Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mbaroni

  • Iran yawakamata magaidi 32 wa ISIS wakiwa wanapanga njama

    Iran yawakamata magaidi 32 wa ISIS wakiwa wanapanga njama

    Jul 08, 2018 12:47

    Mwendesha Mashtaka wa Tehran amesema magaidi wasiopungua 32 wa kundi la kigaidi la ISIS au Daesh wamekamatwa nchini Iran hivi karibuni.

  • Tsunami ya kamatakamata nchini Saudi Arabia

    Tsunami ya kamatakamata nchini Saudi Arabia

    Jul 07, 2018 02:42

    Vita vya madaraka katika ukoo wa Aal Sad nchini Saudi Arabia vinachukua mkondo mpya na mpana zaidi kila siku ambapo wanawafalme na maafisa wengi wa ngazi za juu nchini humo wamekuwa wakitiwa mbaroni kwa amri ya Muhamm bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa nchi hiyo.

  • Jeshi la Iraq lawatia mbaroni wanachama wa kundi jipya hatari la ukufurishaji mkoani al-Anbar

    Jeshi la Iraq lawatia mbaroni wanachama wa kundi jipya hatari la ukufurishaji mkoani al-Anbar

    Jul 06, 2018 08:06

    Jeshi la Iraq limefanikiwa kuwatia mbaroni wanachama wa kundi moja hatari la ukufurishaji na kigaidi na ambao wamekuwa wakifuatiliwa kwa muda mrefu mkoani al-Anbar, magharibi mwa nchi hiyo.

  • Waziri mkuu wa zamani Malaysia atiwa mbaroni kwa kuhusika na wizi wa mali ya umma

    Waziri mkuu wa zamani Malaysia atiwa mbaroni kwa kuhusika na wizi wa mali ya umma

    Jul 03, 2018 15:39

    Vyombo vya usalama vya Malaysia vimemtia nguvuni waziri mkuu wa zamani wa nchi hiyo, Najib Razak kufuatia uchunguzi unaoendelea juu ya upotevu wa mabilioni ya dola kutoka kwenye mfumo wa taifa aliouasisi yeye mwenyewe muongo mmoja uliopita.

  • Afisa wa serikali na Wafaransa 4 watiwa nguvuni kwa ufisadi Burundi

    Afisa wa serikali na Wafaransa 4 watiwa nguvuni kwa ufisadi Burundi

    Jun 24, 2018 12:50

    Serikali ya Burundi imemtia nguvuni afisa mmoja wa ngazi ya juu wa nchi hiyo na raia wanne wa Ufaransa kwa tuhuma za kufanya utapeli.

  • Dereva wa Bin Laden atiwa mbaroni nchini Libya

    Dereva wa Bin Laden atiwa mbaroni nchini Libya

    Jun 18, 2018 07:34

    Dereva wa aliyekuwa kiongozi wa mtandao wa al Qaida, Usama bin Laden ametiwa mbaroni katika mji wa Derna wa mashariki mwa Libya.

  • Saudia yaanza duru mpya ya kuwakamata wale wanaopinga nchi hiyo kuwa  na uhusiano na Israel

    Saudia yaanza duru mpya ya kuwakamata wale wanaopinga nchi hiyo kuwa na uhusiano na Israel

    May 20, 2018 02:22

    Vyombo vya habari, wanasheria na wanaharakati mbalimbali wameelezea kupitia mitandao ya kijamii juu ya kuanza duru mpya ya kamatakamata ya utawala wa kifalme wa Aal-Saud dhidi ya wapinzani wanaopinga nchi hiyo kuwa na uhusiano na utawala katili wa Kizayuni.

  • Kulaaniwa wimbi jipya la kamatakamata nchini Bahrain

    Kulaaniwa wimbi jipya la kamatakamata nchini Bahrain

    Apr 11, 2018 04:33

    Kituo cha Haki za Binadamu cha Bahrain kimetoa taarifa maalumu inayoeleza juu ya kutiwa mbaroni na vikosi vya usalama vya utawala wa Aa Khalifa wapinzani 21 na kulaani vikali hatua hiyo.

  • Zaidi ya watu 1000 watiwa mbaroni nchini Ethiopia

    Zaidi ya watu 1000 watiwa mbaroni nchini Ethiopia

    Apr 01, 2018 04:12

    Watu elfu moja na 107 wametiwa mbaroni nchini Ethiopia kwa tuhuma za kuvunja sheria za hali ya hatari nchini humo.

  • Utawala wa Aal Saud wazipiga mnada mali za bilionea wa nchi hiyo

    Utawala wa Aal Saud wazipiga mnada mali za bilionea wa nchi hiyo

    Mar 18, 2018 16:36

    Maafisa wa utawala wa Aal Saud leo wamezipiga mnada mali za bilionea wa nchi hiyo Maan al-Sanea ambaye alitiwa nguvuni mwezi Oktoba mwaka uliopita wa 2017 pamoja na makumi ya wanawafalme na shakhsia wengine kadhaa mashuhuri wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS