-
Vikosi vya Syria vyadhibiti asilimia 90 ya eneo la Ghouta Mashariki
Mar 24, 2018 07:19Wanajeshi wa Syria wanadhibiti zaidi ya asilimi 90 ya eneo la Ghouta Mashariki lililo karibu na mji mkuu Damascus.
-
Syria: Madai ya Marekani dhidi yetu yanalenga kuwapa himaya magaidi
Mar 10, 2018 07:48Balozi wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema tuhuma zilizotolewa na Marekani na waitifaki wake dhidi ya Damascus hazina madhumuni mengine ghairi ya kuyakingia kifua na kuyapa himaya makundi ya kigaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Marekani inajiandaa kuishambulia Syria kwa makombora
Feb 12, 2018 04:41Chombo kimoja cha habari nchini Marekani kimeripoti kuwa Washington inajiandaa kuishambulia Syria kwa makombora.
-
Russia: Mashambulio ya Marekani Syria ni jinai za kivita
Feb 09, 2018 07:01Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa ameyataja mashambulio ya anga ya Marekani katika mkoa wa Deir al Zor mashariki mwa Syria kuwa hayakubaliki na kwamba ni jinai za kivita.
-
Juhudi za Marekani za kuvuruga usalama wa Syria
Feb 06, 2018 08:00Mwandishi na mtaalamu mmoja wa masuala ya kisasa wa nchini Marekani amesema kuwa nchi hiyo inafanya juhudi kubwa za kuuhadaa ulimwengu kuhusiana na suala la Syria.
-
Lavrov: Mazungumzo ya kitaifa njia pekee ya utatuzi wa mgogoro wa kitaifa Syria
Dec 28, 2017 02:42Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, mazungumzo ya kitaifa kati ya serikali na wapinzani nchini Syria ndiyo njia pekee ya kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo.
-
Putini afichua ushirikiano wa Marekani na magaidi huko Syria
Dec 16, 2017 03:45Rais wa Russia amefichua kuwa wanajeshi wa Marekani walioko nchini Syria walikuwa wakiwaunga mkono na kuwapatia silaha magaidi na ndio waliokuwa wakikwamisha kusambaratishwa magaidi hao.
-
Ripoti: Marekani na Saudi Arabia zimewapa magaidi wa ISIS silaha
Dec 15, 2017 06:42Shirika moja la kimataifa limezilaumu tawala za Marekani na Saudi Arabia kuwa zimekuwa zikiwafikishia magaidi wa ISIS silaha kwa siri kupitia makundi ya wapinzania nchini Syria.
-
Marekani iko tayari Bashar Assad aendelee kubakia madarakani hadi mwaka 2021
Dec 13, 2017 03:51Ripoti za baadhi ya duru za habari nchini Marekani zinaeleza kuwa baada ya kukata tamaa ya kumwondoa madarakani Rais Bashar Al Assad wa Syria, serikali ya Washington imechukua uamuzi mpya wa kuafiki Assad aendelee kuwa rais wa Syria hadi mwaka 2021.
-
Duru ya nane isiyo na natija ya mazungumzo ya Geneva kuhusu Syria
Nov 30, 2017 08:15Stéphane Dujarric, Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne alitangaza habari ya kuanza duru ya nane ya mazungumzo ya Geneva Uswisi yenye lengo la kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria.