-
Rais al-Assad wa Syria na mkewe wazitembelea familia za mashahidi wa vita
Jul 22, 2018 03:26Rais Bashar al-Assad wa Syria pamoja na mke wake wametembelea familia za mashahidi na majeruhi wa vita wanaoishi katika kambi ya Abenau Nasr, katika kijiji cha al-Zainat cha mji wa Masyaf, magharibi mwa nchi hiyo.
-
Assad: Syria yaanzisha mkakati wa ujenzi mpya baada ya magaidi kutimuliwa
Jul 10, 2018 13:47Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kipaumbele chake ni ujenzi mpya wa nchi hiyo baada ya kutimuliwa magaidi walioanzisah vita nchini humo mwaka 2011 kwa uungaji mkono wa kigeni.
-
Jeshi la Syria lakomboa vijiji zaidi vilivyokuwa vimetekwa na magaidi wa ISIS mkoani Daraa
Jul 07, 2018 03:20Jeshi la Syria limewatimua magaidi na kukomboa kikamilifu vijiji kadhaa katika mkoa wa kusini magharibi wa Daraa karibu na mpaka wa Jordan kwa lengo la kufungua kituo cha kistratijia cha Nasib.
-
Lavrov: Matatizo ya Mashariki ya Kati yatatatuliwa kwa kuishirikisha Iran
Jul 05, 2018 02:39Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia amesisitiza kuwa, kuitaka Iran ipunguze ushawishi wake nchini Syria na Mashariki ya Kati ni kutazama mambo bila ya kuzingatia uhalisia wake.
-
Hizbullah: Shambulizi lolote la Israel dhidi ya Lebanon litajibiwa kwa kuteketeza eneo la Golan
Jul 03, 2018 07:35Harakati ya Hizbullah ya nchini Lebanon sambamba na kuashiria onyo kali lililotolewa na Ufaransa kwa utawala haramu wa Kizayuni, imesema kuwa chokochoko yoyote ya Israel itakayofanywa dhidi ya Lebanon, itapelekea kuteketezwa eneo la milima ya Golan inayodhibitiwa na Israel kwa sasa.
-
Syria: Riyadh ingali inawazuia raia wetu kwenda kufanya Hija
Jun 23, 2018 07:25Serikali ya Syria imeukosoa vikali utawala wa Aal-Saud kwa kuingiza siasa katika amali tukufu ya Hija, ambapo Riyadh imewazuia raia wa Syria kwenda kutekeleza ibada hiyo kwa mwaka wa saba mfululizo.
-
Rais Assad: Wanajeshi wa Marekani lazima tutawatimua Syria
May 31, 2018 14:45Rais Bashar al Assad wa Syria amesema kuwa, Wamarekani lazima watoke Syria na wanapaswa kupata funzo kutokana na yaliyowafika nchini Iraq
-
Syria: Kunaandaliwa mazingira ya kubuni igizo la shambulio la kemikali mashariki mwa Furat
May 31, 2018 03:42Kamisheni ya taifa nchini Syria inayoshughulikia utekelezwaji wa makubaliano ya kuzuia silaha za kemikali, imeonya juu ya kuandaliwa igizo la kubuni la shambulio la silaha hizo katika moja ya maeneo yanayodhibitiwa na wanamgambo wa Kikurdi wa 'Syrian Democratic Forces' kwa kushirikiana na askari wa Marekani, mashariki mwa mto Furat nchini humo.
-
Magaidi wa genge la Daesh na Jaishul-Hur washambuliana vikali kusini mwa Syria
May 15, 2018 02:41Magaidi wa makundi ya ukufurishaji ya Daesh (ISIS) na kundi la Jeishul-Hur (Jeshi huru), wameshambuliana vikali magharibi mwa mkoa wa Daraa, nchini Syria na kusababisha maafa makubwa kati yao.
-
Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen lateua wajumbe wake wapya
Apr 30, 2018 14:12Mahdi al Mashat amewateuwa wajumbe 32 wapya wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen katika hatua yake ya kwanza kama mkuu mpya wa baraza hilo.