Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Onyo kuhusu ongezeko kubwa la itikadi kali za kisiasa nchini Marekani

    Onyo kuhusu ongezeko kubwa la itikadi kali za kisiasa nchini Marekani

    Aug 15, 2023 23:20

    Wakati kesi ya Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ikiendelea sambamba na kuandaliwa uchaguzi wa rais wa nchi hiyo wa mwaka 2024, wataalamu wametahadharisha kuhusu ongezeko kubwa la misimamo mikali ya kisiasa miongoni mwa Wamarekani.

  • Raisi: US, nchi za Ulaya zilipanga ghasia za mwaka jana Iran

    Raisi: US, nchi za Ulaya zilipanga ghasia za mwaka jana Iran

    Aug 15, 2023 04:26

    Rais wa Iran ameikosoa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya kwa kuratibu machafuko yaliyoshuhudiwa mwaka jana hapa nchini Iran kwa kisingizo cha kifo cha Mahsa Amini.

  • Kan'ani: Kuwashambulia mazuwari wasio na hatia ni kitendo cha jinai

    Kan'ani: Kuwashambulia mazuwari wasio na hatia ni kitendo cha jinai

    Aug 14, 2023 10:27

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema: Kuwashambulia mazuwari wasio na hatia katika haram ya Ahlul Bayt ni kitendo cha kijinai.

  • Kukataa Misri ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine

    Kukataa Misri ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine

    Aug 13, 2023 07:01

    Misri imekataa ombi la Marekani la kuipa silaha Ukraine ikiwa ni katika sehemu ya mkakati wa Cairo ya kutopendelea upande wowote kwenye vita vya Ukraine na Russia.

  • Damascus: Marekani imefanya uhalifu mpya dhidi ya jeshi la Syria

    Damascus: Marekani imefanya uhalifu mpya dhidi ya jeshi la Syria

    Aug 13, 2023 04:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imetangaza kuwa Marekani imezidisha vitendo uhalifu na jinai mpya za katika nchi hiyo.

  • Mapatano madhubuti ya Iran kuhusu kuachiliwa mali zake na kubadilishana wafungwa na Marekani

    Mapatano madhubuti ya Iran kuhusu kuachiliwa mali zake na kubadilishana wafungwa na Marekani

    Aug 12, 2023 04:46

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa kuhusu kuachiwa mali za Iran na pia kufunguliwa wafungwa wake kadhaa waliokuwa wamezuiliwa na Marekani kinyume cha sheria.

  • Afrika Kusini: Tutaendelea kutumia teknolojia ya China licha ya mashinikizo ya US

    Afrika Kusini: Tutaendelea kutumia teknolojia ya China licha ya mashinikizo ya US

    Aug 08, 2023 04:05

    Afrika Kusini imesema itaendelea kustafidi na teknolojia ya shirika la China la Huawei licha ya kushinikizwa na Marekani iachane na kampuni hiyo.

  • Rais wa Venezuela: White House ilipanga njama niuawe

    Rais wa Venezuela: White House ilipanga njama niuawe

    Aug 05, 2023 22:59

    Rais Nicolas Maduro wa Venezuela amemtuhumu aliyekuwa rais wa Marekani, Donald Trump kwamba alikuwa mstari wa mbele katika kupanga njama iliyofeli ya kuuawa kiongozi huyo wa Amerika ya Latini.

  • Sisitizo la Rais wa Brazil la kupigwa teke sarafu ya dola katika biashara za kimataifa

    Sisitizo la Rais wa Brazil la kupigwa teke sarafu ya dola katika biashara za kimataifa

    Aug 05, 2023 00:26

    Rais Luiz Inácio Lula da Silva wa Brazil ametaka kupigwa teke na kuwekwa pembeni matumizi ya sarafu ya dola katika biashara za kimataifa na kutafutwa sarafu nyingine za kuziba nafasi ya sarafu hiyo ya Marekani.

  • Nasrullah: Marekani ndio chimbuko la matatizo yote katika eneo

    Nasrullah: Marekani ndio chimbuko la matatizo yote katika eneo

    Aug 04, 2023 04:26

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo sababu ya matatizo mbalimbali ya kiusalama na kiuchumi yanayozisumbua nchi za eneo la Asia Magharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS