Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mazungumzo

  • Araghchi, Grossi wakutana Geneva kabla ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na US

    Araghchi, Grossi wakutana Geneva kabla ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na US

    Feb 16, 2026 11:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), Rafael Grossi wamekutana katika jiji la Geneva nchini Uswisi, kabla ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani.

  • Araghchi: Iran, US kufanya mazungumzo ya nyuklia Muscat

    Araghchi: Iran, US kufanya mazungumzo ya nyuklia Muscat

    Feb 05, 2026 02:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi ametangaza kwamba mazungumzo ya nyuklia kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani yanatazamiwa kufanyika katika mji mkuu wa Oman, Muscat kesho asubuhi.

  • Araghchi: Iran haiogopi mazungumzo, wala vita

    Araghchi: Iran haiogopi mazungumzo, wala vita

    Sep 04, 2025 07:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesema Jamhuri ya Kiislamu haiogopi kuingia katika mazungumzo mapya kuhusu utatuzi wa masuala yoyote yaliyopo, kama ambavyo haina hofu ya kuingia katika vita vyovyote vipya ambavyo vinaweza kutwishwa nchi hii na maadui zake.

  • Ni yapi matokeo ya mkutano wenye utata wa Trump na Putin?

    Ni yapi matokeo ya mkutano wenye utata wa Trump na Putin?

    Aug 16, 2025 11:27

    Hatimaye, baada ya kusubiri kwa muda mrefu na uvumi kuhusu mkutano kati ya Marais Donald Trump wa Marekani na Vladimir Putin wa Russia kuhusu vita vya Ukraine, mkutano huo hatimaye ulifanyika Ijumaa, Agosti 15 huko Alaska.

  • Upinzani Uganda wafungua kesi mahakamani kupinga raia kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi

    Upinzani Uganda wafungua kesi mahakamani kupinga raia kushtakiwa kwenye mahakama ya kijeshi

    Aug 15, 2025 02:27

    Chama kikuu cha upinzani nchini Uganda cha Jukwaa la Umoja wa Kitaifa (National Unity Platform) NUP, kimefungua kesi katika Mahakama ya Katiba ya kutaka sheria mpya iliyorudisha haki ya mahakama za kijeshi kusikiliza kesi za raia ifutwe.

  • Iran yaulaani utawala wa kizayuni wa Israel kwa mauaji ya halaiki ya wanahabari Ghaza

    Iran yaulaani utawala wa kizayuni wa Israel kwa mauaji ya halaiki ya wanahabari Ghaza

    Aug 12, 2025 03:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Abbas Araghchi amelaani mauaji ya waandishi wa habari watano wa Al Jazeera yaliyofanywa katika shambulio la anga la jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Ghaza, na kuielezea jinai hiyo kama ushahidi wa kutapatapa utawala unaoshutumiwa kwa hasira duniani kote na unaozidi kuporomoka.

  • Witkoff na Waziri Mkuu wa Qatar wajadili masuala wanayohitilafiana Hamas na Israel

    Witkoff na Waziri Mkuu wa Qatar wajadili masuala wanayohitilafiana Hamas na Israel

    Aug 10, 2025 08:51

    Gazeti la Israel Hayom limeandika kuwa: Mjumbe Maalumu wa Marekani Steve Witkoff na Waziri Mkuu wa Qatar ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Mohammed bin Abdulrahman Al Thani wamekutana na kujadili huko Uhispania njia za kutatua hitilafu zilizopo kati ya harakati ya Hamas na utawala wa Israel.

  • Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Pakistan wakutana kwa mazungumzo mjini Islamabad

    Mawaziri wa mambo ya nje wa Iran na Pakistan wakutana kwa mazungumzo mjini Islamabad

    Aug 03, 2025 06:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Sayyid Abbas Araghchi amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan Seneta Mohammad Ishaq Dar katika Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo mjini Islamabad.

  • Rais: Ni 'njozi' kuutokomeza mpango wa nyuklia wa Iran; ikihitajika tutaipiga tena vikali Israel

    Rais: Ni 'njozi' kuutokomeza mpango wa nyuklia wa Iran; ikihitajika tutaipiga tena vikali Israel

    Jul 23, 2025 07:21

    Rais Masoud Pezeshkian amepuuzilia mbali juhudi na uchochezi wa Marekani na washirika wake, hususan utawala wa kizayuni wa Israel, wa kushinikiza kutokomezwa mpango wa nishati ya nyuklia wa Iran.

  • Je, kwa nini Trump amenyamazia kimya mauaji ya kimbari huko Gaza, huku akidai yametokea Afrika Kusini?

    Je, kwa nini Trump amenyamazia kimya mauaji ya kimbari huko Gaza, huku akidai yametokea Afrika Kusini?

    May 23, 2025 05:57

    Akizungumza siku ya Jumatano katika kikao chenye mvutano na Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini, Rais Donald Trump wa Marekani alichukua hatua ya kushanga kwa kumuonyesha video ya kiongozi mmoja wa mrengo wa kulia wa Afrika Kusini aliyetoa wito wa kuuawa wakulima weupe ili kuthibitisha madai yake kuhusu kile kinachodaiwa kuwa mauaji ya kimbari dhidi ya wazungu wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS