yaionya UN: Marekani inashadidisha taharuki katika eneo

    Iran yaionya UN: Marekani inashadidisha taharuki katika eneo

    Feb 27, 2024 03:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali juhudi za Marekani za kushadidisha hali ya taharuki katika Bahari Nyekundu na Yemen na kuonya kuwa, hatua hizo za kijeshi za Washington hazitakuwa na matokeo mengine isipokuwa kuvuruga jitihada za pamoja za Iran na Umoja wa Mataifa katika eneo la Asia Magharibi.

  • Waziri wa Ulinzi wa Yemen: Zama za Marekani na waitifaki wake 'kuhodhi' maji ya kimataifa zimekwisha

    Waziri wa Ulinzi wa Yemen: Zama za Marekani na waitifaki wake 'kuhodhi' maji ya kimataifa zimekwisha

    Feb 26, 2024 07:58

    Waziri wa Ulinzi wa Yemen amepongeza operesheni za majini zinazoendelea kufanywa na jeshi la nchi hiyo dhidi ya meli zenye uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Bahari Nyekundu kwa lengo la kupinga vita dhidi ya Ghazza, na kusisitiza kwamba zama za "satua ya kuhodhi" Marekani na washirika wake maji ya kimataifa zimekwisha.

  • Kan'ani: Marekani na Uingereza zinatoa kafara usalama wa kimataifa kwa maslahi ya Israel

    Kan'ani: Marekani na Uingereza zinatoa kafara usalama wa kimataifa kwa maslahi ya Israel

    Feb 25, 2024 23:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Iran amelaani vikali mashambulizi mapya ya anga ya "kiholela" yaliyofanywa na Marekani na Uingereza dhidi ya Yemen, akisema hujuma hiyo imethibitisha kwa mara nyingine kwamba nchi hizo mbili zinatoa kafara usalama wa kimataifa kwa maslahi ya Israel.

  • Trump: Hali mbaya zaidi inaisubiri Marekani iwapo Biden atashinda 2024

    Trump: Hali mbaya zaidi inaisubiri Marekani iwapo Biden atashinda 2024

    Feb 25, 2024 06:53

    Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani kwa mara nyingine amemshambulia Rais wa sasa wa nchi hiyo Joe Biden akisisitiza kuwa, Wamarekani watakabiliwa na hali mbaya zaidi iwapo Biden atashinda muhula wa pili katika uchaguzi wa rais wa mwaka huu.

  • Sudan yapuuzilia mbali madai ya Marekani dhidi yake

    Sudan yapuuzilia mbali madai ya Marekani dhidi yake

    Feb 25, 2024 06:26

    Serikali ya Sudan imekosoa vikali taarifa ya Marekani inayotuhumu serikali ya Khartoum kwamba inazuia watu nchi humo kufikishiwa misaada ya kibinadamu.

  • HAMAS: Kimbunga cha al-Aqsa kimevuruga njama za US katika eneo

    HAMAS: Kimbunga cha al-Aqsa kimevuruga njama za US katika eneo

    Feb 23, 2024 00:00

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema Operesheni ya Kimbunga cha al-Aqsa iliyofanywa na makundi ya muqawama ya Ukanda wa Gaza ilisitisha njama za Marekani za eti kulifinyanga eneo la Asia Magharibi na mustakabali wake.

  • Walimwengu wailaani US kwa kutumia veto kuzuia usitishaji vita Gaza

    Walimwengu wailaani US kwa kutumia veto kuzuia usitishaji vita Gaza

    Feb 20, 2024 23:27

    Mataifa na mashirika mbali mbali ya kimataifa yamelaani vikali hatua ya Marekani ya kutumia kura yake ya turufu kupinga rasimu ya azimio iliyowasilishwa na Algeria katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, la kutaka kusitishwa mara moja mapigano katika Ukanda wa Gaza.