Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

meli ya mafuta

  • Yemen yashambulia meli ya mafuta ya US na nyengine inayohusiana na Israel katika Bahari ya Sham

    Yemen yashambulia meli ya mafuta ya US na nyengine inayohusiana na Israel katika Bahari ya Sham

    Oct 11, 2024 07:41

    Msemaji wa jeshi la Yemen ametangaza kuwa vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo vimefanya operesheni mbili za mashambulio dhidi ya meli ya mafuta ya Marekani na meli ya mafuta yenye uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Bahari ya Hindi na Bahari ya Sham.

  • Jeshi la Wanamaji la Iran lakamata meli ya mafuta ya Marekani kwa amri ya mahakama

    Jeshi la Wanamaji la Iran lakamata meli ya mafuta ya Marekani kwa amri ya mahakama

    Jan 11, 2024 15:36

    Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetangaza kuikamata meli ya mafuta ya Marekani kwa amri ya mahakama katika Bahari ya Oman.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran asema wizi wa mafuta uliofanywa na serikali ya Marekani haukubaliki

    Waziri wa Ulinzi wa Iran asema wizi wa mafuta uliofanywa na serikali ya Marekani haukubaliki

    Sep 16, 2023 08:09

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amezungumzia hatua ya serikali ya Marekani ya kutwaa meli ya mafuta ya Iran na kupora bidha iliyokuwemo akisema: Hatua ya serikali ya Marekani ni wizi ambao haukubaliwi kwa namna yoyote ile duniani.

  • Karibuni hivi Ugiriki itarejesha shehena ya mafuta ya Iran iliyoiba

    Karibuni hivi Ugiriki itarejesha shehena ya mafuta ya Iran iliyoiba

    Jul 27, 2022 03:02

    Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Ugiriki umetangaza kuwa operesheni ya kuyahamisha na kuyarejesha mafuta ya Iran yaliyoibwa itaanza hivi karibuni.

  • Iran yajibu matamshi ya Ufaransa, Ujerumani kuhusu meli za mafuta za Ugiriki

    Iran yajibu matamshi ya Ufaransa, Ujerumani kuhusu meli za mafuta za Ugiriki

    Jun 01, 2022 09:58

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametoa taarifa na kukosoa taarifa zinazofanana za Ujerumani na Ufaransa kuhusu meli za mafuta za Ugiriki.

  • Iran yaiachilia huru meli iliyokuwa imebeba mafuta ya kuibwa

    Iran yaiachilia huru meli iliyokuwa imebeba mafuta ya kuibwa

    Nov 11, 2021 05:00

    Meli ya mafuta iliyokuwa inashikiliwa Iran kutokana na kuhusika katika wizi wa mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imeachiliwa kufuatia hukumu ya mahakama na baada ya mafuta hayo kurejeshwa.

  • Abbas Mousavi: Mazungumzo ya JCPOA kati ya Iran na Ulaya hayajafikia natija

    Abbas Mousavi: Mazungumzo ya JCPOA kati ya Iran na Ulaya hayajafikia natija

    Aug 19, 2019 08:14

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria mwenendo wa mazungumzo ya Iran na madola ya Ulaya kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kusema kuwa, mazungumzo kuhusiana na uwajibikaji wa Ulaya katika JCPOA hadi sasa hayajawa na natija.

  • Misimamo isiyo ya busara ya Uingereza na Marekani kuhusu kuachiliwa meli ya mafuta ya Iran

    Misimamo isiyo ya busara ya Uingereza na Marekani kuhusu kuachiliwa meli ya mafuta ya Iran

    Aug 17, 2019 03:41

    Hatua ya Uingereza kusimamisha kinyume cha sheria meli ya mafuta ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ilikuwa imeibua mvutano wa kisiasa kati ya London na Tehran huku Marekani nayo kupitia siasa zake za 'mashinikizo ya juu zaidi' dhidi ya Iran, ikijaribu kushinikiza meli hiyo iendelee kushikiliwa huko Jabal Tariq (Gibraltar).

  • Mousavi: Iran haijatoa ahadi yoyote kuhusiana na kuachiwa meli ya mafuta ya

    Mousavi: Iran haijatoa ahadi yoyote kuhusiana na kuachiwa meli ya mafuta ya "Grace 1"

    Aug 16, 2019 14:47

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu haijatoa ahadi yoyote kwa ajili ya kuachiwa meli ya mafuta ya "Grace 1" iliyokuwa ikishikilIwa na Waingereza katika eneo la Gibraltar.

  • Kuachiliwa meli ya mafuta ya Iran; kushindwa Uingereza na kufedheheka Marekani

    Kuachiliwa meli ya mafuta ya Iran; kushindwa Uingereza na kufedheheka Marekani

    Aug 16, 2019 10:05

    Kufuatia diplomasia hai na athirifu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na uamuzi wa Mahakama ya Juu ya eneo la Jabal Tariq (Gibraltar), hatimaye meli ya mafuta ya Iran inayojulikana kama Grace 1 imechiliwa na kuruhusiwa kuendelea na safari zake katika maji ya kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS