-
Iran, Russia, Uturuki zatoa tamko la pamoja kuhusu Syria
Apr 28, 2018 16:16Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Russia na Uturuki wametoa tamko la pamoja mwishoni mwa kikao chao cha mjini Moscow, Russia na kutilia mkazo wajibu wa kulindwa ardhi nzima ya Syria na haki ya kujitawala na kujiamulia lenyewe mambo yake taifa hilo la Kiarabu.
-
Guterres akiri kuwa UN haina uwezo wa kuutatua mgogoro wa Syria
Apr 23, 2018 16:47Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekiri kuwa umoja huo hauna uwezo wa kuutatua mgogoro wa Syria.
-
Baada ya kufurushwa magaidi, wakimbizi 59 elfu warejea makwao Ghouta Mashariki nchini Syria
Apr 16, 2018 08:03Kituo cha Russia cha kusimamia mapatano nchini Syria kimesema kuwa, zaidi ya watu 59 elfu wamerejea katika maeneo yao huko Ghouta Mashariki baada ya kutimuliwa magaidi katika eneo hilo.
-
Mgongamno katika madai ya Marekani ya kutoka nchini Syria
Apr 16, 2018 08:01Marekani imeendelea kutoa matamshi yanayogongana baada ya Ikulu ya nchi hiyo (White House) kudai kuwa rais wa nchi hiyo Donald Trump amekusudia kuwaondoa haraka wanajeshi wa nchi hiyo walioko Syria.
-
Nikki Haley: Jeshi la Marekani haliondoki Syria
Apr 16, 2018 04:33Mwakilishi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa nchi hiyo haitaondoa wanajeshi wake huko Syria hadi itakapofikia malengo yake.
-
Mufti wa Syria: Marekani na washirika wake hawana hata chembe ya ubinadamu
Apr 15, 2018 07:22Mufti Mkuu wa Syria amesema kuwa, madola ambayo yamewashambulia kwa mabomu wananchi wa Syria hayana chembe ya ubinadamu.
-
Viongozi mbalimbali waendelea kupinga mashambulizi dhidi ya Syria
Apr 14, 2018 17:25Mashambulizi yaliyofanywa na Marekani, Ufaransa na Uingereza huko Syria yamekabiliwa na upinzani mkubwa barani Ulaya na huko Marekani.
-
Mogherini: Mgogoro wa Syria hauna ufumbuzi wa kijeshi
Apr 14, 2018 17:15Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa mgogoro wa Syria unaweza tu kupatiwa ufumbuzi kwa njia za kisiasa.
-
Uingereza yakataa kushirikiana na Marekani katika mashambulizi dhidi ya Syria
Apr 11, 2018 13:47Gazeti moja la Uingereza limefichua kwamba, Waziri Mkuu wa nchi hiyo amekataa ombi la Rais wa Marekani la kushiriki katika mashambulizi dhidi ya Syria.
-
Jeshi la Syria lapata mabomu ya Israel katika mapango ya magaidi Ghouta
Mar 29, 2018 06:18Wanajeshi wa Syria wamepata idadi kubwa ya silaha za utawala haramu wa Israel zilizoachwa na magaidi wakufurishaji waliokuwa wakitoroka kutoka katika eneo la Ghouta Mashariki nje kidogo ya mji mkuu, Damascus.