Jan 22, 2018 08:08
Katika mwendelezo wa kuwatia jela wanawafalme wanaompinga Mohammad bin Salman bin Abdulaziz Al Saud, Mrithi wa Kiti cha Ufalme na Waziri wa Ulinzi wa Saudia, serikali ya nchi hiyo imetwaa kwa nguvu hoteli ya kimataifa ya Dar Al Tawhid ya mjini Makkah.