Aug 17, 2019 03:41
Hatua ya Uingereza kusimamisha kinyume cha sheria meli ya mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilikuwa imeibua mvutano wa kisiasa kati ya London na Tehran huku Marekani nayo kupitia siasa zake za 'mashinikizo ya juu zaidi' dhidi ya Iran, ikijaribu kushinikiza meli hiyo iendelee kushikiliwa huko Jabal Tariq (Gibraltar).